Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Exactly, tatizo lipo kwenye rasilimali za nchi kuliwa na wachache na wengi kubaki mafukara so mwisho wa siku wanaamua kujitoa mhanga.Hapa ni wananchi wanapigania haki ya mgao wa rasilimali za nchi.
Kwako moto ukiwaka utajificha uvunguni uteketee au utakimbia kwa jiraji kujisitiri??... mnakumbuka miaka ya nyuma watanzania walivyouliwa Msumbiji? Nina jaama yangu mmoja naye alikumbwa na kadhia hiyo; alifia huko. Ifike mahali ile huruma ya kuwapokea wageni tuseme basi; toka enzi za ukombozi wakivurugana wanakimbilia Tanzania; tuseme basi. Ya kwetu wenyewe yanatushinda, kila mtu abaki kwao kama ni exchange ziwe biashara sio watu.
Africa kuna nchi 54 huru, hiyo kuita moja ni siasa tu.Yani mtu mweusi ndani ya bara lake la Afrika anaitwa mkimbizi wakati Afrika ni moja tuu aisee dah....
Jibu ni hilo hilo, wana rasilimali zaidi za kiulinzi, na akili kichwaniSijawahi kusikia Al-shabab S.A ambayo imepata uhuru 1994, why other African countries?
Hapo sawaJibu ni hilo hilo, wana rasilimali zaidi za kiulinzi, na akili kichwani
Na msumbiji ilivyo na mapori ya kutosha inatakiwa nguvu ya ziada mno na cha ajabu walivyokua wanaanza Nchi zilikua kimya wamekuwa strong ndio kila Nchi wanastuka ...Sijawahi kusikia Al-shabab S.A ambayo imepata uhuru 1994, why other African countries?
Tanzania tunao ulazima kusaidia amani na utulivu kwa jirani vinakuwepo. Siioni Tanzania salama kama genge hilo litaota mizizi pale Mozambique.Africa kuna shida kubwa sn, kwanini Al-Shabaab hawaendi Ulaya na Marekani?
Sisi kila siku wanakamatwa waethiopia, je wanashindwa kuingia?Na msumbiji ilivyo na mapori ya kutosha inatakiwa nguvu ya ziada mno na cha ajabu walivyokua wanaanza Nchi zilikua kimya wamekuwa strong ndio kila Nchi wanastuka ...
Usijeshangaa kuambiwa huyo mdada ni miongoni mwa makamanda wa hilo kundi! Hawa jamaa ni wapuuzi sana.Roho imeniuma nilipoiona hiyo picha huyo dada kainama yani inatia simanzi sana!
...
Kama waethiopia wanakamatwa karibu na Dar basi sioni usalama wetuTanzania tunao ulazima kusaidia amani na utulivu kwa jirani vinakuwepo. Siioni Tanzania salama kama genge hilo litaota mizizi pale Mozambique.
Asilimia kubwa wapo kwenye maeneo yenye waislamu wengi. hapo msumbiji walipo ni ukanda wa waislamu wengi Sana . Nchi nyingi zenye mizozo ni uislamuniAfrica kuna shida kubwa sn, kwanini Al-Shabaab hawaendi Ulaya na Marekani?
Ndio inawezekana... usijeshangaa kuambiwa huyo mdada ni miongoni mwa makamanda wa hilo kundi! Hawa jamaa ni wapuuzi sana.
Yani mtu mweusi ndani ya bara lake la Afrika anaitwa mkimbizi wakati Afrika ni moja tuu aisee dah....
Mbona hawaendi Uarabuni?Asilimia kubwa wapo kwenye maeneo yenye waislamu wengi. hapo msumbiji walipo ni ukanda wa waislamu wengi Sana . Nchi nyingi zenye mizozo ni uislamuni
Hapo ndio tujifunze!Roho imeniuma nilipoiona hiyo picha huyo dada kainama yani inatia simanzi sana!
Mungu tusaidie sana.
Hawa wanaojiita wanamgambo ngoja nsiendelee tu
Tanzania ni moja ya Nchi iliyowekeza ulinzi wa kutosha maporini huko siku ukizunguka mpakani maporini utakutana nao...Sisi kila siku wanakamatwa waethiopia, je wanashindwa kuingia?