Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Sio tuu mipaka ila anaonekana kuwaza zaidi uchaguzi kuliko afya zetu.

Unajua mtu wanaweza kuwa anamlaumu rais kwa kutofunga mipaka,pengine hajui maana ya mipaka na pengine anadhani mipakani kuna ngome,au nchi yetu imexungukwa na ngome so mipaka ikifungwa tutakuwa ndani hakuna kutoka wala kuingia,nadhani na wewe ni miongoni mwa hao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini hajaonyesha uongozi katika hili

1. Makanisa bado yapo

2. Public transport bado

3. Bar bado zipp wazi

Walau funga bar watu wakanywee home.
UZEMBE alio fanya magufuli wamefanya dunia mzima kwann umlaum magufuli pekee pili unafikir itasaidia Lock down wakati uwezo wa kuudumia raia Tanzania hatuwezi hata kwa mwezi mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakimu Mfawidhi,
Peak ni wagonjwa wangapi?Kuna taharuki kweli mtaani.Tena Mhe.Ummy alifanya vizuri sana kutoa angalizo mapema na kutuandaa kisaikolojia juu ya Community transmission.
 
mulwanaka,
IMG-20200416-WA0004.jpg
 
Corona sio kifo, na wanao kufa wengi ni wale wenye matatizo mengine au tatizo la white cells.


Dar wengi vijana na wapo fiti..
Naomba iwe ni Idadi tu Ila asiwepo hata mmoja wa kupoteza maisha yake, Mungu tusaidie na isizidi kuenea, na Mungu uwaponye wote walio na Maambukizi, Amin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio tuu mipaka ila anaonekana kuwaza zaidi uchaguzi kuliko afya zetu.



Sent using Jamii Forums mobile app


Nani anataka uchaguzi kabla ya ugonjwa kudhibitiwa?

Hadi pale na kule bungeni watakapojikana nafasi zao na kutambua kuwa maisha si posho na marupurupu yao tu, huu ugonjwa utakuwa bado upo upo sana.
 
mulwanaka,
* Help share 🙏: --- √👍👍 *
* Tafadhali Sambaza🙏: --- √👍👍 *

Doctors in China confirm.
Madktari kutoka China wamethibitisha

這 是 100 % 準確 的 信息 ,
This information is 100% accurate
Taarifa hii ni ya uhakika kwa 100%

對於 每個 人 都 非常 有效。
Very effective for everyone
Ni msaada kwa kila mmoja

為什麼 中國 大陸 過去 幾天 大大 減少 了 感染 人數
China has significantly reduced the number of infections in the past few days.
China imepunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya waathirika katika siku chache zilizopita

除了 戴 口罩 勤 洗手 外 ,
Besides wearing masks and washing hands
Ukiachilia mbali kuvaa barakoa na kuosha mikono

他們 只是 簡單 地 每天 漱口 3 次 鹽水
They also gargle salt water 3 times a day
Pia Wanakunywa maji yaliyotiwa chumvi mara tatu kwa siku

完成 後 , 喝水 5 分鐘。
After that, drink warm water for 5 minutes
Baada ya hilo, wanakunywa maji ya moto kwa dakika 5

因為 該 病毒 只能 在 喉嚨 中 侵襲 ,
Because the virus initially only attacks the throat
Kwasababu virus huingia na kushambulia kwanza koo

然後 再 侵襲 肺部
Then attack the lungs
Kisha hushambulia mapafu

當 受到 鹽水 侵襲 時.
When hit by salt water
Wanapokutana na maji ya chumvi

該 病毒 會 死亡 或 胃中 胃中 下來 並 在 胃中 銷毀,
The virus will die or descend and disintegrate in the stomach
Virusi hufa au huvunjika vunjika ndani ya tumbo

這 是 預防 冠狀 病毒 流行 的 唯一 方法 ,
This is one way to prevent Covid19 .
Hii ni njia mojawapo ya kuzuia ugonjwa wa Covid19

市場 上 沒有 藥品
There is no medicine on the market
Hakuna dawa sokoni

所以 不要 購買。
No need to buy
Hakuna haja ya kununua

童 綜合 王叔 昂 醫師 醫師 :
The General Hospital stated
Hospitali kuu imesema

新 冠 肺炎 在 還 沒有 來到 肺部 之前, Before the corona / virus reaches the lungs
Kabla ya virusi kuingia kwenye mapafu

它 會 在 喉嚨 部位 存活 4 天
The virus lives in the throat for 4 days
Hukaa kwenye koo kwa muda wa siku nne

在 這個 時候 , 人們 會 開始 咳嗽 及 喉痛。
At this time, the infected start to cough & sore throat.
Kipindi hiki muathirika huanza kukohoa na kupata maumivu ya koo.

如果 他 能 儘量 喝多 溫 開水 及 或,
If you can drink as much warm water as possible
Kama unaweza ukanywa kiasi kikubwa cha maji ya moto

就能 消滅 病菌。
Can eliminate viruses
Unaweza ukawaangamiza virusi

儘快 把 此 訊息 轉達 一下 ,
Hurry and spread this message.
Fanya haraka na sambaza ujumbe huu

因爲 你 會 救 他人 一 命!
Because you will save someone's life
Kwasababu unaweza ukaokoa maisha ya mtu.

由 刘 赞 坤 翻译 于 2020 年 4 月 2 日
Translated by Liu Zan kun on April 2,
Imetafsiriwa kwa kiswahili na Sleym M. Slim

From a trusted associate in Ghana...
Kutoka kwa chanzo kinachoaminika Ghana...P
 
Piga pini Dar hamna kutoka wala kuingia (ingawa wao wenyewe kama ni lazima waendelee na hicho kinachoitwa kuchapa kazi ndani ya Dar yao).

Piga pini zanzibar(hamna kutoka wala kuingia) ikiwezekana lockdown kabisa wafe kwa njaa huko ndani).

Hii miji miwili imeshakuwa kitovu cha korona kitaathiri nchi nzima kama hatua madhubuti hazitachukuliwa.
 
Back
Top Bottom