Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WA NCHI ZINGINE WANALAKUJITETEA SIYO KAMA HUYUBasi kila nchi Rais ndio wa kumlaumu..kama mchezo wa lawama ndio huu.
Lakini tuna watu wengi wenye immuno-defficiencyNaiona serikali ikilemewa. Sema tuna bahati kwamba hakuna wazee wengi kama nchi za wenzetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We unasema mdudu,ulishajiuliza kuhusu mikate,ile huwa inapikwa ikiiva inaachwa ipoe,Kisha mfanyakazi anashika mkate mmoja baada ya mwingine kupitishia kwenye mashine ya kukata silesi.Mambo sio mambo kwa wapenda mdudu
Sijui mtaponea wapi View attachment 1421784
Sent from my iPhone using Tapatalk
Bora angekaa kimya,huko wanakoteketea hawafahamu kuomba na kusali?Huyu Mungu atakayetusaidia kwa kutokuchukua hatua stahili ni huyu wa enzi?Hili jambo ni la kisayansi linahitaji sulihisho la kisayansi sio 'religious fanatism'.....hapo mkuu kachemsha kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhihaka gani apo nimefanya au hujaelewa nilichoandika
Kwani umesikia suluhisho ni 'religious fanatism tu mkuu?Hili jambo ni la kisayansi linahitaji sulihisho la kisayansi sio 'religious fanatism'.....hapo mkuu kachemsha kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app