Tanzania tuna tatizo la wataalamu

Tanzania tuna tatizo la wataalamu

Hawa wala usiwaamini mkuu. Wamekopi na kupesti maneno ya mabeberu ili waipate hiyo unayoiita PhD.

Wenye PhD wako wengi nchi hii lkn hawana tija yoyote kwenye hili taifa zaidi ya kumiliki karatasi ngumu wanazoziita vyeti.
Hapa umedadavua zaidi hoja ya kukosa utaalamu.
Kukosa tija huko kwa wanaoitwa wasomi wakiwa na vyeti ndiyo ukosefu wa utaalamu wenyewe.
 
Tuna tatizo la kujilinganisha na kwingine...chagua pande- wakati "our envoronment" ni tofquti sana na kwingine.

PH.d za wengi zimepatikana kwa kutatua matatizo ya kibeberu, - ambayo hayana tija hapa.

....wanao lalamika wakapande maboti wahamie kwenye uwo uwafadhali bandia.
 
Imagine mtu anaetoa ushauri kuhusu wataalamu ni unknown author, most probably his book was published independently and yet he fancies his work so much that the book is priced at $85 dollars.

For academic books most which retail at that price usually are must have for students in the module and usually there are student discount offers.

The point is kwa mtu ambae ajafanya ata research ya kutosha kwenye kuuza kitabu chake, akushauri kweli.

Ata sijui nani aliwaambia watanzania mtu akiwa na Phd anakuwa na miakili mingi sana.
 
Takwimu zipo kwenye kitabu acha uvivu kasome. Vijana wa siku hizo uvivu mwingi
Acha uhuni wewe. Nchi hii kuna janja janja tu hakuna elimu. Ufundishwe na hawa wanywa gongo na mbege uniambie una elimu ya maana!!

Wewe una miliki karatasi ngumu yenye kukutambulisha kuwa umesoma (cheti). Lkn hata ulichokiandika hapa wala hakieleweki na hakikutofautishi na sisi darasa la saba.

Msomi unapswa kutoa andiko lililoshiba btakwimu na msomaji anapata majibu ya maswali anayojiuliza juu ya mada husika. Siyo unakuja na ngonjera.

Bure kabisa
 
Acha uhuni wewe. Nchi hii kuna janja janja tu hakuna elimu. Ufundishwe na hawa wanywa gongo na mbege uniambie una elimu ya maana!!

Wewe una miliki karatasi ngumu yenye kukutambulisha kuwa umesoma (cheti). Lkn hata ulichokiandika hapa wala hakieleweki na hakikutofautishi na sisi darasa la saba.

Msomi unapswa kutoa andiko lililoshiba btakwimu na msomaji anapata majibu ya maswali anayojiuliza juu ya mada husika. Siyo unakuja na ngonjera.

Bure kabisa

Sawa😂 nenda basi kwenye topic nyingine zenye hoja na takwimu kwanini bado upo kwenye topic hii
 
wataalamu wataonekana pale tukiondoa ccm. mtu anataka kufanya zuri kwa nchi yake kuanzia uchumi,mawazo,teknolojia na n.k lakini anatokea mpumbavu mmoja chamani kukuongeza au kupinga na wapo bungeni mule.mwengine anajuta uspika anachekwa
 
Hakuna mwenye PhD wala professorial rank nchi hii. Ndiyo maana tangu dunia kuumbwa hata kijiti cha kuchokonolea meno au kiwembe hakijawahi kutengenezwa hapa nchini.

Au hata dawa ya chooni au kidonge cha kuua mende.

Bure kabisa
Aise,
Sijawahi kuona mtu anajidai kwa uwongo wa kupotosha, kama ulivyo bandika... Jaribu kufanya "research" kabla ya kuhemeka.
Viwembe, Vijiti vya meno...miswaki pia! pamoja na na dawa mbali mbali vimekuwa vikitengenezwa Tanzania.

Dawa ya chooni ndio nini kwanza? wacha hizo.!!

wacha uwongo....inafaa upelekwe Jamii check/verify.
 
Viwembe, Vijiti vya meno...miswaki pia! pamoja na na dawa mbali mbali vimekuwa vikitengenezwa Tanzania.
Acha kuchekesha wewe. Vinatengenezwa na akina nani? Kutengenezwa hapa Tanzania siyo hoja. Lkn na watu gani? Ninyi wanywa komoni na gongo? Mliokariri definitions vichwani mwenu?

Bure kabisa
 
Hawa wala usiwaamini mkuu. Wamekopi na kupesti maneno ya mabeberu ili waipate hiyo unayoiita PhD.

Wenye PhD wako wengi nchi hii lkn hawana tija yoyote kwenye hili taifa zaidi ya kumiliki karatasi ngumu wanazoziita vyeti.


Tena kwa kuongezea hapo kwa kutoa mfano hai, yupo kiongozi mmoja mkubwa katika Wizara nyeti, yeye anayo Phd ya uchumi alisema; "katika deni la taifa serikali haitaenda kugongea watu milango kulipa hilo deni"

Huyo ni phd holder ya Uchumi Anaongea utumbo kiasi hicho, eti anajifanya hajui au kweli hajui jinsi gani deni hilo huwa linalipwa na wananchi !!, hizo ndio Phd za jalalani.
 
Nimebisha Hilo andiko Ila kila nikiangalia wasomi kama paramagamba kabudi na wengine waliotokea pale udsm enzi za Magufuli nachelea kusema hatuna wasomi na andiko Hili ni sahihi.
 
Unajichekesha mwenyewe. Fanya utafiti badala ya kubwatuka nyumani.
Ati sio hoja.
 
Acha kuchekesha wewe. Vinatengenezwa na akina nani? Kutengenezwa hapa Tanzania siyo hoja. Lkn na watu gani? Ninyi wanywa komoni na gongo? Mliojkariri definitions vichwani mwenu?

Bure kabisa
una tatizo. unajichekesha, unatamani hayo uliyobandika yawe kweli kwa uhasama wako.

Pole sana.
 
Serikali hutoa bajeti finyu sana kwa taasisi za utafiti na watalaam, mara nyingi tafiti za kilimo na mifugo kwa asilimia kubwa hufadhiliwa na mashirika ya mabeberu na nchi zao
 
Unanipa faraja. Tutajie wamefanya nn cha maana hao wasomi? Mbona tantalila nyingi?
Kwani nyie ambao hamjasoma mmelifanyis nini Taifa hili. Au kuna mtu alikukataza usisome ? Si ungesoma ww uje tuone kama ungekua na tija gani.

Jiulize ukiugua hua unaenda wapi kupata matibabu? Kama hao wasomi wanao kuhudumia vituo vya afya wangekimbia umande kama wewe nani angekua anatutibu sasa?

Matatizo ya nchi hii ni ya kimifumo sio ya mtu mmoja mmoja. Bila kubadilisha mifumo hakuna kitu kitaenda smoothly



Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Jiulize ukiugua hua unaenda wapi kupata matibabu? Kama hao wasomi wanao kuhudumia vituo vya afya wangekimbia umande kama wewe nani angekua anatutibu sasa?
Yaani kugawa vidonge na kuchoma sindano ndiyo unaita usomi?? Acha nisitoe tusi langu......
 
Back
Top Bottom