Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Huu ndio ulikua muda mzur sana sana kwa wasanii wetu na watu maarufu kupaza saut maana ni rais sana saut zao kusikika na viongoz na kuchukuliwa hatua ila cha ajabu weng wapo kimya utazan hawajui kinachoendelea wanaumia moyon hao hao ndio wanataka kushindana YouTube na insta ,ila ktk kutetea wanaowaangalia wavivu na wabinafs
Unataka wasanii watunge wimbo??
 
Wameikata speed sahizi hata kudownload haizidi 1MB per Sec,,, Tanzania nchi ya kiduanzi sana yani, viongozi wameweka madarakani kupigania maslahi ya wananchi ila badili yake wao wamegeuka waharibifu wa maisha ya raia! Ina boa sanaaaa
Nambie Zantel wanasemaje mkuu
 
Vibaki hivi hivi au viongezeke zaidi. Mitandaoni kumejaa watu wengi wajinga sana
Wakati dunia inaelekea 4th Industrial revolution na digital economy ''mnyonge'' anashabikia bando kupaa bei eti furaha yako watu wapungue tu.

Hizi roho za kwanini zinaturudisha nyuma waafrika..... Sishangai thou wana CCM hamjawahi kuwa na reasoning hta siku moja.
 
Kwani historia ya Mheshimiwa ishaanza kufundishwa.
Je Mheshimiwa day teyari ishakuwa authorized
Vipi lile sanamu pendwa
Siamini kama wamepandisha vifurushi kabla????
 
Unataka wasanii watunge wimbo??
Ata wakitunga nyimbo ok tu ,kama wanatunga nyimbo za kampen na maombolezo hawashindw kutunga nyimbo kwa mambo mengne cha msing ujumbe ufike haijalish watatumia njia gan
 
Kwani historia ya Mheshimiwa ishaanza kufundishwa.
Je Mheshimiwa day teyari ishakuwa authorized
Vipi lile sanamu pendwa
Siamini kama wamepandisha vifurushi kabla????
🤣🤣🤣
 
Wananzengo na members wote JF na nje ya JF, yatupasa kupaza sauti kukinzana na utaratibu huu mpya wa vifurushi huu utakandamiza masikini.

Haiwezekani vifurushi vipande hivyo. Inaonekana hayo si mabadiliko bali ni ukandamizaji.

Serikali lione hili.

SAUTI YA WATANZANIA

View attachment 1740272
Serikali gani wakati vilipitishwa na wabunge .
 
Back
Top Bottom