Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

Takwimu Zimeishapikwa tayari, Swali la Kujiuliza, hii idadi huyu Wazir wa CCM (Mkwe wa Raisi) ameitoa wapi!?.

Wakati Bado Zoezi la uandikishwaji Lilikua linaendelea Waziri huyu alitoa idadi ya Watu waliojiandikisha!. Pia zoezi hili halifanyiki kielektronik, Wamejumlisha Saa ngapView attachment 3132169View attachment 3132170View attachment 3132171
takwimu hizo ni za awali tu, zitaendelea kubadilika kadiri ya yale maeneo ambayo kutokana na sababu za kimiundombinu orodha na idadi ya waliojiandikisha haijawasilishwa bado mahali panapohusika wizarani..

hata hivyo,
bado yapo maeneo mengine kutokana na changamoto mbalimbali, wanaendelea na zoezi la uandikishaji..

ni muhimu kua na subra na ustahimilivu sana.

mapema mwanzoni mwa mwezi Nov 2024, itatolewa taarifa ya mwisho ambayo sasa ndiyo itakayotumika kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa Nov 27.2024🐒
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Nakuunga mkono hoja. Kwa Sasa ccm ni genge la wahuni na machawa.
 
Hizo ni porojo tu na mambo ya kudhania. CCM kipo imara, ulitaka tuongozwe na hao waliojaa matusi?
Imara sana kwenye kuiba, undugu mwingi na uchawa lakini hakiko imara kwenye kukomesha rushwa, kutuletea katiba mpya, demokrasia na kuweka mifumo bora
 


CCM kumajaa unafiki mtupu na uchawa. Ubaya wa CCM ni utamaduni wa rushwa kwenye nchi hii na dhuluma za kisiasa. Unasema ni watu wa CCM lakini Chama ni watu ! hivyo huwezi kutetea chama tawala miaka 60 kwa umasikini huu, rushwa hizi , kukataa kabiba. CCM ikiendelea kuwa hivi viongozi wajao watakuwa watoto wa vigogo na familia zao. Rushwa ya Tanzania isingefika hapa kama siyo CCM.
 
Hata hatusemi sio Chama dola badala yake tunasema ukweli tu kwamba ndiyo kikwazo kikubwa cha maendeleo na tusingekuwa hapa. Inabidi utoe hisia za kichama na ukasome vizuri tena andiko hasa mwishoni.
 
Tutenganishe CCM kama chama na viongozi wa CCM kama watu.
Kwa jinsi ile ile ya kutenganisha Nchi kama nchi na viongozi kama watu.
P


CCM kama chama ndiyo wameleta utamaduni wa rushwa. Kama ni viongozi kwanini CCM ichague viongozi wala rushwa au wapenda rushwa halafu wasilaumiwe!
 

P,

Naona wakati mwingine uko out of touch nenda kaulize vijana kuhusu amndiko langu watakubaliana na mimi 90%
 
Kikwazo ni watanzania wote sio CCM tu maana hata miji iliyoungozwa na chadema miaka ya nyuma hakuna walilofanya

..Magufuli alikwenda kwenye halmashauri zinazoongozwa na Chadema akazinyang'anya mapato, na baada ya hapo akasema ilani ya Ccm ndio itakayotekelezwa nchi nzima ktk ngazi zote.

..wananchi kwa kura zao ktk ngazi ya Uraisi walichagua ilani ya Ccm. Katika ngazi ya Halmashauri walichagua ilani ya Chadema. Sasa kwanini Magufuli na Ccm waaamue kwamba ilani ya Ccm ndiyo itakayotekelezwa ktk ngazi zote?

..Kuna hujuma nyingi sana Ccm inazifanya dhidi ya vyama mbadala, na mifumo yetu ya demokrasia. Mambo ambayo yamefanyika yanakaribiana kabisa na UHAINI.
 
Mbadala wa CCM ni nani?? Nyie Chadema kweli?? Nyie wenyewe ni rushwa tupu njaaa kali hamna kitu
Labda Lissu kidogo ambae nae amelala sana kwa Wazungu
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Mbadala wa ccm ni nani?
 
..Magufuli alikwenda kwenye halmashauri zinazoongozwa na Chadema akazinyang'anya mapato, na baada ya hapo akasema ilani ya Ccm ndio itakayotekelezwa nchi nzima ktk ngazi zote.

..wananchi kwa kura zao ktk ngazi ya Uraisi walichagua ilani ya Ccm. Katika ngazi ya Halmashauri walichagua ilani ya Chadema. Sasa kwanini Magufuli na Ccm waaamue kwamba ilani ya Ccm ndiyo itakayotekelezwa ktk ngazi zote?

..Kuna hujuma nyingi sana Ccm inazifanya dhidi ya vyama mbadala, na mifumo yetu ya demokrasia. Mambo ambayo yamefanyika yanakaribiana kabisa na UHAINI.

Bila kupata watu ambao ni kama Warioba kwa kizazi hiki tumekwisha. Vijana wa sasa upeo wao mdogo na ni wabinafsi sana. Tanzania ni nchi ya kuombea Mungu
 
Kikwazo sio CCM, kikwazo ni watanzania. Kwa mambo yanavyokwenda inaonesha wananchi mko comfortable na hali hii na mna furaha. Hivyo tulieni 'kazi' iendelee.
Kikwazo sio watanzania. Kikwazo ni serikali ya mbogamboga kutumia jeshi la polisi ku impose vitisho kwa raia na kuteka na kupiga wote wenye akili timamu ya kukataa dhuluma.

Watu wako willing kuandamana ila hawataki habari za kupigwa na kuuwawa kisha waache familia zao zikipata tabu.
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Ccm ni nuksi nchi hii na ni laana kubwa Kwa watanganyika!
 
Bila kupata watu ambao ni kama Warioba kwa kizazi hiki tumekwisha. Vijana wa sasa upeo wao mdogo na ni wabinafsi sana. Tanzania ni nchi ya kuombea Mungu

..hata Mzee Warioba sidhani kama ana msaada wowote.

..hakuna anayezingatia maoni yake huko serikalini au ktk Ccm.

..Na ukiona Ccm hawajibu chochote anachosema Mzee Warioba ujue wamepima na kujiridhisha kwamba hana madhara wala ushawishi.

..Mzee Warioba is too soft, wa baridi, amepoa mno, kuweza kuchochea mabadiliko.
 
..Magufuli alikwenda kwenye halmashauri zinazoongozwa na Chadema akazinyang'anya mapato, na baada ya hapo akasema ilani ya Ccm ndio itakayotekelezwa nchi nzima ktk ngazi zote.

..wananchi kwa kura zao ktk ngazi ya Uraisi walichagua ilani ya Ccm. Katika ngazi ya Halmashauri walichagua ilani ya Chadema. Sasa kwanini Magufuli na Ccm waaamue kwamba ilani ya Ccm ndiyo itakayotekelezwa ktk ngazi zote?

..Kuna hujuma nyingi sana Ccm inazifanya dhidi ya vyama mbadala, na mifumo yetu ya demokrasia. Mambo ambayo yamefanyika yanakaribiana kabisa na UHAINI.
Na kipindi Cha kikwete mlifanya Nini na je wabunge wenu wamewafanyia Nini Cha maana wapiga kura wao?
 
Na kipindi Cha kikwete mlifanya Nini na je wabunge wenu wamewafanyia Nini Cha maana wapiga kura wao?

Umeshaingiza vyama hapa hatuongelei ushindani ndugu tunaongelea CCM hata kabla ya vtama vingi. Hakuna chama kingine kimewahi kutawala Tanzania hatuwezi kutafuta mchawi. Matatizo yote na umasikini huu umetokana na CCM na kuendekeza wala rushwa na ubinafsi ndani ya chama. Viongozi wengi wa juu serikalini wanatoka ndani ya chama
 
Umeshaingiza vyama hapa hatuongelei ushindani ndugu tunaongelea CCM hata kabla ya vtama vingi. Hakuna chama kingine kimewahi kutawala Tanzania hatuwezi kutafuta mchawi. Matatizo yote na umasikini huu umetokana na CCM na kuendekeza wala rushwa na ubinafsi ndani ya chama. Viongozi wengi wa juu serikalini wanatoka ndani ya chama
Ndo maana tatizo la Tanzania sio CCM ni watanzania wote kwasabab hata hivyo vyama vingine hakuna wanachofanya
 
Na kipindi Cha kikwete mlifanya Nini na je wabunge wenu wamewafanyia Nini Cha maana wapiga kura wao?

..halmashauri zilizoongozwa na Chadema zilikuwa zinatumia fedha za walipa kodi vizuri ukilinganisha na wakati zilipoongozwa na Ccm.

..mbunge kama Tundu Lissu alikomesha michango isiyofuata utaratibu ktk jimbo lake. Magufuli alipoingia madarakani aliiga mitizamo ya Lissu kuhusu michango, ingawa wakati JK yupo madarakani Magufuli alikuwa akiunga mkono michango ya kiholelaholela.
 
Back
Top Bottom