Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

Tanzania tungekuwa mbali sana, Kikwazo ni CCM

Mzee unazeeka vibaya utazungumziaje milele wakati huko mbele haujui vijana wataenda vip kweli umewaza kuandika hivi aisee na ninyi ndio Wasomi..hata Nchi za madikteta ni ngumu kusema watatawala milele.
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Tatizo siyo CCM tatizo ni jamii, tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende
 
Ila mkuu mbona mtoa mada kaongea ukweli, ila ulivyojibu sasa. Naona kaumri kanasogea sasa.
 
Mmmh! Bwana mayala kutawala milele?kwamba watanzania ushatudhalau kiasi hicho kweli,kwamba vizazi vyote vijavyo vitakua kama hiki cha sasa?
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
CHADEMA hamna jipya! Mara 💯 CCM iendelee kutawala kuliko chama kama CHADEMA
 
Jamani shida sio ccm shida utamuni wetu wa kuwa wanafiki, ambao umechangiwa na kukosa elimu bora. Imepelekea, uoga, ubinafsi, kukosa uajasiri wa kusema juu ya maendeleo ya kitaifa. Sio ccm,wala chadema hizi tabia kote zipo.
 
Takwimu Zimeishapikwa tayari, Swali la Kujiuliza, hii idadi huyu Wazir wa CCM (Mkwe wa Raisi) ameitoa wapi!?.

Wakati Bado Zoezi la uandikishwaji Lilikua linaendelea Waziri huyu alitoa idadi ya Watu waliojiandikisha!. Pia zoezi hili halifanyiki kielektronik, Wamejumlisha Saa ngap
1729578089696.png

Hizi sahihi, hata uwe kilaza wa kutupwa, zinaonyesha zimewekwa na mtu mmoja. Angalia hizo "a", angalia hizo "j" angalia hizo "y", angalia hizo "i", angalia huo mwandiko wa sahihi.

Hivi mtu hata ukitaka kudanganya, si utumie akili kidogo basi?
 

Attachments

  • 1729578007701.png
    1729578007701.png
    592.5 KB · Views: 1
Kikwazo ni watanzania wote sio CCM tu maana hata miji iliyoungozwa na chadema miaka ya nyuma hakuna walilofanya
Hapana, huwezi kuwalaumu Chadema wakati serikali kuu ilikuwa ya CCM. Kuwa na mbunge wa Chadema mahali wakati serikali ni ya CCM haisaidii. Hukuona Mbeya walivyosusiwa na serikali kuu hadi Raisi kwa kuwa tu walichagua upinzani? Hata fedha za miradi mnanyimwa, kwa sababu mbunge hana mamlaka ya kuamua fedha ziende jimboni mwake
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli



CCM ni watu hatari sana. Pesa wanayoiba na relaxation ya kwamba wao wanashinda kila uchaguzi ndo inatuumiza. Tulipaswa kuwa mbali sana. Sina chama lakini CCM wamezoelea madaraka sana. Yaani hatukupaswa hata kidogo kuwa na shida ya maji kwenye maeneo mbali mbali. Au kuwa na jiji chafu chafu kama dar es salaam. Au kuwa na madarasa mabovu yaliyojaa vumbi, etc etc....ni aibu sana. Hatukupaswa kuwa na viongozi wanaofanya kazi kwa kauli ya rais.
 
Sasa mtu graduate wa University anajibu hoja hivi, sielewagi!! Hizi nchi nyingine zimelaaniwa
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
yaani unaacha kufanya kazi unailaumu ccm kwa lipi ? mbona enzio tuna kula bata na ccm hiii hiii? acha kulalamika kama demu we weakiume fanya kaz
 
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.

Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo

2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa

3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama

4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi

5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali

6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa

7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa

8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri

9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri

10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa

Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.

Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Mbali kwani tunaenda wapi ? Fanya maendeleo kwenye familia yako
Kwanza masuala ya nchi waachie serikali.
 
Back
Top Bottom