Tanzania tunaathirika na udhaifu wa fikra (Inferiority Complex) wa viongozi wetu wakuu

Kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji. Tulipaswa kuliamsha dude la maandamano nchi isitwalike. Lkn kwa ujinga huu wa wadanganyika tutaburuzwa sana
Nani wa kuandamana! Si mliambiwa na Lisu muingie barabarani mbona hamkutoka, mavi ya kuku. Chadema yenu matusi tu, endeleeni kususa.
 
Dhambi hii watailipia hapa hapa duniani!
 
Nani wa kuandamana! Si mliambiwa na Lisu muingie barabarani mbona hamkutoka, mavi ya kuku. Chadema yenu matusi tu, endeleeni kususa.
Kamuulize Gwajiboy, Polepole au Ndugai. Bora hata sisi tunatype mtandaoni.😅😅
 
Heri na kwako pia. You are ahead Times always
 
Hatuko serious kama nchi,serikali inajali maslahi ya wakubwa wachache, kwamba wao hata wavurunde vipi hakuna kushtakiwa,
Ila mtumishi mdogo akipoteza elfu hamsini ashitakiwe,
Tuna manga manga tu
 
Kila anayeshikilia usukani anashikwa na jinamizi la hofu ya ccm kufia mikononi mwake. Hivyo litafanywa lolote zuri au la ccm isife. Hao wabunge 19 wasio na chama ni mfano wote wamekaa kimya ila mmoja wao kalisema na bado ni kimya tu.
Kitu chochote ni chema tu ili mradi kinahakikisha maisha ccm. Hawajui kuwa kuimarika kwa ccm kuna uhusiano na kuimarika kwa upinzani. Hivyo kuua upinza ni ni jaribio la kuua ccm na hii imeanza dalili.
 
Kama CCM inataka kuua upinzani ibadilishe katiba turudi katika mfumo wa chama kimoja!
 
Mna mjaribu sana...

Yeye ni mama nanyie ni vijana...
Mkimzingua anawazingua...
 
Alichokionyesha Spika Ndugai leo wakati akimwomba radhi Rais Samia kwa kauli yake kuwa nchi itapigwa mnada kwa sababu ya mikopo si udhaifu wa fikra tu bali pia njaa na uoga wa kukosa madaraka! Aidha kitendo hiki kimeonyesha dhahiri namna ambavyo mihimili ya dola ya bunge na mahakama haiko huru!
 
Wa nne ni yule aliye amua kujiita jiwe. Hiyo ndiyo pure inferiority complexity. Ukali mwingi na kujihami kwingi.
Achana na marehemu huenda naye ulimuelewa vibaya tu,lkn hawezi kujitetea.
 
Ugali wa bure mtamu.
 
Nani wa kuandamana! Si mliambiwa na Lisu muingie barabarani mbona hamkutoka, mavi ya kuku. Chadema yenu matusi tu, endeleeni kususa.
Acha kuharibu mada kwa kuleta matusi kwa chama Cha siasa. Mada inaongelea inferiority complex ya Viongozi wakuu wewe unaitukana CHADEMA matusi. Tanzania Ni zaidi ya chama Cha siasa wewe Kama bado unaabudu vyama vya siasa shauri yako. Linapotokea suala la kitaifa week uchama pembeni kabisa.
 
Achana naye huyo! Hao ndiyo wakipewa vyeo wako tayari kwenda kusaidia kusafisha vyombo kwa mabosi wao!
 
Ugali wa bure mtamu.
Ndiyo sababu Ndugai akipata mtu wa kumnyanyasa anavimba hasa kwa sababu ni dhaifu mno mbele ya wanaoweza kumng'oa madarakani! Hivyo analipiza kisasi kwa wanyonge wake ili anyenyekewe!
 
Tatizo hili lililetwa na rais kulaza mwenye elimu ya dukani alipofikiri kuwa anadharauliwa kwa ukilaza wake. Matokeo yakebl kila mtu aliyaona
 
Agenda ya mikopo ya pupa ipo kwenye kuiendeleza zanzibar iwe kama dubai....
 
Agenda ya mikopo ya pupa ipo kwenye kuiendeleza zanzibar iwe kama dubai....
Kwa hoja hiyo ipo haja ya katiba mpya ili Zanzibar iwe na uwezo wa kukopa yenyewe au la sivyo Zanzibar iwe na benki kuu yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…