Tanzania vs Guinea: Tanzania yaaga mashindani baada ya kutoka sare ya mabao 2 kwa 2 dhidi ya Guinea

Tanzania vs Guinea: Tanzania yaaga mashindani baada ya kutoka sare ya mabao 2 kwa 2 dhidi ya Guinea

Mabeki wataighalimu timu Muda wowote naona gine wamechwarukwaa
Usisahau kuwa mpira wa miguu ni mchezo wa makosa.
Endapo akili itashindwa kuwasiliana na kitendea kazi "miguu" lazima tu ufanye makosa.
 
Daaaaaah
20210127_234324.jpg
 
Ni suala la muda tu. Naona kodi zetu zinaenda kusikojulikana. Hii jokes wakuu msiponde mawe 🏃🏃
Ebwana hawa jamaa unaona kabisa wanatafuta goli...kwa kipindi cha dakika 7 wameonyesha tofauti
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Tulikuwa tunafuzuu make hawa bado wametoshana
20210127_234522.jpg
 
MB3 anatamba kwenye bonanza

kombe uandae ww
kualika wageni ww
kuwalipia msoc na gharama zote ww
kujipa ratiba rahisi ww
alafu unapakia mkongo wakati wenzio wanachukulia mazoezi hahaha

mwamedi nae kakenua eti tumewakimbiza yaani nimecheka nkamkumbuka eid amini kipindi kile anashinda mashindano ya kuogelea baada ya kuwachezea faulo wenzake alafu akashangilia kweli
Mkuu toa hoja sio unatuletea chuki zako binafsi hapa sio facebook
 
Mkuu toa hoja sio unatuletea chuki zako binafsi hapa sio facebook
chuki i wapi?
Nani kaandaa hilo bonanza.

Washiriki wanalipiwa na nani?

mechi inayo fuata ni lini na na nani n nani?

jibu hayo maswali nione hoja utakazo
 
Hii mechi ndayiragije ameiharibu timu ilikuwa ilishapata ushindi wachezaje kibao wamechoka yeye anawaacha tu

Wamesawazisha ndio anakumbuka kufanya sub

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom