Hapa umedadavua zaidi hoja ya kukosa utaalamu.Hawa wala usiwaamini mkuu. Wamekopi na kupesti maneno ya mabeberu ili waipate hiyo unayoiita PhD.
Wenye PhD wako wengi nchi hii lkn hawana tija yoyote kwenye hili taifa zaidi ya kumiliki karatasi ngumu wanazoziita vyeti.
Acha uhuni wewe. Nchi hii kuna janja janja tu hakuna elimu. Ufundishwe na hawa wanywa gongo na mbege uniambie una elimu ya maana!!Takwimu zipo kwenye kitabu acha uvivu kasome. Vijana wa siku hizo uvivu mwingi
Acha uhuni wewe. Nchi hii kuna janja janja tu hakuna elimu. Ufundishwe na hawa wanywa gongo na mbege uniambie una elimu ya maana!!
Wewe una miliki karatasi ngumu yenye kukutambulisha kuwa umesoma (cheti). Lkn hata ulichokiandika hapa wala hakieleweki na hakikutofautishi na sisi darasa la saba.
Msomi unapswa kutoa andiko lililoshiba btakwimu na msomaji anapata majibu ya maswali anayojiuliza juu ya mada husika. Siyo unakuja na ngonjera.
Bure kabisa
Aise,Hakuna mwenye PhD wala professorial rank nchi hii. Ndiyo maana tangu dunia kuumbwa hata kijiti cha kuchokonolea meno au kiwembe hakijawahi kutengenezwa hapa nchini.
Au hata dawa ya chooni au kidonge cha kuua mende.
Bure kabisa
Acha kuchekesha wewe. Vinatengenezwa na akina nani? Kutengenezwa hapa Tanzania siyo hoja. Lkn na watu gani? Ninyi wanywa komoni na gongo? Mliokariri definitions vichwani mwenu?Viwembe, Vijiti vya meno...miswaki pia! pamoja na na dawa mbali mbali vimekuwa vikitengenezwa Tanzania.
Hawa wala usiwaamini mkuu. Wamekopi na kupesti maneno ya mabeberu ili waipate hiyo unayoiita PhD.
Wenye PhD wako wengi nchi hii lkn hawana tija yoyote kwenye hili taifa zaidi ya kumiliki karatasi ngumu wanazoziita vyeti.
Woooi 🤣🤣🤣🤣Unamaliza chuo unakuja pata kazi baada ya miaka 5. Hapo umeshafanya kila aina ya kazi kuanzia boda boda mpaka ukuli lazima elimu i expire
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
una tatizo. unajichekesha, unatamani hayo uliyobandika yawe kweli kwa uhasama wako.Acha kuchekesha wewe. Vinatengenezwa na akina nani? Kutengenezwa hapa Tanzania siyo hoja. Lkn na watu gani? Ninyi wanywa komoni na gongo? Mliojkariri definitions vichwani mwenu?
Bure kabisa
Unanipa faraja. Tutajie wamefanya nn cha maana hao wasomi? Mbona tantalila nyingi?una tatizo. unajichekesha, unatamani hayo uliyobandika yawe kweli kwa uhasama wako.
Pole sana.
Kwani nyie ambao hamjasoma mmelifanyis nini Taifa hili. Au kuna mtu alikukataza usisome ? Si ungesoma ww uje tuone kama ungekua na tija gani.Unanipa faraja. Tutajie wamefanya nn cha maana hao wasomi? Mbona tantalila nyingi?
Yaani kugawa vidonge na kuchoma sindano ndiyo unaita usomi?? Acha nisitoe tusi langu......Jiulize ukiugua hua unaenda wapi kupata matibabu? Kama hao wasomi wanao kuhudumia vituo vya afya wangekimbia umande kama wewe nani angekua anatutibu sasa?
Si uwe unajigawia sasa na sindano unajichoma. Kwani kuna mtu anakulazimisha kwenda hospitaliYaani kugawa vidonge na kuchoma sindano ndiyo unaita usomi?? Acha nisitoe tusi langu......
Yaani ndiyo unapoteza miaka 5 au zaidi ili kuja kuchoma sindano? Si ni suala la kuelekezwa kwa dakika 5 tu!Si uwe unajigawia sasa na sindano unajichoma. Kwani kuna mtu anakulazimisha kwenda hospitali
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app