Tanzania: Wakimbizi kutoka Msumbiji warudishwa kwa nguvu walikotoka

Tanzania: Wakimbizi kutoka Msumbiji warudishwa kwa nguvu walikotoka

... mnakumbuka miaka ya nyuma watanzania walivyouliwa Msumbiji? Nina jaama yangu mmoja naye alikumbwa na kadhia hiyo; alifia huko. Ifike mahali ile huruma ya kuwapokea wageni tuseme basi; toka enzi za ukombozi wakivurugana wanakimbilia Tanzania; tuseme basi. Ya kwetu wenyewe yanatushinda, kila mtu abaki kwao kama ni exchange ziwe biashara sio watu.
Hawa wapuuzi warudi kwao
 
Tanzania ni moja ya Nchi iliyowekeza ulinzi wa kutosha maporini huko siku ukizunguka mpakani maporini utakutana nao...
... ka hilo Nyerere aliona mbali sana! Dar yenyewe kambi ziko za kutosha; almost kila koda ya mji.
 
Ami Sasa kama wakimbizi huwa wanakuja na magaidi kwa nini Tanzania ilisaini hiyo mikataba ya kutunza wakimbizi?Si ingekataa kusaini ili ijulikane officially kuwa Tanzania huwa haijihusishi na mambo ya wakimbizi?
Kila kitu kina mipaka yake na pia kuna mapitio ya mikataba.Ikionekana mkataba hauna maslahi nasi tunaweza kujitoa. Kwa mfano mkataba kama huu unaolazimisha kuruhusu wakimbizi wanaotoka nchi inayoelezwa kuna magaidi wa kiislamu au Alshabaab ni bora kujitoa.

Tumeshaplata uzoefu wa nchi nyingi duniani zikiwemo jirani zetu Somalia na Kenya kwamba ukishajiingiza kwenye mzozo unaohusishwa na ugaidi huwezi kutoka salama.

Wakimbizi wa kawaida na salama kuwapokea ni wale wanaokimbia njaa itokanayo na ukame au mapigano ya kikabila au kumkimbia dikteta,lakini wanaokimbia ugaidi achana nao.
 
... ka hilo Nyerere aliona mbali sana! Dar yenyewe kambi ziko za kutosha; almost kila koda ya mji.
Unazungumzia dar mimi nazungumzia maporini huko mipakani kama ileje na kwingineko watu wanashinda kila siku maporini ndio ofisi zao..
 
Wana bahati sana mzee wetu ameitwa na Mungu maana kwa ninavyomjua angewarudisha na kauli yake pendwa 'kwani alshabaab nimewaleta mimi'

Kwa maoni yangu tuwapokee lakini tusiwaweke kwenye makambi kama yale ya ndugu zake zitto & mipango bali tuwapeleke moja kwa moja gerezani to their fellow unformed criminals
 
Hawa wapuuzi warudi kwao
... hiyo gia ya ukimbizi magaidi wanaitumia kujichanganya! Serikali ya Msumbiji iwatafutie hao wakimbizi sehemu salama huko huko ndani ya nchi yao; maeneo ya kati, magharibi na kusini mwa Msumbiji kuko shwari wapelekwe huko.
 
... hiyo gia ya ukimbizi magaidi wanaitumia kujichanganya! Serikali ya Msumbiji iwatafutie hao wakimbizi sehemu salama huko huko ndani ya nchi yao; maeneo ya kati, magharibi na kusini mwa Msumbiji kuko shwari wapelekwe huko.
Very true
 
Hawa UN bhana hao magaidi Mara nyingi utawakuta na ndala tuu kama watia huruma fulani wakishindwa Vita wanavua magwanda wanajifanya wakimbizi kuwapokea hao inatakiwa uchunguzi wa kina kidogo sio kizembe zembe tuu kumbe ndio wanakuja kujikusanya huku tena baada ya kutimuliwa huko msumbiji...
 
... mnakumbuka miaka ya nyuma watanzania walivyouliwa Msumbiji? Nina jaama yangu mmoja naye alikumbwa na kadhia hiyo; alifia huko. Ifike mahali ile huruma ya kuwapokea wageni tuseme basi; toka enzi za ukombozi wakivurugana wanakimbilia Tanzania; tuseme basi. Ya kwetu wenyewe yanatushinda, kila mtu abaki kwao kama ni exchange ziwe biashara sio watu.
Sasa mkuu hiyo ni sheria ya kimataifa, kwamba mkimbizi akimbilie nchi jilani kwanza, inawezekaje mkimbizi wa msumbiji akakimbilia KENYA?, sio suala la huruma hapo,
 
Ilitakiwa iwe hivi:
1. Mauonevu na manyanyasano ndani ya nchi yasiwepo. Unaweza kukuta watu wa kaskazini ya msumbiji wananyanyaswa na wenzao wa sehemu ingine na kubaguliwa (a.k.a ukanda, udini, ukabila). Sasa vikundi vya kihuni mabeberu wanatumia udhaifu huo kuleta vurugu

2. Kukiwa na haki ndani ya nchi za Afrika na nchi moja ikivamiwa na wahuni majeshi ya nchi zingine za Afrika ziombwe kuingilia kuondoa hao wahuni
 
Africa kuna shida kubwa sn, kwanini Al-Shabaab hawaendi Ulaya na Marekani?
Na wenyewe wana matatizo yao, au hujawahi kusikia "The Troubles" huko UK au ETA wa huko Spain. Sehemu yoyote yenye dhuluma ama ya kweli au hisia, ni rahisi sana watu kuchukua silaha na kuanzisha matatizo.

Msumbiji kaskazini imetelekezwa miaka miaka mingi, leo mafuta na gesi vimepatikana, ndio wanaanza kukuona kuna maana. Ni rahisi watu kuanza kulipuka. Ndio maana ni muhimu maendeleo ya nchi kugusa kila kona, vinginevyo watu wanaanza kuona hakuna maana ya kuwa wananchi wa hiyo nchi.
 
Na wenyewe wana matatizo yao, au hujawahi kusikia "The Troubles" huko UK au ETA wa huko Spain. Sehemu yoyote yenye dhuluma ama ya kweli au hisia, ni rahisi sana watu kuchukua silaha na kuanzisha matatizo...
Hapo ndiyo panashida mkuu.
 
Sasa mkuu hiyo ni sheria ya kimataifa, kwamba mkimbizi akimbilie nchi jilani kwanza, inawezekaje mkimbizi wa msumbiji akakimbilia KENYA?, sio suala la huruma hapo,
Ishu sio huruma boss, ila hawa wakiingia na wale wasitakiwa pia huingia. Hiivyo, kinachokuja kutokea waanzisha mashambulizi wakitokea kambini. So ni vyema busara ikatumika, hata ni eneo dogo ndo lenye shida wakichukuliwa na kupelekwa kwao hamna tatizo.
 
Back
Top Bottom