stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Inamaaana Siku ya Kwanzaa tu Ya maombi tumepigwa? Daaah baba askofu gwajima, uko wapi baba Kwa kauli ile ya kusema kuwa wakenywa wanapigwa kwa sababu ya kufunga makanisa? Baba askofu tunamuomba utubu ile kauli baba huenda ndio inatutafuna, gwajima baba kuthubu ile kauli sio nzuri baba askofu uchwala
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app