Mnaitwika lawama za bure tu serikali. Mbona hampati kazi kwenye mataifa mengine kama Tanzania hakuna uzalendo?
Kubali kuwa hakuna elimu mnayoipata huko vyuoni. Walimu wenu Wana njaa, na ninyi mna njaa halafu ukichanganya na kudanga na, kubet mnatoka kapa.
Serikali ndiyo imewazuia kuhgundua hata kidonge?
Tangu uhuru hakuna hata kampuni ya ujenzi iliyopewa kazi nje ya nchi kama tuzioanvyo kampuni hapa Tanzania zikijenga barabara.
Tangu uhuru hakuna kitu ambacho ugunduzi na utengeenezaji wake chanzo ni hapa Tanzania.
Shame on you!