Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya CCM.
Kosa la CCM ni lipi?.
Upinzani gani wa 50/50? Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
hata Magufuli pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Kutoka wapi nje ya CCM?. Kwa kukusaidiat tuu wewe na wengine, CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!

Hivyo kufuatia status hiyo, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali, kataa, huu ndio ukweli!.
P
 
Takwimu Zimeishapikwa tayari, Swali la Kujiuliza, hii idadi huyu Wazir wa CCM (Mkwe wa Raisi) ameitoa wapi!?.

Wakati Bado Zoezi la uandikishwaji Lilikua linaendelea Waziri huyu alitoa idadi ya Watu waliojiandikisha!. Pia zoezi hili halifanyiki kielektronik, Wamejumlisha Saa ngap
20241022_035442.jpg
20241022_035857.jpg
20241022_035852.jpg
 
Takwimu Zimeishapikwa tayari, Swali la Kujiuliza, hii idadi huyu Wazir wa CCM (Mkwe wa Raisi) ameitoa wapi!?.

Wakati Bado Zoezi la uandikishwaji Lilikua linaendelea Waziri huyu alitoa idadi ya Watu waliojiandikisha!. Pia zoezi hili halifanyiki kielektronik, Wamejumlisha Saa ngapView attachment 3132169View attachment 3132170View attachment 3132171
Hili ni swali la msingi sana nilishangaa kusikia waziri akisema lengo la uandikishaji limefikia asilimia 98…! Na majina yameshabandikwa tayari!
 
Takwimu Zimeishapikwa tayari, Swali la Kujiuliza, hii idadi huyu Wazir wa CCM (Mkwe wa Raisi) ameitoa wapi!?.

Wakati Bado Zoezi la uandikishwaji Lilikua linaendelea Waziri huyu alitoa idadi ya Watu waliojiandikisha!. Pia zoezi hili halifanyiki kielektronik, Wamejumlisha Saa ngapView attachment 3132169View attachment 3132170View attachment 3132171
Uandikishaji uliofanyika kwa mkono zoezi kufika tamati jumapili jioni halafu kesho yake asubuhi tunatangaziwa idadi ya walioandikishwa nchi nzima hii haiingii akilini kabisa. Huyu waziri ni muongo na tapeli tu.
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Unatoa maelezo ukiilimganisha na nchi gani ya Kiafrika iliyofanikiwa kuliko Tanzania kwasababu ya kutoongozwa na CCM?
 
Sijui uhalali wa hii picha, lakini mbona umri umekariabiana kiasi hicho? Au walioandikishwa walikutwa darasani, hususan sekondari shule ya bweni?
1729571291599.png
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Kikwazo ni watanzania wote sio CCM tu maana hata miji iliyoungozwa na chadema miaka ya nyuma hakuna walilofanya
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Na wachumi na wataalamu wa maendeleo wanatuambia wakati tunapata uhuru tulikuwa sawa na Vietnam, Korea Kusini, na Finland!! Lakini wenzetu wapo mbali kabisa. Huu ni moja ya ushahidi kuwa chama cha siasa chenyw dhamana ya kuongoza nhci muda wote huo kimekwama!!
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Na ndiyo maana, kwa nchi hii, hatua ya kwanza kuyaelekea maendeleo ni kuiondoa CCM kwenye uongozi. CCM ni kikwazo cha mafanikio kwenye nyanja zote. Maadam CCM ipo madarakani, kusitegemewe lolote la maana zaidi ya kutangatanga kusiko na mwelekeo, na wanapoona udhaifu wao unawekwa wazi, wanachoweza na kuteka na kuwaua wanaowezesha udhaifu wao ufahamike kwa wengi.
 
Na wachumi na wataalamu wa maendeleo wanatuambia wakati tunapata uhuru tulikuwa sawa na Vietnam, Korea Kusini, na Finland!! Lakini wenzetu wapo mbali kabisa. Huu ni moja ya ushahidi kuwa chama cha siasa chenyw dhamana ya kuongoza nhci muda wote huo kimekwama!!
Tulikuwa pia sawa na Singapore na Malaysia.
 
Kikwazo ni watanzania wote sio CCM tu maana hata miji iliyoungozwa na chadema miaka ya nyuma hakuna walilofanya
Wewe hapo hata ukipewa uongozi wa kitongoji, kwa mfumo wa utawala wa Tanzania, huwezi kukibadilisha. Kila kitu kinategemea mamlaka ya za juu. Kama unataka eneo moja moja lijitafutie maendeleo yake, basi uende kwenye utawala wa majimbo.
 
Back
Top Bottom