Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Nilishatumia miyandao yote, halotel ndiyo ilikua imebaki na vifurushi rafiki... Ila walichofanya leo ni uhuni wa hali ya juu kama wenzao waliopita... Kama lengo lao ni kupunguza ujazo wa kifurushi wapunguze na gharama

Nimeshaachana na smart phone kuanzia leo, nipo kwenye simu ya kitochi.
 
Huu ndio ulikua muda mzur sana sana kwa wasanii wetu na watu maarufu kupaza saut maana ni rais sana saut zao kusikika na viongoz na kuchukuliwa hatua ila cha ajabu weng wapo kimya utazan hawajui kinachoendelea wanaumia moyon hao hao ndio wanataka kushindana YouTube na insta ,ila ktk kutetea wanaowaangalia wavivu na wabinafs
 
Vibaki hivi hivi au viongezeke zaidi. Mitandaoni kumejaa watu wengi wajinga sana

Nakuunga mkono 100%. Simu zenye mitandao zibaki kwa wachache kama ambavyo silaha zinadhibitiwa nchi hii. Majuha ya mtandaoni yalikuwa utitiri! Sasa tutabaki kwenye mtandao wachache kabisa!
 
wao bado hawajabadilisha vifurushi

Muna Kampuni mpya inaanza kesho, iliwahi kupotea miaka ya 2000, sasa imerudi inaitwa Tritel. Ngoja tuone wao wanasemaje kuanzia kesho! Ina chapa ya mwewe kwenye nembo yao na anateleza kama kambare!
 
Ombi pia kwa Moderator na mkuu Maxence Melo na wengine JamiiForums tunaomba uzi huu muupeleke kwenye mitandao yenu ya kijamii wanaweza sikia malalamiko haya.

Nyie vipi! Kweli wajinga ndiyo waliwao! Halotel wameeleza jioni hii kuwa hizo bei zilizotolewa leo zilikuwa ni kwa siku hii ambayo ni sikukuu ya wajinga! Wameeleza kuwa bei zao watazitoa kesho sambamba na makampuni mengine kama walivyokubaliana na waziri!
 
Huu ndio ulikua muda mzur sana sana kwa wasanii wetu na watu maarufu kupaza saut maana ni rais sana saut zao kusikika na viongoz na kuchukuliwa hatua ila cha ajabu weng wapo kimya utazan hawajui kinachoendelea wanaumia moyon hao hao ndio wanataka kushindana YouTube na insta ,ila ktk kutetea wanaowaangalia wavivu na wabinafs
Nafikiri hili wataliona
 
Nyie vipi! Kweli wajinga ndiyo waliwao! Halotel wameeleza jioni hii kuwa hizo bei zilizotolewa leo zilikuwa ni kwa siku hii ambayo ni sikukuu ya wajinga! Wameeleza kuwa bei zao watazitoa kesho sambamba na makampuni mengine kama walivyokubaliana na waziri!
sikuku ya wajinga kwenye mambo serious acha basi
 
Muna Kampuni mpya inaanza kesho, iliwahi kupotea miaka ya 2000, sasa imerudi inaitwa Tritel. Ngoja tuone wao wanasemaje kuanzia kesho! Ina chapa ya mwewe kwenye nembo yao na anateleza kama kambare!
tutasikia mengi
 
Badala ya kuhamasisha kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wewe uko bize na vifurushi mkuu kweli?
 
Back
Top Bottom