Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mzee unazeeka vibaya utazungumziaje milele wakati huko mbele haujui vijana wataenda vip kweli umewaza kuandika hivi aisee na ninyi ndio Wasomi..hata Nchi za madikteta ni ngumu kusema watatawala milele.Kosa la CCM ni lipi?.
Upinzani gani wa 50/50? Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Kutoka wapi nje ya CCM?. Kwa kukusaidiat tuu wewe na wengine, CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
Hivyo kufuatia status hiyo, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali, kataa, huu ndio ukweli!.
P
Tatizo siyo CCM tatizo ni jamii, tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twendeNi wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.
Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo
2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa
3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama
4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi
5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali
6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa
7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa
8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri
9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri
10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa
Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.
Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Wewe ndiyo hata hujui unatetea nini umeweka uchawa mbele zaidi ya uhalisia.We hujui ht hesabu ya kujumlisha? Mkurugenzi kutumiwa idadi naye kuziwasilisha TAMISEMI kwa mawasiliano yalivyo leo ulitegemea wangetumia masaa mangapi. Yangechelewa mngepiga kelele, watu km we hawajui ht wanataka nini.
Ila mkuu mbona mtoa mada kaongea ukweli, ila ulivyojibu sasa. Naona kaumri kanasogea sasa.Kosa la CCM ni lipi?.
Upinzani gani wa 50/50? Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Kutoka wapi nje ya CCM?. Kwa kukusaidiat tuu wewe na wengine, CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
Hivyo kufuatia status hiyo, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali, kataa, huu ndio ukweli!.
P
Mmmh! Bwana mayala kutawala milele?kwamba watanzania ushatudhalau kiasi hicho kweli,kwamba vizazi vyote vijavyo vitakua kama hiki cha sasa?Kosa la CCM ni lipi?.
Upinzani gani wa 50/50? Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Kutoka wapi nje ya CCM?. Kwa kukusaidiat tuu wewe na wengine, CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
Hivyo kufuatia status hiyo, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali, kataa, huu ndio ukweli!.
P
Hujui unenalo na ni kutokana na ufinyu wa kufikiriHizo ni porojo tu na mambo ya kudhania. CCM kipo imara, ulitaka tuongozwe na hao waliojaa matusi?
CHADEMA hamna jipya! Mara 💯 CCM iendelee kutawala kuliko chama kama CHADEMANi wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.
Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo
2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa
3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama
4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi
5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali
6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa
7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa
8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri
9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri
10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa
Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.
Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Wabongo ni wale wale , Tanzania ile ile, na chama chao kile kileMmmh! Bwana mayala kutawala milele?kwamba watanzania ushatudhalau kiasi hicho kweli,kwamba vizazi vyote vijavyo vitakua kama hiki cha sasa?
Ni kweli kiumriIla mkuu mbona mtoa mada kaongea ukweli, ila ulivyojibu sasa. Naona kaumri kanasogea sasa.
Takwimu Zimeishapikwa tayari, Swali la Kujiuliza, hii idadi huyu Wazir wa CCM (Mkwe wa Raisi) ameitoa wapi!?.
Wakati Bado Zoezi la uandikishwaji Lilikua linaendelea Waziri huyu alitoa idadi ya Watu waliojiandikisha!. Pia zoezi hili halifanyiki kielektronik, Wamejumlisha Saa ngap
Hapana, huwezi kuwalaumu Chadema wakati serikali kuu ilikuwa ya CCM. Kuwa na mbunge wa Chadema mahali wakati serikali ni ya CCM haisaidii. Hukuona Mbeya walivyosusiwa na serikali kuu hadi Raisi kwa kuwa tu walichagua upinzani? Hata fedha za miradi mnanyimwa, kwa sababu mbunge hana mamlaka ya kuamua fedha ziende jimboni mwakeKikwazo ni watanzania wote sio CCM tu maana hata miji iliyoungozwa na chadema miaka ya nyuma hakuna walilofanya
Hahahahaha, wewe ni legendary mkuu na nakuheshimu sana, hilo nilichombeza tu. Ila tatizo letu kubwa ni adui wa ndani wala hatuna adui yeyote wa nje. Tukiweza kupambana naye tunatoboa asubuhi na mapema.Ni kweli kiumri
nimesongesha songesha hivyo inaweza kuwa uzee
P
Ni wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.
Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo
2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa
3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama
4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi
5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali
6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa
7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa
8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri
9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri
10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa
Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.
Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Sasa mtu graduate wa University anajibu hoja hivi, sielewagi!! Hizi nchi nyingine zimelaaniwaKosa la CCM ni lipi?.
Upinzani gani wa 50/50? Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Kutoka wapi nje ya CCM?. Kwa kukusaidiat tuu wewe na wengine, CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
Hivyo kufuatia status hiyo, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kubali, kataa, huu ndio ukweli!.
P
Sasa mkuu CCM bila watu itakuwa ni nini?Sio CCM ni watu walio CCM
True
P
yaani unaacha kufanya kazi unailaumu ccm kwa lipi ? mbona enzio tuna kula bata na ccm hiii hiii? acha kulalamika kama demu we weakiume fanya kazNi wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.
Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo
2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa
3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama
4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi
5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali
6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa
7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa
8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri
9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri
10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa
Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.
Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Mbali kwani tunaenda wapi ? Fanya maendeleo kwenye familia yakoNi wazi sasa Tanzania ingekuwa mbali sana kama tungekuwa na vyama pinzani ambavyo ni 50/50 kuliko sasa nchi yetu iko chini ya udikteta wa walarushwa nawabinafsi wa CCM.
Tungekuwa mbele kwenye haya
1. Tungekuwa na katiba mpya ambayo inajali maendelo
2. Tungekuwa na mifumo isiyotegemea rushwa kama sasa hata Muktasari wa shamba ni rushwa
3. Tungekuwa na usalama na Polisi inayofanya kazi kuhudumia watu sio chama
4. Tungekuwa na mikataba iliyo wazi
5. Tusingekuwa na upendeleo wa ndugu kwenye kazi za serikali
6. Tusingekuwa na utekaji wa kisiasa kama sasa
7. Tusingekuwa na matumizi mabaya ya serikali kama sasa
8. Tusingekuwa na Machawa kama sasa badala yake tungekuwa na washauri
9. Tusingekuwa na Uzanzibari na Utanganyika kama katiba ingekuwa nzuri
10. Tungekuwa na uchumi mkubwa zaidi ya sasa
Kwa yote haya. Ili tubadilike ni lazima tupate viongozi ambao wako tayari kupunguza nguvu zao wenyewe na za chama na kujali mifumo na nchi.
Kiongozi wa hizi bado hatuna hata Magufuli alikuwa na umimi sana na kushikia watu wengine bila sababu pamoja na mazuri yake. Tuombeeni tupate viongozi wenye uzalendo wa kweli
Tutenganishe CCM kama chama na viongozi wa CCM kama watu.Sasa mkuu CCM bila watu itakuwa ni nini?