Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri yakukute kama unadhani ni utani ndipo utakapo amini kuwa tatizo ni kubwa kuliko unavyofikiria!Bado mashindano ya kutanganza waathirika yanaendelea sijui yana tija gani. Wangapi wamepona? Bado nasimamia pale pale dunia nzima ime overeact na huu ugonjwa.
Sasa yeye ni Daktari kijana?Rais wangu ataibuka shujaa kwa Hili Janga. Hivi jamani Polepole Yupo Dar au Dodoma? Naona ukimya umezidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha mimi hiyo shingo yake!! Tu naipenda sanaUmmy kavua kilemba?!!
Kazini watanitimua mkuuStay home usisuibiri amri ya serikali kwenye afya yako
Ilisemwa sana, hawasikii.Dar ipigwe lock down hawasikiiAisee. Kama hadi Lindi wameshapata mgonjwa, Kuna haja ya kupiga marufuku ya watu kusafiri toka mkoa mmoja kwenda Mkoa mwingine.
Uzembe uzembe Kama alivyofanya Magufuli,at least Trump alifanya uzembe wakati wanajiweza sasa sisi spana mkononi harafu mzembe mmoja anafanya uzembe kwa tamaa tu za kijinga na kutodhamini utu wa watu tutalia sana, tulianza na mloganzila,sasa tumehamia Amana tutafika tu mpaka tutalaza watu uwanja wa taifaWana lipi? Tuanzie kwa bwana mkubwa Trump, unajua kuwa kabanwa sana kwa kisingizio kashindwa handle hii ishu vizuri?
Mkuu si waafrica wote but huyu mwenye PhD fake na degree za magumashiNinaposema kuwa Waafrika tuna tatizo hamuamini.
Hivi kama ugonjwa uligunduliwa na scientists iweje tujikite kuomba makanisani na misikitini badala ya kuwaambia wanasayansi wetu watafute uvumbuzi
Wabishi kweli yan wanakeraKutolockdown dar kutasababisha nchi nzima ugonjwa usambae.Viongozi wetu wana viburi hatar
Hiyo sayansi imeumbwa na Mungu, kama inaweza kujitegemea mbona wanasayansi wanashindwa kuvumbua chanjo ya corona?.Hili jambo ni la kisayansi linahitaji sulihisho la kisayansi sio 'religious fanatism'.....hapo mkuu kachemsha kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu mkuu.Yamekoleza
Jr[emoji769]
Italy ndiko Mungu yupo wamekufa wengi
Degree ya kubangulia koroshoMkuu si waafrica wote but huyu mwenye PhD fake na degree za magumashi