Umeelezea vema,tunaishi nchi ya sifia sifia tu,wataalaam wetu wote wameokotwa jalalani,kituko cha RPC Dodoma eti ataanza to escort buses zinapoingia mkoani kwake!ni kichekesho kitupu,we need to be serious hapa hii T1 ni uchafu mtupu hasa Mbeya to Tunduma,Dar to Mikumi ,hii barabara inabidi tuijenge upya sio kuitia viraka!life span ya barabara hii imeshapitwa na wakati,hii barabara imejengwa Nyerere era,inabidi tuipanue hasa pale Mikumi National park ikiwa ni pamoja na kusafisha vichaka vyote 20m both sides (faida yake tutapunguza wanyama wadogo kuwa maeneo karibu na barabara),Kitonga Pass tuweke njia mbili pale,Chimala to Mbeya papanuliwe na njia hii ichepushwe isipite katikati ya Mbeya.Natamani waziri wangu wa mawasiliano afanye utalii wa kikazi kwa barabara,aanzie N1 from Beitbridge to cape town,then N7 from Cape town to Namibia border,pale achukue B1 to windhoek,then aruke kwa ndege to Gaborone pale akamate A1,A2 na A3 towards kazungula,definitely akirudi Dar ataona tofauti kubwa kati yao na sisi.