jakomala
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 514
- 367
Kumbe jana mwanga iliyoonekana Dar ilikuwa inaashiria maambukizi kufuru,sisi tulijua ndyo mwisho wa corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuomba na kusali ni suluhisho la viongozi wasio na mpango wa kukabiliana na matatizo ya wananchi.Hili jambo ni la kisayansi linahitaji sulihisho la kisayansi sio 'religious fanatism'.....hapo mkuu kachemsha kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nini mzee??.club na mabaa yapo wazi? kama yapo wazi basi inaonekana huko corona sio issue kubwa kihivyoUkitoa shule na vinyozi kila kitu kinaendelea, baadhi ya sehemu wamepunguza masaa ya kazi. Mawazo yangu, dunia nzima inaua sisimizi kwa nyundo.
alikuwa katika list ya wagonjwa wa corona?
Sawa ila pindi ukiupata adabu itakukaa vizuri hata huyu aliyefariki alikuwa na kauli kama yako haya Leo yupo wapi?Nawafahamu watu wengi zaidi ya hao wamekufa kwa malaria na kipindupindu. Kinachofanyika sasa ni kuua nzi kwa nyundo.
Tupe wiki mbili,utafurahiPiga pini Dar hamna kutoka wala kuingia (ingawa wao wenyewe km nilazima waendelee na hicho kinachoitwa kuchapa kazi ndani ya dar yao).
Piga pini zanzibar(hamna kutoka wala kuingia) ikiwezekana lockdown kabisa wafe kwa njaa huko ndani).
Hii miji miwili imeshakuwa kitovu cha korona kitaathiri nchi nzima kama hatua madhubuti hazitachukuliwa.
Uhakika ndo sinaalikuwa katika list ya wagonjwa wa corona?
Hittin Blunts and Bustin Nuts
Kuna siasa hapa inafanyika in the name of prayers.Kama Taifa tumeamua kumuamini Mungu na kuchukua tahadhari zilizo ndani ya uwezo wetu ili kuepusha majanga mengine mimi nikiwa kama muunini ninaye amini uwepo wa Mungu kupitia haya maombi ya siku tatu ambayo Mh. Raisi ametuomba tufunge na kusali naimani Mungu atatuonekania muda sio mrefu.
Mungu hajawahi shindwa na kamwe hatoshindwa, tuchukue tahadhari tuepuke mikusanyiko isiyo ya lazima tuoshe mikono yetu kisha tumwache Mungu ajidhihirishe.