rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Naipongeza serikali badala ya un kushugulika na mataifa yanayouza silaha wanataka sisi tutoe ardhi yetu kuwahifadhi watu watakaotuletea madhara baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuelewa vizuri mikoa yote ina vikosi mijini na maporini...Ungemsoma vizuri kwanza.
UN wanangepeleka vikosi hapo ningewaona wamefanya jambo...Sheria za kimataifa zinakataza kuwatenda hivyo wakimbizi. Siyo poa
👊👊Africa kuna shida kubwa sn, kwanini Al-Shabaab hawaendi Ulaya na Marekani?
Hapo ni mpaka serikali ya Msumbiji iridhie.UN wanangepeleka vikosi hapo ningewaona wamefanya jambo...
Nimeona wanahangaika muda mrefu kuomba msaada Nchi jirani mpaka Zimbabwe alimtosa baadhi ya jirani zake wamekubali na nchi za jumuiya ya ulaya huko watashusha vikosi ufaransa na ureno mmarekani katuma kikosi cha mafunzo jinsi ya kukabiliana na wanamgambo...Hapo ni mpaka serikali ya Msumbiji iridhie.
Hapa ni wananchi wanapigania haki ya mgao wa rasilimali za nchi.
Poa
Lakini hilo halijustfy kuwarudisha watu waliokimbia kuchinjwa.Nimeona wanahangaika muda mrefu kuomba msaada Nchi jirani mpaka Zimbabwe alimtosa baadhi ya jirani zake wamekubali na nchi za jumuiya ya ulaya huko watashusha vikosi ufaransa na ureno mmarekani katuma kikosi cha mafunzo jinsi ya kukabiliana na wanamgambo...
Tujaribu kuvaa viatu vyao.... mnakumbuka miaka ya nyuma watanzania walivyouliwa Msumbiji? Nina jaama yangu mmoja naye alikumbwa na kadhia hiyo; alifia huko. Ifike mahali ile huruma ya kuwapokea wageni tuseme basi; toka enzi za ukombozi wakivurugana wanakimbilia Tanzania; tuseme basi. Ya kwetu wenyewe yanatushinda, kila mtu abaki kwao kama ni exchange ziwe biashara sio watu.
Ni kweli kabisa.mabeberu hawampendi mtu.Angalia yaliyomkuta Gadafi mpaka mwenyewe hakuamini akawa analalama kabla ya kifo.Yule Sarkozy aliyemsaidia mapesa mengi ashinde uchaguzi ndiye aliyekuwa wa mwanzo kuishambulia Libya siku ilipofika.Alisahau wema wa Ghadafi akaangalia maslahi ya kiuchumi.Pamoja na kwamba lengo halikufikiwa kwani hatimae Libya ilivamiwa na mafisi mpaka mzoga ikashindikana kuula.Ilitakiwa iwe hivi:
1. Mauonevu na manyanyasano ndani ya nchi yasiwepo. Unaweza kukuta watu wa kaskazini ya msumbiji wananyanyaswa na wenzao wa sehemu ingine na kubaguliwa (a.k.a ukanda, udini, ukabila). Sasa vikundi vya kihuni mabeberu wanatumia udhaifu huo kuleta vurugu
2. Kukiwa na haki ndani ya nchi za Afrika na nchi moja ikivamiwa na wahuni majeshi ya nchi zingine za Afrika ziombwe kuingilia kuondoa hao wahuni
Nchi za kiafrika zishapoteza ile sifa yake Mkuu wanafanya lolote na wakati wowote sio kama miaka ya nyuma hao msumbiji waliwafanyia unyama mkubwa sana Watanzania maeneo hayo hayoLakini hilo halijustfy kuwarudisha watu waliokimbia kuchinjwa.
Kwanini Ureno na Ufaransa wasiwachukue has wakimbizi laki saba. Sababu wanawekeza pesa nyingi karibu na 60bn dollars. 140 trillioni tshs.Hawa UN bhana hao magaidi Mara nyingi utawakuta na ndala tuu kama watia huruma fulani wakishindwa Vita wanavua magwanda wanajifanya wakimbizi kuwapokea hao inatakiwa uchunguzi wa kina kidogo sio kizembe zembe tuu kumbe ndio wanakuja kujikusanya huku tena baada ya kutimuliwa huko msumbiji...