Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Wakuu hii taarifa imenishtua ivi Dar itaokoa Taifa?
IMG_20200417_162651_413.JPG
IMG_20200417_162717_200.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20200417_162717_200.JPG
    IMG_20200417_162717_200.JPG
    105.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_2020-04-17-16-26-19.jpeg
    Screenshot_2020-04-17-16-26-19.jpeg
    64.5 KB · Views: 2
Aisee. Kama hadi Lindi wameshapata mgonjwa, Kuna haja ya kupiga marufuku ya watu kusafiri toka mkoa mmoja kwenda Mkoa mwingine.

Mkuu yamesemwa tangia lini hayo? Nini kimefanyika? Kwingine timu zinazopambana na huu ugonjwa ziko hivi:

IMG_20200417_160127_313.jpg


Hizo zinazoitwa taskforce ziko wapi? Zinafanya nini?
 
Wangezuia kabisa boat kutoka Zanzibar kwenda Dar au Dar to Zanzibar before its too late.Znz kisiwa kidogo safari zikiendelea watashindwa ku handle .

Mkimsikiliza JPM mmekwisha. Fikirieni familia zenu chukueni tahadhari wenyewe. Tatizo hili gonjwa linaambukiza mno
 
pascal mayala unasemaje juu ya hii speed ya maambukizi? Tuendelee kumsifia MTU au tuunganishe nguvu tupambane? Mwenyewe niko ndani nimelala naumwa but sio Corona

Sasa JPM kafanya Nini. Changamoto tinazo Sisi wenyewe. Tunatoroka karantini. Tunacheza Disco nk. Daladala. Nk. Toka lini watz wakawa wasikivu.

Nikakwambie kwa akili kama yako. Hakuna kiongozi atakayekufaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabutupu,
Sasa mkuu wakifunga Bar atakaewaletea nyumbani ni nani, sema tu wafunge kiwanda cha Bia ili watu wasiende kunywa Bar au wenye hela zao wachukue stock za kuwatosha ili watumie wakiwa kwenye lockdown...
 
Maombi bila tahadhari mbona sawa na but kabisa, mipaka haijafungwa watu bado wanahangaika tuu vijiweni story nyingi as if kinachoendelea hakifahamiki
 
Usiwe mvivu, media nyingi zimeripoti, simu yako ni kwa ajili ya kuchezea game sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
Naitumia simu yangu kufanyia kazi nyumbani mkuu ndio maana nachelewa kupata taarifa za korona ila jamani yule aliyesema tusitishane kaugonjwa ni kadogo sijui atafanyaje sasa maana Tanzania itabaki majengo tu na hizi afya zetu za kuunga unga
 
Corona sio kifo, na wanao kufa wengi ni wale wenye matatizo mengine au tatizo la white cells.


Dar wengi vijana na wapo fiti..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hao wenye matatizo mengine au tatizo la White blood cells ni wafe tu?

Huu ubinafsi mtauacha lini?

Hivi unajua watanzania wengi sana wana ukimwi,Kisukari,TB etc

Hii kitu ikikolea tutaelewana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LICHADI, Tofauti na virusi vya UKIMWI, ambavyo vina dawa ya kufubaza na maambukizi ya kisiri, huu unasambaa haraka. Pamoja na kuwa hivyo, bado kuna watu, kama wewe, hamtumii kinga kufanya mapenzi na kupima hamtaki.

Utakuwa mjinga kusubiri Serikali ikuagize kujifungia au ikusimamie kuzingatia ushauri wa wataalamu.
 
Back
Top Bottom