FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mzani utabalance siku zote, hata iweje, huwezi kuwapandishia watu gharama za uendeshaji halafu ukategemea mambo yawe vilevile, hii nchi ina mamlaka za udhibiti kama kumbikumbi, kazi kuomba rushwa tu, hizo rushwa ndio tunabebeshwa wateja sasa