Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

mulwanaka,
Tutawapita Kenya ndani ya week moja.

Au tusubiri maombi ya siku tatu yapite kwanza?

Papa akiumwa hupelekwa hospital kwanza kwenye sayansi. Maombi hufuata baadaye. Huchukua tafadhali zote za kisayansi.

Sisi tumejikita kwenye maombi. Mungu yupo na katujalia vitu vingi ili tuweze kujisaidia wenyewe.
 
Religion is best in EQUIPING a state of mind with hope, belief or faith.. TO NEVER GIVE UP!! MR.PRESIDENT UA CITIZEN DONT EVEN CARE A PROBLEM EXISTS!!

images (1).jpeg
 
Nitaendelea kulia na kutositisha mabasi ya mikoani kuendelea na route na kusambaza mikoani.....mtatuulia bibi zetu jamani

Sitisheni kwanza safari kabla ya hayo maombi,tunaombajewakati hatujachukua hatua madhubuti? Hata Mungu anatushangaa
 
Back
Top Bottom