Wanaojiajiri ni wale waliokubali kuzifuata ndoto zao na kizitimiza..
Na nyie wakuajiriwai ndio wale mliokubali kuziacha/kuzikana ndoto zenu na kuzijenga ndoto za wengine
Mnajisifu kwa mishahara mikubwa wakati maendeleo yenu binafsi hayaonekani.....mwishoe mnakaa mnastaafu mkipata izo pensheni ndio mnaanzaga et kujenga tena nyumba za kawaida tu, Wakati huo ujana wako ndio ulikua unatamba kitaa kua mimi mwajiriwa bwana... na kuendekeza starehe
Your salary is the bribe they give you to forget your dream