Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.walipitisha kwaajili ya kupandisha hivi
CCM wawasikilize yatakuwa maajabu,mshaambiwa mpo uchumi wa katiOmbi pia kwa Moderator na mkuu Maxence Melo na wengine JamiiForums tunaomba uzi huu muupeleke kwenye mitandao yenu ya kijamii wanaweza sikia malalamiko haya.
Mchawi ni serikali, wala msiwalaumu!!hata sijaelewa kwani ni nani aliyelalamika kuwa anapunjwa, kwani ilikuwa mnyonge, ndio analalamika, lakini mbona sana ni kama makampuni ndio yalikuwa yamelalamika, kwani ndio wamepewa point tatu!!!MNYONGEEE, majina mengine lazima yasadifu uhalisia wake, ujiite TABU/MATATIZO utegemee kuja kuwa na raha kweli.Wameshiba hela
Vyombo gan hvyo unasemea hiv vinavyojua kusifu na kuabudu ama??vyombo vikubwa vya habari vipaze sauti
Wasemee wap? Ukimuondoa masoud kinyanya kuna mwandishi mwingne wa kuonyesha hayo madudu ?Ndo hakuna uhuru wa kusema chochote eti
Weka ghairi!!!
Kudadeki yani voda nilikuwa napata gb 3 na mb 72 kwa sh. 3000 siku saba eti saa hivi naangalia ile menu nakuta gb 1.2 sh. 3000 siku 7 kuanzia leo mb zangu zikiisha hawanipati tena.Wananzengo na members wote JF na nje ya JF, yatupasa kupaza sauti kukinzana na utaratibu huu mpya wa vifurushi huu utakandamiza masikini.
Haiwezekani vifurushi vipande hivyo. Inaonekana hayo si mabadiliko bali ni ukandamizaji.
Serikali lione hili.
SAUTI YA WATANZANIA
View attachment 1740272
Yaani tabu tupu MB za siku sawa na kilo ya nyama kweliKudadeki yani voda nilikuwa napata gb 3 na mb 72 kwa sh. 3000 siku saba eti saa hivi naangalia ile menu nakuta gb 1.2 sh. 3000 siku 7 kuanzia leo mb zangu zikiisha hawanipati tena.
Kwa siku hiyo gb 1 hainitoshi kabisa kwa hilo wanosamehe tuu kwa kweliYaani tabu tupu MB za siku sawa na kilo ya nyama kweli
Tungekuwa na uwezo wa kuelewana nchi nzima hakuna kutumia internet hadi washushe bei tungewanyooshayaani hakuna kitu hapo GB1 inaishia FB tu mbona