Tanzania tutunge sheria ya kunyonga hadharani wataobainika kufanya makosa ya ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma

Huwezi Pambana na ufisadi ukiwa fisadi.
Ccm bila ufisadi haiwezekani.Tza fisadi afungwi ulipa faini mbuzi anaefungwa jela ni kibaka sababu hana pesa ya kumuhonga hakimu.
 
Acha uongo toka lini Magu alipambana na mafisadi? Hakuwahi kupambana na mafisadi bali alitumia ufisadi kama silaha ya kupambana na wasiotaka kumsujudia.
Huwezi sema alipambana kwa kukuacha joka la makengeza,hili KILA dili zote kubwa lipo.
Waliotafuna nchi hii yafaa wapewe tuzo ni iddi simba,karamagi,chenge,basil mramba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…