Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Exactly, tatizo lipo kwenye rasilimali za nchi kuliwa na wachache na wengi kubaki mafukara so mwisho wa siku wanaamua kujitoa mhanga.Hapa ni wananchi wanapigania haki ya mgao wa rasilimali za nchi.