Tanzania tunaathirika na udhaifu wa fikra (Inferiority Complex) wa viongozi wetu wakuu

Tanzania tunaathirika na udhaifu wa fikra (Inferiority Complex) wa viongozi wetu wakuu

Alichokifanya Spika leo tuseme ni kama hatuna Bunge tena Tanzania

Yaani hata wabunge walie namna gani Bungeni tutajua tu wanatuchora.
 
Alichokifanya Spika leo tuseme ni kama hatuna Bunge tena Tanzania

Yaani hata wabunge walie namna gani Bungeni tutajua tu wanatuchora.
Yaa, hawana ubavu kwa serikali....
 
Yaa, hawana ubavu kwa serikali....
Hata kama basi spika haoni umuhimu wa kile alichokisema awali akitimiza majukumu ya kibunge basi ili kulinda heshima ya Bunge yeye ajiuzulu ili aachie wengine ambao hata kama nao watafuata nyayo zake itakua afadhali ya hao kuliko yeye asiyekua na msimamo kabisa.
 
Hata kama basi spika haoni umuhimu wa kile alichokisema awali akitimiza majukumu ya kibunge basi ili kulinda heshima ya Bunge yeye ajiuzulu ili aachie wengine ambao hata kama nao watafuata nyayo zake itakua afadhali ya hao kuliko yeye asiyekua na msimamo kabisa.
Kwa zile spana alizoshushiwa na yule mwenezi wa njombe amebaki kuwa ubua tu kwenye hiyo nafasi......
 
Alichokifanya Spika leo tuseme ni kama hatuna Bunge tena Tanzania

Yaani hata wabunge walie namna gani Bungeni tutajua tu wanatuchora.
Hivi sasa tayari Ndugai ameshatoa azimio la Bunge la kumpongeza Samia kwa kukopa!
 
Back
Top Bottom