Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalawi si timu ya kubeza
Tumesawazisha,,,,,,Samatakuna matumaini japo ya kusawazisha?
Msuva vipi tena??
Kwani kocha ni mpuuzi gani kwa sasa?
Tumepata goli
Tumesawazisha,,,,,,Samata
Dada yeye ana alergy na Stars, mahaba yake kwa yanga tu.tupo wachache sana!hata dadako Bantu lady simuoni!
Mzungu Bishoo anaitwa Mart Nooij sijui raia wa wapi huyu!!!?Kwani kocha ni mpuuzi gani kwa sasa?
Samatta anasawazisha baada ya kupokea pasi ya Ngasa
Dk 76
Tanzania 1 - 1 Malawi
Kapokea pande kutoka kwa nani?
Kapokea pande kutoka kwa nani?