Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nilivyo acha kwenda uwanjani nakuamua kufanya yangu. Timu utafikiri imelaaniwa bhana!?Dak ya 63, tanzania 0-1 malawi.
sidhani kama huyu lkocha atatufikisha popote, nilitegema achanganye damu changa hapa ndio maana aliivunja starz maboreshoHiyo ndiyo taabu kwa likocha kama hili.
nimegundua watanzania wengi tumekata tamaa na stars...ingekuwa stand united na hata azam watu wangekuwa wengi hapa...Dak ya 63, tanzania 0-1 malawi.
Msuva nani bhana? Timu hii inalaana ya Marehem Mziray,hivyo ata aingie Mzee wa tezi dume bado hali haitakua nzuri.Msuva hayupo kwenye kikosi cha stars.
dk ya 70 bado tuko nyumaMatokeo ya mwisho vipi huko wadau
Duuh !!!
hii inatisha kufungwa nyumbani jamanii.....!!! SHAME!!
Dakika ya 70, Malawi 1 tz 0
Tupo mbona kiongozi??nimegundua watanzania wengu tumekata tama na stars...ingekuwa stand united na hata azam watu wangekuwa wengi hapa...
Msuva nani bhana? Timu hii inalaana ya Marehem Mziray,hivyo ata aingie Mzee wa tezi dume bado hali haitakua nzuri.
Nalawi si timu ya kubezaNimekata tamaa na hii timu, yaani tunafungwa hata wamatengo hawa!