Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

Badala ya kuhamasisha kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi wewe uko bize na vifurushi mkuu kweli?
Mkuu Nawewe anzisha Uzi wako Wa kuhamasisha katiba Mpya,kila mtu ana demands zake maishani,wewe hitaji lako ni katiba,huyu hitaji lake ni bando,Mimi hitaji langu ni ongezeko la mshahara.kwahiyo tusipangiane
 
Alfu voda net ipo slow Sana Sana
Wameikata speed sahizi hata kudownload haizidi 1MB per Sec,,, Tanzania nchi ya kiduanzi sana yani, viongozi wameweka madarakani kupigania maslahi ya wananchi ila badili yake wao wamegeuka waharibifu wa maisha ya raia! Ina boa sanaaaa
 
Wameikata speed sahizi hata kudownload haizidi 1MB per Sec,,, Tanzania nchi ya kiduanzi sana yani, viongozi wameweka madarakani kupigania maslahi ya wananchi ila badili yake wao wamegeuka waharibifu wa maisha ya raia! Ina boa sanaaaa
Yaani wamenitia hasara nime nunua bando mara mbili nilijuwa bado dah wajinga sana hawa watu na voda wenyewe
 
Duuuh... kwa hiyo vile vikao vilivyokuwa vikifanyika pale TCRA ili kuboresha huduma na yule waziri ndio wameleta upuuzi huu???
 
Back
Top Bottom