Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mzee unazeeka vibaya utazungumziaje milele wakati huko mbele haujui vijana wataenda vip kweli umewaza kuandika hivi aisee na ninyi ndio Wasomi..hata Nchi za madikteta ni ngumu kusema watatawala milele.Kosa la CCM ni lipi?.
Upinzani gani wa 50/50? Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Kutoka wapi nje ya CCM?. Kwa kukusaidiat tuu wewe na wengine, CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
Hivyo kufuatia status hiyo, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali, kataa, huu ndio ukweli!.
P