Magufuli alivyokuwa akideal na mafisadi perpendicularly bila kupepesa macho mlifanyaje? Si mlianza kumwita dikteta uchwara? Eti hafati utawala wa sheria?
Ni hivi, no one takes seriously kelele za ufisadi kutoka kwa watu wale wale waliokuwa wakimponda Magufuli. You do not mean it nyie mnachoangalia ni kete tu za siasa.
Tunamsubiri kwa hamu sana Magufuli mwingine!