Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Wananzengo na members wote JF na nje ya JF, yatupasa kupaza sauti kukinzana na utaratibu huu mpya wa vifurushi huu utakandamiza masikini.

Haiwezekani vifurushi vipande hivyo. Inaonekana hayo si mabadiliko bali ni ukandamizaji.

Serikali lione hili.

SAUTI YA WATANZANIA

 
Nilishatumia miyandao yote, halotel ndiyo ilikua imebaki na vifurushi rafiki... Ila walichofanya leo ni uhuni wa hali ya juu kama wenzao waliopita... Kama lengo lao ni kupunguza ujazo wa kifurushi wapunguze na gharama
Tutawahama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…