Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Tanzania: Wagonjwa wapya 53 wa COVID-19 wathibitika, idadi yafikia 147 (Aprili 17, 2020)

Na pia tukumbuke kuwa leo ni moja ya zile siku tatu ambazo watu wamepewa ruksa kuomba

Ngoja tusikilizie pengine muujiza ukafanyika katika hizo siku mbili zilizosalia
 
Mwana efu ei yuko wapi jamani? Alisema haka kaugonjwa hakafui dafu kwa Maleria
 
Back
Top Bottom