I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Yaani mpaka sasa matumaini yangu yamepungua kwa kasi juu ya kusurvive hili dude yaanI sielewi kasi yake kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangapi?
Hivi mnadhani Mungu ni wa kumletea mzaha eeeeh?Na pia tukumbuke kuwa leo ni moja ya zile siku tatu ambazo watu wamepewa ruksa kuomba
Ngoja tusikilizie pengine muujiza ukafanyika katika hizo siku mbili zilizosalia
Hata mimi siioni popote, au vyanzo vyangu vipo slow.Hii taarifa umeipata wapi bwana mbona siioni kwingine kama vipi tupia link
UZEMBE alio fanya magufuli wamefanya dunia mzima kwann umlaum magufuli pekee pili unafikir itasaidia Lock down wakati uwezo wa kuudumia raia Tanzania hatuwezi hata kwa mwezi mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee huko biashara zinaendelea?au maduka yamefungwa?Bado mashindano ya kutanganza waathirika yanaendelea sijui yana tija gani. Wangapi wamepona? Bado nasimamia pale pale dunia nzima ime overeact na huu ugonjwa.
Endeleeni kusema Mungu tusaidie wakati hakuna hatua mliyochukua...Naomba iwe ni Idadi tu Ila asiwepo hata mmoja wa kupoteza maisha yake, Mungu tusaidie na isizidi kuenea, na Mungu uwaponye wote walio na Maambukizi, Amin
We are thinking on the same perspectivesBado mashindano ya kutanganza waathirika yanaendelea sijui yana tija gani. Wangapi wamepona? Bado nasimamia pale pale dunia nzima ime overeact na huu ugonjwa.
Usiwe mvivu, media nyingi zimeripoti, simu yako ni kwa ajili ya kuchezea game sio?Hii taarifa umeipata wapi bwana mbona siioni kwingine kama vipi tupia link