Tanzania tunakwama wapi? Inakuaje tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwenye Miundombinu bora ya Barabara?

Ukubwa wa nchi unaendana na idadi ya watu pamoja na kodi tunazokusanya ni kubwa kulinganisha na wao, ishu si ukubwa wa nchi bali ni akili na uzalendo wa kweli.
Na rasilimali zilizopo.Tzn ina ukubwa kuizidi Angola? Wamekaa kwenye vita miaka na miaka lakini hatuna pa kuwagusa.

Tzn kama jamii tuna tatizo kubwa Sana la matumizi ya akili.
 
Hadi senegal imetushinda? Huu ni uwongo!
Wajinga tu ndo wataamini huu upuuzi na data za kupikwa! Hapo kwenye network Sasa Seychelles inakaaje apo na hio 526Km[emoji28][emoji28], Zambia tu hapo kutoka Lusaka hadi Border (TDM) ni zaidi ya 1000KM sasa si uppuzi huo. Nchi kama Uganda wanatuzidi vipi sisi??? Tuna network ya barabara kwenda zaidi ya majiji na miji 43. Ifike mahala watanzania tuache kipiga ngenga tujikubali sisi ni bora bwanaa! Kuhusu ubora mimi sio mtaalam ila naamini Tanzania lazima iwe kwnye nafasi nzuri apo.
 
Acha ushamba wewe kwaio mageti hayo yanakupagawisha??? Mnapo zungumzia quality mnazungumzia nini haswa?
 
Wewe nadhani unaleta ubishi na kujiona una hatia sababu ya hiyo avator.

Ukweli ni kwamba ccm imefeli pakubwa kwa miaka 60 yote hakuna kitu tunaweza kutoka kifua mbele.
Wewe kama umeamua kutoipenda na kuikubali nchi yako kisa huwapendi CCM poleeeh, CCM sio Tanzania. Psycho[emoji57]
 
Acha ushamba wewe kwaio mageti hayo yanakupagawisha??? Mnapo zungumzia quality mnazungumzia nini haswa?
Wewe ndio mshamba sasa unapayuka na kubweka hovyo hata huelewi quality ni nini?

Quality ni serviceability ya barabara,durability inayotokana naaterials zinazotumika kujenga,comfortability na authentic ya barabara.

Sio barabara za makokoto na nyembamba afu ni single lanes,eti unaendesha mnapishana kwenye barabara moja 😆😆..

Hizo barabara zenye mageti ukizipata Tzn unitag.

Mwisho tunaposema barabara angalau ziwe na muonekano kama huu 👇









 
Narudia tena wewe mshamba, hizo picha zako zinaonesha izo criteria za quality??? Unaona durability apo??? Ndo maana nasema tena wewe mshamba!
 
Narudia tena wewe mshamba, hizo picha zako zinaonesha izo criteria za quality??? Unaona durability apo??? Ndo maana nasema tena wewe mshamba!
Najadiliana na kilaza na mpofu si tu wa macho bali akili..

Mwisho narudia kukueleza tunaposema barabara Bora ni zina meet criteria zote hapo juu.

Wenzetu wanaposema tunajenga barabara ni barabara kweli sio ujinga ujinga unaofanyika huku Tzn afu mnapiga mapambio.

Hii hapa Fly over inajengwa Kampala sasa linganisha na ule ujinga wa pale Tazara na Ubungo👇





 
Kwaio wewe unajiona unaakili na hayo mapicha yako sio? Nikuulize swali jingine wewe ni professional kwenye sekta ya ujenzi?
 
Yaaani unatuonesha 3D render unasema unaona quality [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Umetumwa eeeh!!
 
Na wewe ni taahira tu uko kama chawa! Hujaelewa alichoandika unajibu ujinga!
 
si tulielewana kuwa hayo ni maendeleo ya vitu na si watu. ngoja tuachane na maendeleo ya vitu na tujikite kwenye maendeleo ya watu
 
Yaaani unatuonesha 3D render unasema unaona quality [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Umetumwa eeeh!!
Nadhani shida yako ni kung'ang'ania ujinga,sijui una maslahi gani nao..

Kwa hiyo sisi tuko vizuri kuwashinda hao sio?
 
Kwaio wewe unajiona unaakili na hayo mapicha yako sio? Nikuulize swali jingine wewe ni professional kwenye sekta ya ujenzi?
Nimekuchoka Baki na umbulula wako,unaletewa picha za actual na completed hutaki.

Yaani unakuta mtu kama wewe ni kiongozi kabisa yaani.
 
Acheni utani nyie,
Hakuna inchi yeyote afrika mashariki na kati inaifikia tanzania kwa barabara nzuri,
Labda muwe ni wale wa pinga pinga
Ona hili poyoyo nalo,Kuwa ccm sio kutumia masaburi kufikiria unless uniambie kwamba kutetea ujinga ndio utaratibu wa Chama.
 
Nadhani shida yako ni kung'ang'ania ujinga,sijui una maslahi gani nao..

Kwa hiyo sisi tuko vizuri kuwashinda hao sio?
Wewe endelea kung'ang'ania upumbavu wako! Hio list yako ya pili eti Seychelles ina network kubwa ya barabara kwa 526Km[emoji23][emoji23][emoji23], Hivi unafikiri kutoka Kinshasa hadi Lubumbashi kuna umbali gani???

Ukubwa wa Seychelles tu kama nchi hauzidi 500 square Kilometers, itakuaje na road network kubwa kuliko Congo DRC, Zambia, Sudan n.k qu hata kama nchi nzima ingekua barabara.
 
si tulielewana kuwa hayo ni maendeleo ya vitu na si watu. ngoja tuachane na maendeleo ya vitu na tujikite kwenye maendeleo ya watu
Nimegundua HIi Nchi ina watu viongozi wenye uwezo mdogo Sana hasa kwenye sekta ya planning na design na haya ni matokeo ya elimu ya kukaririshwa,kukosa exposure na kuingiza siasa kwenye Kila kitu.

Nimetafakari mipango ya serikali na jinsi pesa za wanachi zinapotea nikaishia kubaki kinywa wazi.

Hebu fikiria Serikali imetoa pesa Kila Jimbo mil.500 ambapo kwa majimbo yote Tzn ni sh.bil.127.,oza za mafuta kuna bil.322,Road fundi kuna bil.300.Jumla ya pesa zote kwa bajeti ya Tarura ni zaidi ya bil.900 hapo ni Nje ya Mikopo,vyanzo vya ndani vya Halmashauri na misaada mingine..

Kama serikali ingeamua kutumia hizo pesa kiasi cha bil.250 tuu kwa ajili ya kujenga barabara za kisasa za kwenye miji ipatayo 50 Nchi nzima,wanaweza kujenga km 25 za lami ya asphalt na zenye taa za barabarani kwa kila Mji(tuna miji takribani 50) ..

Pesa inayobaki kiasi cha bil.650 ndizo zitumike kwenye barabara za vumbi na lami chache kwenye Halmashauri..

Sasa hizo pesa zote huwa zinaenda kwenye mabarabara ya vumbi na kujenga vi km vichache tena vya lami ya makokoto,walitaka lami nzuri mpaka wakakope World bank wakati ni ishu tuu ya planning na namna ya kuweka vipaombele..
 
Toa ujinga wako hapa..kama unajua viwango Bora nini sema hapa. Otherwise shut up
Wewe ni mpumbavu na naku ignore,unajiuliza una ng'ang'ania ujinga na kutetea ujinga kwa faida ya nani sasa?

Nimeshamjibu jinga lenzio hapo hapo viwango na unaweza hata wewe ku google utavikuta sio kubeba kichwa kama mzigo usio na faida..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…