Tanzania ukisoma hadi chuo ni kama laana mtaani

Tanzania ukisoma hadi chuo ni kama laana mtaani

Nisikuchoshe usinichoshe, bila kumsifu mama wala chama hata kama una masters, degree au diploma of honor Yani GPA ya nne ma straight A's huku mtaani ni laana tu kwanza unakuwa case study pili hupati michongo maana kila mtu anaona unaenda kumuovertake kwenye ugali wake ukienda kujiajiri ndio balaa tupu maana mkononi mtaji una elfu hamsini, unabaki kubishana tu vijiweni kati ya chama na pacome nani mkali utaishia kujua ofisi zote za kubeti na kama haitoshi utamsifu mama utakuwa chawa utapauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi.

Ndio maana tunaanza kuoneana wivu hadi tunaanza kutamani uchawi... Na ndio sisi tunaunga mkono kila hoja ya wapinzani ila tunakula ChiChieM na kussuport kikokotoo, mwisho nawashauri wadogo zangu kama hauna ndugu maofisini tena wenye vyeo usiwasumbue wazazi kukulipia ada bora ufanye mtaji uanze kuuza hata viatu au mawigi utanishukuru baadae​
Mkuu kuna vitu vya kuelewa kwanza kabsa kabla hujaenda chuo na hata baada ya kumaliza chuo!
Ukienda Chuo mara kadhaa unaondoka kwenye uhalisia wa mtaani, utatamani uvae nguo nzuri kila siku, uwe na chumba chako, uwe na redio kubwa, laptop, na upate good time kila weekend. Utajitenga na watu kwa sababu wewe ni msomi! Utaona kama wengine wamekosea kufanya kazi ambazo sio za taaluma yako.
Ukimaliza Chuo utarudi mtaani ambapo umeshasahau kila kitu! Unaanza kutengeneza connection upya na kuanza maisha ambayo ndo msingi wa maisha yako!
Kusoma ni jambo moja, kubadilisha ulichokisoma ni jambo jingine ila kikubwa ni kufanya taaluma yako iendane na jamii. Sio laana wala sio kitu kibaya! Kuna watu wameishia shule ya msingi bado wanapigika na maisha, kuna wengine wameishi sekondari wametoboa! Maisha ya mwafrika ni kama kumchinja kobe, inahitaji timing.​
 
Kabsa kimbindi cha kupitia msoto unapoteza kila kitu. Hilo lipo wazi sana. Wana tuwe na subira tu na kukaza kwa kazi yoyote
Subira ipo ila wengi hujikuta wana msongo mkubwa wa mawazo unaowaingiza katika tabia za ajabu na kupelekea hali kuwa mbaya zaidi.

Hapo kwenye kazi yeyote wasomi wengi tunajiona special sana kwa kuchagua kazi za kufanya, wengi hawataki kufanya kazi za nguvu sababu ya usomi wao. Ni bora kufanya kazi ya nguvu upate visenti vya kukidhi mahitaji kuliko kukaa bure kusubiri ajira ambayo hujui utaipata lini.
 
Daaah kweli ni changamoto kubwa lakini pia wasomi wengi sio wavumilivu. Kuna dogo mmoja miaka 5 iliyo pita nilikutana nae saiti kwenye kibanda changu alikua wakala wa mabati si uanjua cku hz hua wanatembelea kwenye makazi mapya kutafuta wateja.
Basi akawa ananielezea mabati ya kampuni anayo tokea na kunishawishi haswa. Badi baada ya miezi nikampigia nakwenda kiwandani kwao na kuchukua bati alifurahi sana kisha akasema yy analipwa kwa commission tu. Ikitokea cku moja moja kupewa nauli ya saiti tu.
Basi maisha yakaendelea majuzi nikawa nauhitaji wa mabati mengine nikampigia nikaenda kiwandani kwao akasema uvumilivu umemlipa kwenye kampuni mpk
Kawa manager na mambo sio haba tena. Na nikapata punguzo kubwa mno nimeokoa pesa mingi mno.
Uvumilivu ni muhimu. Na yy anasema aliingia kma sio msomi wakati w uwakala mwanzo baadae akawapatia vyeti walibaki wanashanga wachina kua kumbe ulikua msomi na ukakubali kua wakala w kutembea kwenye masaiti. Ww hakika unatufaa mnoo.
UVUMILIVU UVUMILIVU KWA W SOMI NI HABA MNO.


kazi ni kipimo cha UTU
 
Kwa kujazia tu japokuwa sitagusa sana personal details maana napenda ku hide identity yangu nitawapa story ila nitaifanya long story short..

Mimi nilimaliza chuo huko Dodoma nilisomea kozi ya Uchumi mwaka 2016, kumbuka apo sina experience ya biashara yoyote maana nimetumia maisha yote kusoma tangu nikiwa na miaka 6 duniani Yani 1999, nilivoingia mtaani nikaanza kuzunguka na vyeti mwaka 2017 wote bila mafanikio, nikaona sio kesi nikashika fursa ya kuanza kujitolea katika makampuni tofauti ikiwemo ya real estates, ofisi za manispaa kwa mwaka na nusu nikaona bado njia ni ngumu maana hata zikitokea nafasi za ajira wanapeana tu.

2018 nikaona isiwe tabu nikaanza kuzikamata fursa za kujiajiri kupitia biashara ndogondogo nikaanza na kubetisha kwa commission (premier betting wenyewe wanaita BINGO) hapo ndipo nikaanza kuona ndoto maana commission yao ni 7% Yani mtu akitoa mkeka wa buku mi napata sh 70 akitoa mkeka wa 10000 mi napata 700 mwanzo ilikua ngumu maana ata ukipata pesa ya kula unasema alhamdulillah na kwa uvumilivu nikifanya kwa mwaka mzima Io kazi ila baadae nikaona bado sio sawa nikatafuta ki frem (Temeke ) ndani ndani nikaanzisha biashara ya library Yani mambo ya kukodisha CD na kurusha nyimbo n.k lakini kutokana na competition kuwa kubwa nikaona nijiongeze kibunifu nikatafuta wachina nikawaomba mashine za Korokoro/ bonanza wengi wanaziita Dubu nikakimbizana nao kama miezi sita,
Mungu sio athumani nikatengeneza kimsingi kidogo hapo nikanawiri nikawa smart sina stress bebez nadaka na home nikatoka nikawa nimejiongeza kupanga japo mabondeni ila nilikuwa kwangu, huo mwaka 2020 sasa ndio nikaanza kuona maswahibu maana wamama na viongozi wa ule mtaa walianza kuipinga ile biashara kwa madai ya kwamba inajaribu watoto wao wanawaibia waje kucheza na kibaya zaidi wezi aka panya road wanapita na baadhi ya vitu inanilazimu kufunga biashara ile nikaangalia plan B chap chap nikazama kwenye biashara za Chips ambayo mwanzo ilikuwa ngumu maana ule mtaa nilikuwa nafahamiana na watu wengi sana na wengi walikuja ila kukopa ukiwakazia hawarudi tena pamoja na hizo changamoto Mungu ni mwema nilikaza hadi biashara ikasimama na nikafungua matawi mawili na maanisha nikawa nina ofisi 3 na vijana 6 mimi kazi yangu hapo ikawa ni kununua mzigo wa siku na ufuatiliaji tu wa hesabu kiboss.

Sasa kupitia manunuzi ya bidhaa kwa ajiliya hizo ofisi ndio nikaanza kuona fursa nyinginezo kwa mfano biashara ya viazi Yani kusupply viazi kutoka mkoani, biashara ya mafuta, biashara ya kuku na biashara ya nyama, nikaanza kuzifanyia research kwa muda kupitia watu niliokuwa nanunua kwao na kupitia masokoni hatimaye nikafanya hitimisho la kuingia kinaga ubaga kwenye biashara ya kuku maana niliona chain yake ni rahisi kuna uhakika wa mzigo na uhakika wa wateja na hata msingi wake sio mkubwa kama mafuta, nyama na viazi nikaamua kufunga zile biashara namaanisha matawi yote maana hata wale vijana walikuwa wananipiga sana japokuwa chochote kitu nilikuwa ninapata ila sio uhalisia wa kilichokuwa kinapatikana basi nikampigia mnada vitu vyote nikashika pesa nikazama kwa miguu miwili kwenye ile biashara, kwa kweli niliimaster japo mwanzo nilipata changamoto maana ile pesa ya msingi ilikufa yote tena ndani ya miezi miwili ila fast forward nlkuja kubwa supplier mkubwa tena mwenye mtandao wa wafugaji na wateja wengi ikiwemo hizi bar zenye majina makubwa za sinza na tabata hadi nikafungua butcher ya kisasa tu nani samaki kuku na nyama mixer mayai na sausage hapa nilikuwa sihitaji tena ajira na vyeti nilikua nishavirudisha kwa mama muda tu maana niliamini sitokuja kuhitaji ajira tena..

Katika story yote sijaelezea upande wa mahusiano ila alikuwepo binti wa kichaga nyuma yangu na alikuwa wa home tu na nilizaa nae watoto wawili na mwisho tulipita changamoto ikapelekea kutengana na kugawana kila kitu mimi nikiaishia kupata msongo wa mawazo nikauza kila nilchobaki nacho nikanununua boda nikaingia barabarani nikapata ajali nilivokaa sawa nikajikuta nalea watoto kwa kubeti tu na hapa ndio nimepauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi kila nikijitahidi kutafuta ajira hakuna nisharudi na watoto kwa mama network yangu hakuna mwenye msaada zaidi naishia kunywa konyagi za kununuliwa na hawa darasa la saba na form four niliowaacha mtaani tena ukiisha unaongezwa na kunadiwa kubwa huyu hana baya ye zake konyagi tu...
Oya sasa hizi mbuzi zinasema wasomi wajinga mara una vyeti huna elimu nazishangaa tu maana nikikumbuka msoto wa kuipata Io degree nimepiga calculus nimepambana na dissertation kudefend research na kuifanya bado form four na six acha nikabeti nipate hela ya konyagi
 
Kwa kujazia tu japokuwa sitagusa sana personal details maana napenda ku hide identity yangu nitawapa story ila nitaifanya long story short..

Mimi nilimaliza chuo huko Dodoma nilisomea kozi ya Uchumi mwaka 2016, kumbuka apo sina experience ya biashara yoyote maana nimetumia maisha yote kusoma tangu nikiwa na miaka 6 duniani Yani 1999, nilivoingia mtaani nikaanza kuzunguka na vyeti mwaka 2017 wote bila mafanikio, nikaona sio kesi nikashika fursa ya kuanza kujitolea katika makampuni tofauti ikiwemo ya real estates, ofisi za manispaa kwa mwaka na nusu nikaona bado njia ni ngumu maana hata zikitokea nafasi za ajira wanapeana tu.

2018 nikaona isiwe tabu nikaanza kuzikamata fursa za kujiajiri kupitia biashara ndogondogo nikaanza na kubetisha kwa commission (premier betting wenyewe wanaita BINGO) hapo ndipo nikaanza kuona ndoto maana commission yao ni 7% Yani mtu akitoa mkeka wa buku mi napata sh 70 akitoa mkeka wa 10000 mi napata 700 mwanzo ilikua ngumu maana ata ukipata pesa ya kula unasema alhamdulillah na kwa uvumilivu nikifanya kwa mwaka mzima Io kazi ila baadae nikaona bado sio sawa nikatafuta ki frem (Temeke ) ndani ndani nikaanzisha biashara ya library Yani mambo ya kukodisha CD na kurusha nyimbo n.k lakini kutokana na competition kuwa kubwa nikaona nijiongeze kibunifu nikatafuta wachina nikawaomba mashine za Korokoro/ bonanza wengi wanaziita Dubu nikakimbizana nao kama miezi sita,
Mungu sio athumani nikatengeneza kimsingi kidogo hapo nikanawiri nikawa smart sina stress bebez nadaka na home nikatoka nikawa nimejiongeza kupanga japo mabondeni ila nilikuwa kwangu, huo mwaka 2020 sasa ndio nikaanza kuona maswahibu maana wamama na viongozi wa ule mtaa walianza kuipinga ile biashara kwa madai ya kwamba inajaribu watoto wao wanawaibia waje kucheza na kibaya zaidi wezi aka panya road wanapita na baadhi ya vitu inanilazimu kufunga biashara ile nikaangalia plan B chap chap nikazama kwenye biashara za Chips ambayo mwanzo ilikuwa ngumu maana ule mtaa nilikuwa nafahamiana na watu wengi sana na wengi walikuja ila kukopa ukiwakazia hawarudi tena pamoja na hizo changamoto Mungu ni mwema nilikaza hadi biashara ikasimama na nikafungua matawi mawili na maanisha nikawa nina ofisi 3 na vijana 6 mimi kazi yangu hapo ikawa ni kununua mzigo wa siku na ufuatiliaji tu wa hesabu kiboss.

Sasa kupitia manunuzi ya bidhaa kwa ajiliya hizo ofisi ndio nikaanza kuona fursa nyinginezo kwa mfano biashara ya viazi Yani kusupply viazi kutoka mkoani, biashara ya mafuta, biashara ya kuku na biashara ya nyama, nikaanza kuzifanyia research kwa muda kupitia watu niliokuwa nanunua kwao na kupitia masokoni hatimaye nikafanya hitimisho la kuingia kinaga ubaga kwenye biashara ya kuku maana niliona chain yake ni rahisi kuna uhakika wa mzigo na uhakika wa wateja na hata msingi wake sio mkubwa kama mafuta, nyama na viazi nikaamua kufunga zile biashara namaanisha matawi yote maana hata wale vijana walikuwa wananipiga sana japokuwa chochote kitu nilikuwa ninapata ila sio uhalisia wa kilichokuwa kinapatikana basi nikampigia mnada vitu vyote nikashika pesa nikazama kwa miguu miwili kwenye ile biashara, kwa kweli niliimaster japo mwanzo nilipata changamoto maana ile pesa ya msingi ilikufa yote tena ndani ya miezi miwili ila fast forward nlkuja kubwa supplier mkubwa tena mwenye mtandao wa wafugaji na wateja wengi ikiwemo hizi bar zenye majina makubwa za sinza na tabata hadi nikafungua butcher ya kisasa tu nani samaki kuku na nyama mixer mayai na sausage hapa nilikuwa sihitaji tena ajira na vyeti nilikua nishavirudisha kwa mama muda tu maana niliamini sitokuja kuhitaji ajira tena..

Katika story yote sijaelezea upande wa mahusiano ila alikuwepo binti wa kichaga nyuma yangu na alikuwa wa home tu na nilizaa nae watoto wawili na mwisho tulipita changamoto ikapelekea kutengana na kugawana kila kitu mimi nikiaishia kupata msongo wa mawazo nikauza kila nilchobaki nacho nikanununua boda nikaingia barabarani nikapata ajali nilivokaa sawa nikajikuta nalea watoto kwa kubeti tu na hapa ndio nimepauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi kila nikijitahidi kutafuta ajira hakuna nisharudi na watoto kwa mama network yangu hakuna mwenye msaada zaidi naishia kunywa konyagi za kununuliwa na hawa darasa la saba na form four niliowaacha mtaani tena ukiisha unaongezwa na kunadiwa kubwa huyu hana baya ye zake konyagi tu...
Oya sasa hizi mbuzi zinasema wasomi wajinga mara una vyeti huna elimu nazishangaa tu maana nikikumbuka msoto wa kuipata Io degree nimepiga calculus nimepambana na dissertation kudefend research na kuifanya bado form four na six acha nikabeti nipate hela ya konyagi



Pole ila inaonekana Wanawake ndo wamekutoa mchezoni na sio elimu , Education is key to open up ur mind .


Hustle na mademu au wan awake haviendani siku zote.
 
Pole sana ndg yangu, kusoma si 100% njia yakufanikiwa maisha. Maisha yanahitaji kujituma haswa, wapo wengi waliosoma wanaona aibu kushika jembe. Yaani hapa tulipo wasomi ndio tunatakiwa kuchakarika zaidi ya wale wasio soma. Kumbuka umepoteza muda mwingi shuleni. Kuna gepu unalopaswa ulizibe na upige hatua mbele. Tafuta kazi hata ya laki 2.5, jibane ipate mtaji wakukodi hata ecra 3. Nunua mbegu ya maharage. Musimu ukifika Lima maharage, mwezi wa pili tu hapo unavuna. Panda alizeti, kwenye hizo ecra. Mwezi wa sita au saba vuna, panda dengu. Baada ya hapo kusanya ulichopata kawekeze kwenye ufugaji. Miaka 2 baadae njoo unishikuru.
 
Oya mi wa 8 huu ni mikazo tu usmart unapotea tushajitolea sana ofisi za watu tushafuga sana kuku lakini hola inatia uchizi sometimes tunamaliza kunywa chai ndio tunapiga maswali au unalala ndio unakumbuka hujaoga siku ya pili
Keep pushing brother 👊
 
Kwa kujazia tu japokuwa sitagusa sana personal details maana napenda ku hide identity yangu nitawapa story ila nitaifanya long story short..

Mimi nilimaliza chuo huko Dodoma nilisomea kozi ya Uchumi mwaka 2016, kumbuka apo sina experience ya biashara yoyote maana nimetumia maisha yote kusoma tangu nikiwa na miaka 6 duniani Yani 1999, nilivoingia mtaani nikaanza kuzunguka na vyeti mwaka 2017 wote bila mafanikio, nikaona sio kesi nikashika fursa ya kuanza kujitolea katika makampuni tofauti ikiwemo ya real estates, ofisi za manispaa kwa mwaka na nusu nikaona bado njia ni ngumu maana hata zikitokea nafasi za ajira wanapeana tu.

2018 nikaona isiwe tabu nikaanza kuzikamata fursa za kujiajiri kupitia biashara ndogondogo nikaanza na kubetisha kwa commission (premier betting wenyewe wanaita BINGO) hapo ndipo nikaanza kuona ndoto maana commission yao ni 7% Yani mtu akitoa mkeka wa buku mi napata sh 70 akitoa mkeka wa 10000 mi napata 700 mwanzo ilikua ngumu maana ata ukipata pesa ya kula unasema alhamdulillah na kwa uvumilivu nikifanya kwa mwaka mzima Io kazi ila baadae nikaona bado sio sawa nikatafuta ki frem (Temeke ) ndani ndani nikaanzisha biashara ya library Yani mambo ya kukodisha CD na kurusha nyimbo n.k lakini kutokana na competition kuwa kubwa nikaona nijiongeze kibunifu nikatafuta wachina nikawaomba mashine za Korokoro/ bonanza wengi wanaziita Dubu nikakimbizana nao kama miezi sita,
Mungu sio athumani nikatengeneza kimsingi kidogo hapo nikanawiri nikawa smart sina stress bebez nadaka na home nikatoka nikawa nimejiongeza kupanga japo mabondeni ila nilikuwa kwangu, huo mwaka 2020 sasa ndio nikaanza kuona maswahibu maana wamama na viongozi wa ule mtaa walianza kuipinga ile biashara kwa madai ya kwamba inajaribu watoto wao wanawaibia waje kucheza na kibaya zaidi wezi aka panya road wanapita na baadhi ya vitu inanilazimu kufunga biashara ile nikaangalia plan B chap chap nikazama kwenye biashara za Chips ambayo mwanzo ilikuwa ngumu maana ule mtaa nilikuwa nafahamiana na watu wengi sana na wengi walikuja ila kukopa ukiwakazia hawarudi tena pamoja na hizo changamoto Mungu ni mwema nilikaza hadi biashara ikasimama na nikafungua matawi mawili na maanisha nikawa nina ofisi 3 na vijana 6 mimi kazi yangu hapo ikawa ni kununua mzigo wa siku na ufuatiliaji tu wa hesabu kiboss.

Sasa kupitia manunuzi ya bidhaa kwa ajiliya hizo ofisi ndio nikaanza kuona fursa nyinginezo kwa mfano biashara ya viazi Yani kusupply viazi kutoka mkoani, biashara ya mafuta, biashara ya kuku na biashara ya nyama, nikaanza kuzifanyia research kwa muda kupitia watu niliokuwa nanunua kwao na kupitia masokoni hatimaye nikafanya hitimisho la kuingia kinaga ubaga kwenye biashara ya kuku maana niliona chain yake ni rahisi kuna uhakika wa mzigo na uhakika wa wateja na hata msingi wake sio mkubwa kama mafuta, nyama na viazi nikaamua kufunga zile biashara namaanisha matawi yote maana hata wale vijana walikuwa wananipiga sana japokuwa chochote kitu nilikuwa ninapata ila sio uhalisia wa kilichokuwa kinapatikana basi nikampigia mnada vitu vyote nikashika pesa nikazama kwa miguu miwili kwenye ile biashara, kwa kweli niliimaster japo mwanzo nilipata changamoto maana ile pesa ya msingi ilikufa yote tena ndani ya miezi miwili ila fast forward nlkuja kubwa supplier mkubwa tena mwenye mtandao wa wafugaji na wateja wengi ikiwemo hizi bar zenye majina makubwa za sinza na tabata hadi nikafungua butcher ya kisasa tu nani samaki kuku na nyama mixer mayai na sausage hapa nilikuwa sihitaji tena ajira na vyeti nilikua nishavirudisha kwa mama muda tu maana niliamini sitokuja kuhitaji ajira tena..

Katika story yote sijaelezea upande wa mahusiano ila alikuwepo binti wa kichaga nyuma yangu na alikuwa wa home tu na nilizaa nae watoto wawili na mwisho tulipita changamoto ikapelekea kutengana na kugawana kila kitu mimi nikiaishia kupata msongo wa mawazo nikauza kila nilchobaki nacho nikanununua boda nikaingia barabarani nikapata ajali nilivokaa sawa nikajikuta nalea watoto kwa kubeti tu na hapa ndio nimepauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi kila nikijitahidi kutafuta ajira hakuna nisharudi na watoto kwa mama network yangu hakuna mwenye msaada zaidi naishia kunywa konyagi za kununuliwa na hawa darasa la saba na form four niliowaacha mtaani tena ukiisha unaongezwa na kunadiwa kubwa huyu hana baya ye zake konyagi tu...
Oya sasa hizi mbuzi zinasema wasomi wajinga mara una vyeti huna elimu nazishangaa tu maana nikikumbuka msoto wa kuipata Io degree nimepiga calculus nimepambana na dissertation kudefend research na kuifanya bado form four na six acha nikabeti nipate hela ya konyagi
Sasa hapo wawezaje kuilaumu elimu mkuu wakati hata research uliweza kufanya tofauti na wa lasaba
 
Malalamiko hayatakusaidia ndgu yangu.
Miaka nane mtaani na bado hujajifunza njia ipi utumie ili upate unafuu wa maisha zaidi ya kuilaumu elimu, huo ni ujinga kabisa.

Miaka 8 ni mingi sana kuset malengo nje hata ya ulichokisomea, labda kama unataka pesa mingi kwa wakati mmoja. Ninyi ndio mnaozikataa ajira za laki 3 kwa kuona haziendani na hadhi ya elimu zenu.

Matokeo yake mtu anaishia kusota mtaani, la kufanya hana, hela hana , ajira hataki, kazi ngumu hataki, anataka kiyoyozi na V8.

Sometimes tunailaumu bure tu hii elimu yetu, ila tatizo kubwa pia ni sisi wenyewe. Kama umeshajua kua tatizo ni elimu yako, umefanya nini ili kulifix hilo??
Maana kujua tatizo ni hatua nzuri ya kulisolve.

Malalamiko hayatakusaidia ndgu yangu.
Miaka nane mtaani na bado hujajifunza njia ipi utumie ili upate unafuu wa maisha zaidi ya kuilaumu elimu, huo ni ujinga kabisa.

Miaka 8 ni mingi sana kuset malengo nje hata ya ulichokisomea, labda kama unataka pesa mingi kwa wakati mmoja. Ninyi ndio mnaozikataa ajira za laki 3 kwa kuona haziendani na hadhi ya elimu zenu.

Matokeo yake mtu anaishia kusota mtaani, la kufanya hana, hela hana , ajira hataki, kazi ngumu hataki, anataka kiyoyozi na V8.

Sometimes tunailaumu bure tu hii elimu yetu, ila tatizo kubwa pia ni sisi wenyewe. Kama umeshajua kua tatizo ni elimu yako, umefanya nini ili kulifix hilo??
Maana kujua tatizo ni hatua nzuri ya kulisolve.m

Malalamiko hayatakusaidia ndgu yangu.
Miaka nane mtaani na bado hujajifunza njia ipi utumie ili upate unafuu wa maisha zaidi ya kuilaumu elimu, huo ni ujinga kabisa.

Miaka 8 ni mingi sana kuset malengo nje hata ya ulichokisomea, labda kama unataka pesa mingi kwa wakati mmoja. Ninyi ndio mnaozikataa ajira za laki 3 kwa kuona haziendani na hadhi ya elimu zenu.

Matokeo yake mtu anaishia kusota mtaani, la kufanya hana, hela hana , ajira hataki, kazi ngumu hataki, anataka kiyoyozi na V8.

Sometimes tunailaumu bure tu hii elimu yetu, ila tatizo kubwa pia ni sisi wenyewe. Kama umeshajua kua tatizo ni elimu yako, umefanya nini ili kulifix hilo??
Maana kujua tatizo ni hatua nzuri ya kulisolve.
Kuna dogo nilimaliza naye chuo mwaka 2018, yeye hakuleta sijui mbwembwe za usomi alipomaliza tu chuo kuna ndugu yake alimnunulia bajaji aisimamie, jamaa alipambana na ile bajaji kwa uaminifu, baadaye kuna ticha mmoja tulikuwa naye group discussion moja na huyo dogo akanunua bajaji na kumkabidhi aisimamie akawa anafanya vizuri, kuna lecturer wetu pia baada ya kuona fighting spirit ya dogo na uaminifu wake naye akamkabidhi bajaji then akamuunganisha na jamaa wengine wapo serikalini kwenye vitengo wakamkabidhi bajaji zao azisimamie dogo akajikuta anasimamia bajaji nyingi mpaka wenzake wakawa wanamuita Issa mabajaji pia wakawa wanamshtutumu kuwa ni mshirikina. Dogo now kajenga nyumba yake uyole kamfungulia mkewe duka wale jamaa wa serikalini mmoja wao kanunua gari la mizigo linasimamiwa na huyo huyo dogo, leo hii anapiga hatua anatuzidi mpaka inservice ambao tulikuwa naye chuo na wenzake aliomaliza nao mpaka leo wanasubiri ajira za ualimu.
 
Oyaaa acha na wanatunyanyasa maana ndio wana vi IST na viduka vya nguo midizini na karume oya wanatunanga had basi kibaya zaidi hawatupi michongo zaidi kutununulia konyagi tena chupa kubwa watuue mapema 😞😞
Ili wawarithi wake zenu na mademu zenu!
 
NADHARIA;
serikali ilisema darasa 1 linagharimu zaidi ya milion 20, na chekechea yetu itahitaji madarasa mawili.
Hivyo itahitajika milion 40 kuweza kuwa na chekechea.

Unataka kuniambia itatubidi kuwa na walimu 4 tuchange milion kumi kumi kwa kila mwalimu ili tuweze kufungua shule.

hiyo milion 10 ya mtaji kwa kila mwalimu tutaitoa wapi?

nb: kumbuka sijaweka gharama ya kiwanja, viti, meza, vitabu nk..
Tuko pamoja. Ni kwamba anaesema shule ya chekechea haina gharama anakosea.

1. Eneo la shule kwa uchache mita za mraba 2000
2. Gharama za chumba cha darasa
3. Uzio
4. Walimu
5. Dada wa kuhudumia watoto wadogo
6. Mlinzi
7. Samani
Nina hakika yapo mengine.
 
Nisikuchoshe usinichoshe, bila kumsifu mama wala chama hata kama una masters, degree au diploma of honor Yani GPA ya nne ma straight A's huku mtaani ni laana tu kwanza unakuwa case study pili hupati michongo maana kila mtu anaona unaenda kumuovertake kwenye ugali wake ukienda kujiajiri ndio balaa tupu maana mkononi mtaji una elfu hamsini, unabaki kubishana tu vijiweni kati ya chama na pacome nani mkali utaishia kujua ofisi zote za kubeti na kama haitoshi utamsifu mama utakuwa chawa utapauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi.

Ndio maana tunaanza kuoneana wivu hadi tunaanza kutamani uchawi... Na ndio sisi tunaunga mkono kila hoja ya wapinzani ila tunakula ChiChieM na kussuport kikokotoo, mwisho nawashauri wadogo zangu kama hauna ndugu maofisini tena wenye vyeo usiwasumbue wazazi kukulipia ada bora ufanye mtaji uanze kuuza hata viatu au mawigi utanishukuru baadae​
Tatizo una degree ya uchumi halafu huna lolote zaidi ya uchawa na kusifu serikali.
Watu walivyo na maisha magumu walitarajia watu kama nyie muisaidie serikali kuonesha njia lakini hamfanyi hivyo,unadhani nani atakuelewa?
 
Tofauti na ninavyosema kila siku. Tatizo sio elimu, bali tatizo ni vijana wenyewe. Ni naive na wajinga kupitiliza. Mpaka leo kuna mtu plan yake ya maisha ni moja tu, kusoma, hana backup yoyote wala contingency plan. Na anaamini maisha ni yale yale ya kukariri tangu miaka 30 nyuma. Kwamba soma, nenda chuo, para kazi na uishi maisha mazuri. Kitu ambacho ni ujinga kupitiliza. Sababu kiuhalisia maisha ni magumu na kamwe hautopata unachokitaka, bali unachostahili.

Nikisema kijana simaanishi mimi ni libabu fulani lenye mihela yake. Fuk no. Mimi ni kijana vilevile. Na uhalisia ninaouna ni vijana wengi kuanzia 18 na kuendelea ni wajinga kupita viwango. Hawajitumi, hawaangaiki, hawana akili, wavivu, delusional na wajuaji wapuuzi wapuuzi.

Fursa zipo nyingi lakini kwa ujinga wao hawawezi kuziona. Ukienda nje utakuta vijana wengi wanajishuhulisha na mambo mengi yanayooendelea duniani kwa sasa.
Technology inayokua kwa kasi kama AI ambayo unaweza kujifunza skills zozote na kukufundisha kama mtoto if wewe ni bichwa maji.

Application development kwa kuchukua idea za kila siku na kuzimplement mkononi.

YouTube kwa kutengeneza content mbalimbali za kipekee, even kutumia elimu yako kuonyesha profession yako, sababu ukiingia YouTube kwenye content za Tanzania utakuta kumejaa uchafu uchafu tu na visingeli. Wakati nje wenzetu wanaitumia kama profession kabisa, utakuta mtu anapost documentary zenye production quality safi za science, technology, history na Geography zaidi ya Discovery Science au National Geography. Views kuanzia 5 million na kuendelea. Na anaweza kuwa mtu mmoja au timu ya watu kadhaa. Entertainment kama ni mtu mwenye kipaji fulani na mambo mengi. Engineering projects au science project kama wewe ni msomi kweli.

Hayo mambo yanafanyika dunia nzima na vijana wote kuanzia USA, UK na Europe nzima, Korea na Japan.

Ninaposema watu wajiajiri na wafanye biashara huwa nashangaa wapodhani ni kuuza viatu na sambusa kariakoo. Kitu ambacho kinazidi kuprove jinsi gani Taifa limejaa vijaa wajnga, uncultured, unsophisticated na naive kupitiliza. Wakati hayo niliyoyasema yote ni kujiajiri na biashara vilevile.

Tatizo la Tanzania na wananchi wake kwa ujumla ni kuoverestimate official professions kama ndio njia na fursa pekee ya kuishi maisha bora, kiasi kwamba watu wote wamerundikana huko na serikali kushindwa kuhimili kuajiri kila mtu, kitu ambacho ni uhalisia kwa dunia nzima. Na ndio maana watu wenye akili wameamua kutengeneza fursa za aina nyingine kama nilizozieleza na watu wenye akili, wanaojitambua na kuelewa uhalisia wa maisha kwenda huko.

Kama ninavyosema kila siku, fursa zipo ila unahitaji akili na exposure kuziona. Na kama vijana wakiamua kuhangaika kweli basi Taifa litaona vilevile na kuweka mkazo kwenye hizo sekta. Sababu wenzetu wamewekeza kila sehemu, sio kwenye elimu tu. Bali hasa entertainment.

Kama vijana wangekuwa serious na Tanzania ingeamua kujenga theaters za kutosha kwa usaidizi wa wawekezaji au lah. Kunyanyua Art na Cinema Schools ili kutengeneza real actors (waigizaji kweli) kama Lupita Nyong'o, directors na cinematographers kweli. Basi Entertainment ingekuwa moja ya fursa kubwa nchini the likes of Hollywood. Hivi fikiria Movie moja kama Dune part 2 ambayo imeingiza Trillion 1.4, ingekuwa imetengenezwa Tanzania kwa kiswahili, nchi yenye watu zaidi ya million 60 na iuze kwa watu at least 30 million. Ingetoa kazi ngapi kwa vijana? Kuna Actors, production crew, graphics designers, vfx artists, costume designers (washonaji nguo), walinzi nk. Movie kama hii inaweza toast ajira kwa watu zaidi ya 10,000 na movie kama hizo zinatengenezwa kila siku. Span from miezi 6 na kuendelea. Watu wanaposema USA ni land of opportunities for everyone wanamaanisha ndio kama hivyo.

Vilevile technologically. Kama vijana wangekuwa kweli wenye njaa, curiosity na ubunifu academically, basi serikali au watu binafsi wangeshawishika kuwekeza kwenye technology ikiwemo kujenga Laboratories na Technology Hubs sehemu ambazo vijana wenye akili watakutana na kujumuika kubuni na kutengenza Technologies mbalimbali kurahisisha maisha na kuongeza fursa nchini. Ukienda Marekani utakuta Silicon Valley. Hii ni sehemu maalumu kwa technology, lazima niende huko kuangalia wapi taifa letu linakwama.

Right now nasoma Mechanical Engineering, lakini sina plan ya kuja kuajiriwa hata kidogo.

Hivyo Tatizo sio elimu, bali tatizo ni vijana wenyewe. Kama unaona nilichokiandika hukielewi basi jua nimekulenga wewe.
 
Back
Top Bottom