Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Kweli ni vifurushi vipya. Nishahama Halotel, Airtel na Tigo toka mwaka jana mwezi 10 baada ya kuwa wababaishaji kwenye bando za internet.
Nipo vodacom japo hairidhishi vifurushi lkn angalau kuliko hao wengine
Tunasubiri nawao Vodacom maana kesho wanabadilisha nawao
 
Tusubirie wabunge wa 'kishindo' kama watalipeleka hili kama dharula.

Japo kwao halina umuhimu maana prepaid zao za laki mbili ,tatu zishawalevya!
Usipo simama wewe kama wewe usitegemee mbunge atakusaidia kwenye hili
 
Nyie sindiyo mlimfata yule waziri wenu Ndungulile mkakubaliana kila mteja apate kifurushi sawa na pesa yake? Sasa haya ni badiliko yaliyotokana na yale malalamiko yenu kwa Ndungulile.

Kuweni wavumilivu hizo MB 60 kwa sh.200 ndiyo thamani ya pesa yenu mnayolipa plus kodi ya serikali, siku zote mlaji wa mwisho ndiyo anabeba mzigo wa kodi so lieni na punguzo la kodi mpate hiyo suluhu ya mipango yenu kama mlivyokua mnapost kwenye watsapp status baada ya kuteuana.
 
Nyie sindiyo mlimfata yule waziri wenu Ndungulile mkakubaliana kila mteja apate kifurushi sawa na pesa yake? Sasa haya ni badiliko yaliyotokana na yale malalamiko yenu kwa Ndungulile.

Kuweni wavumilivu hizo MB 60 kwa sh.200 ndiyo thamani ya pesa yenu mnayolipa plus kodi ya serikali, siku zote mlaji wa mwisho ndiyo anabeba mzigo wa kodi so lieni na punguzo la kodi mpate hiyo suluhu ya mipango yenu kama mlivyokua mnapost kwenye watsapp status baada ya kuteuana.
ngoja tusote mkuu
 
Back
Top Bottom