Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio maana huwa nasema ukifanikiwa usione kama wengine n wazembe, maisha n magumu mno.Kweli maana marafiki...ni kama wanamtenga hivi tena haswaa wale walioanza kufanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana huwa nasema ukifanikiwa usione kama wengine n wazembe, maisha n magumu mno.Kweli maana marafiki...ni kama wanamtenga hivi tena haswaa wale walioanza kufanikiwa
Maliza chuo mdogo wangu maneno yako yana ushawishi ila yamekaa kinadharia njoo mtaani ufanye practical kaa miaka mitano afu rudi kutupa mrejesho kwenye huu uzi.. kwamba video za youtube quality aisee kaz kweli kweli 🙌😂😂Tofauti na ninavyosema kila siku. Tatizo sio elimu, bali tatizo ni vijana wenyewe. Ni naive na wajinga kupitiliza. Mpaka leo kuna mtu plan yake ya maisha ni moja tu, kusoma, hana backup yoyote wala contingency plan. Na anaamini maisha ni yale yale ya kukariri tangu miaka 30 nyuma. Kwamba soma, nenda chuo, para kazi na uishi maisha mazuri. Kitu ambacho ni ujinga kupitiliza. Sababu kiuhalisia maisha ni magumu na kamwe hautopata unachokitaka, bali unachostahili.
Nikisema kijana simaanishi mimi ni libabu fulani lenye mihela yake. Fuk no. Mimi ni kijana vilevile. Na uhalisia ninaouna ni vijana wengi kuanzia 18 na kuendelea ni wajinga kupita viwango. Hawajitumi, hawaangaiki, hawana akili, wavivu, delusional na wajuaji wapuuzi wapuuzi.
Fursa zipo nyingi lakini kwa ujinga wao hawawezi kuziona. Ukienda nje utakuta vijana wengi wanajishuhulisha na mambo mengi yanayooendelea duniani kwa sasa.
Technology inayokua kwa kasi kama AI ambayo unaweza kujifunza skills zozote na kukufundisha kama mtoto if wewe ni bichwa maji.
Application development kwa kuchukua idea za kila siku na kuzimplement mkononi.
YouTube kwa kutengeneza content mbalimbali za kipekee, even kutumia elimu yako kuonyesha profession yako, sababu ukiingia YouTube kwenye content za Tanzania utakuta kumejaa uchafu uchafu tu na visingeli. Wakati nje wenzetu wanaitumia kama profession kabisa, utakuta mtu anapost documentary zenye production quality safi za science, technology, history na Geography zaidi ya Discovery Science au National Geography. Views kuanzia 5 million na kuendelea. Na anaweza kuwa mtu mmoja au timu ya watu kadhaa. Entertainment kama ni mtu mwenye kipaji fulani na mambo mengi. Engineering projects au science project kama wewe ni msomi kweli.
Hayo mambo yanafanyika dunia nzima na vijana wote kuanzia USA, UK na Europe nzima, Korea na Japan.
Ninaposema watu wajiajiri na wafanye biashara huwa nashangaa wapodhani ni kuuza viatu na sambusa kariakoo. Kitu ambacho kinazidi kuprove jinsi gani Taifa limejaa vijaa wajnga, uncultured, unsophisticated na naive kupitiliza. Wakati hayo niliyoyasema yote ni kujiajiri na biashara vilevile.
Tatizo la Tanzania na wananchi wake kwa ujumla ni kuoverestimate official professions kama ndio njia na fursa pekee ya kuishi maisha bora, kiasi kwamba watu wote wamerundikana huko na serikali kushindwa kuhimili kuajiri kila mtu, kitu ambacho ni uhalisia kwa dunia nzima. Na ndio maana watu wenye akili wameamua kutengeneza fursa za aina nyingine kama nilizozieleza na watu wenye akili, wanaojitambua na kuelewa uhalisia wa maisha kwenda huko.
Kama ninavyosema kila siku, fursa zipo ila unahitaji akili na exposure kuziona. Na kama vijana wakiamua kuhangaika kweli basi Taifa litaona vilevile na kuweka mkazo kwenye hizo sekta. Sababu wenzetu wamewekeza kila sehemu, sio kwenye elimu tu. Bali hasa entertainment.
Kama vijana wangekuwa serious na Tanzania ingeamua kujenga theaters za kutosha kwa usaidizi wa wawekezaji au lah. Kunyanyua Art na Cinema Schools ili kutengeneza real actors (waigizaji kweli) kama Lupita Nyong'o, directors na cinematographers kweli. Basi Entertainment ingekuwa moja ya fursa kubwa nchini the likes of Hollywood. Hivi fikiria Movie moja kama Dune part 2 ambayo imeingiza Trillion 1.4, ingekuwa imetengenezwa Tanzania kwa kiswahili, nchi yenye watu zaidi ya million 60 na iuze kwa watu at least 30 million. Ingetoa kazi ngapi kwa vijana? Kuna Actors, production crew, graphics designers, vfx artists, costume designers (washonaji nguo), walinzi nk. Movie kama hii inaweza toast ajira kwa watu zaidi ya 10,000 na movie kama hizo zinatengenezwa kila siku. Span from miezi 6 na kuendelea. Watu wanaposema USA ni land of opportunities for everyone wanamaanisha ndio kama hivyo.
Vilevile technologically. Kama vijana wangekuwa kweli wenye njaa, curiosity na ubunifu academically, basi serikali au watu binafsi wangeshawishika kuwekeza kwenye technology ikiwemo kujenga Laboratories na Technology Hubs sehemu ambazo vijana wenye akili watakutana na kujumuika kubuni na kutengenza Technologies mbalimbali kurahisisha maisha na kuongeza fursa nchini. Ukienda Marekani utakuta Silicon Valley. Hii ni sehemu maalumu kwa technology, lazima niende huko kuangalia wapi taifa letu linakwama.
Right now nasoma Mechanical Engineering, lakini sina plan ya kuja kuajiriwa hata kidogo.
Hivyo Tatizo sio elimu, bali tatizo ni vijana wenyewe. Kama unaona nilichokiandika hukielewi basi jua nimekulenga wewe.
Hahaha apo kwanza nicheke kwamba mimi ni chawa, Kwamba unaamka unapiga mswaki unakoga unakwenda kuisaidia serikali kuionyesha njia, Baridi mwanangu freshii 🤜Tatizo una degree ya uchumi halafu huna lolote zaidi ya uchawa na kusifu serikali.
Watu walivyo na maisha magumu walitarajia watu kama nyie muisaidie serikali kuonesha njia lakini hamfanyi hivyo,unadhani nani atakuelewa?
Dogo kumbe unanichoraga mm najua nakupaga madini wewe unaniona hamnazo..Dash kuna uncle wangu ni msomi safi very bright kichwani lakini mwaka wa 6 huu sometimes namuona ni kama anaanza kuloose mind
Biashara ya nafaka usiichukulie poa ina umafia mwingi kupigwa au kuuziwa mchele wenye mawe ni 100%Pole sana inaonekana unapitia mazito, Elimu yako weka pembeni jikite katika kutatua changamoto za Jamii inayokuzunguke kama ;
Chakula. Kipindi hiki ni cha mavuno nafaka bei cheee huku mjini bado ghali ingia humu kwa mtaji wowote utauona mwanga.
Thread ya kipumbavu kabisa kuwaona hapa JF.Nisikuchoshe usinichoshe, bila kumsifu mama wala chama hata kama una masters, degree au diploma of honor Yani GPA ya nne ma straight A's huku mtaani ni laana tu kwanza unakuwa case study pili hupati michongo maana kila mtu anaona unaenda kumuovertake kwenye ugali wake ukienda kujiajiri ndio balaa tupu maana mkononi mtaji una elfu hamsini, unabaki kubishana tu vijiweni kati ya chama na pacome nani mkali utaishia kujua ofisi zote za kubeti na kama haitoshi utamsifu mama utakuwa chawa utapauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi.
Ndio maana tunaanza kuoneana wivu hadi tunaanza kutamani uchawi... Na ndio sisi tunaunga mkono kila hoja ya wapinzani ila tunakula ChiChieM na kussuport kikokotoo, mwisho nawashauri wadogo zangu kama hauna ndugu maofisini tena wenye vyeo usiwasumbue wazazi kukulipia ada bora ufanye mtaji uanze kuuza hata viatu au mawigi utanishukuru baadae.
Mtaji ni helaPole sana inaonekana unapitia mazito, Elimu yako weka pembeni jikite katika kutatua changamoto za Jamii inayokuzunguke kama:
Chakula. Kipindi hiki ni cha mavuno nafaka bei cheee huku mjini bado ghali ingia humu kwa mtaji wowote utauona mwanga.
Shauri watu,, wasisome kupata kazi.. wa some kupata faniNisikuchoshe usinichoshe, bila kumsifu mama wala chama hata kama una masters, degree au diploma of honor Yani GPA ya nne ma straight A's huku mtaani ni laana tu kwanza unakuwa case study pili hupati michongo maana kila mtu anaona unaenda kumuovertake kwenye ugali wake ukienda kujiajiri ndio balaa tupu maana mkononi mtaji una elfu hamsini, unabaki kubishana tu vijiweni kati ya chama na pacome nani mkali utaishia kujua ofisi zote za kubeti na kama haitoshi utamsifu mama utakuwa chawa utapauka kama viatu vya mwalimu wa shule ya msingi.
Ndio maana tunaanza kuoneana wivu hadi tunaanza kutamani uchawi... Na ndio sisi tunaunga mkono kila hoja ya wapinzani ila tunakula ChiChieM na kussuport kikokotoo, mwisho nawashauri wadogo zangu kama hauna ndugu maofisini tena wenye vyeo usiwasumbue wazazi kukulipia ada bora ufanye mtaji uanze kuuza hata viatu au mawigi utanishukuru baadae.
Hii hoja naiunga mkono asilimia mia,!Na utafiti ukifanywa naamini utabainisha wazi kuwa Elimu ni miongoni mwa visababishi vikuu vya msongo wa mawazo Kwa wazazi/walezi na wahitimu/wanafunzi
Daah kweliNdio maana huwa nasema ukifanikiwa usione kama wengine n wazembe, maisha n magumu mno.
Sasa mkuu, Inawezekana kweli mtu yupo dar ana laki tano achukue nafaka alete dodoma?Jikusanye kuza mtaji hata kwa kuomba mbona shule umesomeshwa tafuta hata 500k tuu ingia Dodoma huku ni njaa njoo uza nafaka utapiga hela mpaka uikimbie..
Unaweza kuelimika na usiwe na kipato. Tujaribu kuelewa na kuacha kufikiri kuwa kila anayekosa tatizo ni yeye.Wengi wanasoma, ila wanao elimika ni wachache.
Sio powa unatoka relini kasoma course gani?Dash kuna uncle wangu ni msomi safi very bright kichwani lakini mwaka wa 6 huu sometimes namuona ni kama anaanza kuloose mind
Maswala ya ardhi...sina elimu zaidi ya kujua ni course gani ila niliwahi muona kwenye picha na rafiki zake akiwa na vifaa kama hivyo kwenye pichaSio powa unatoka relini kasoma course gani?