Tanzania wanajenga kwa pesa ya ndani!!! Kwa ya miaka miine wamekopa kuzidi miaka kumi ya Kikwete - Zitto Kabwe

Tanzania wanajenga kwa pesa ya ndani!!! Kwa ya miaka miine wamekopa kuzidi miaka kumi ya Kikwete - Zitto Kabwe

Kwahiyo Fly Over za Jogoo Road, Thika Road, Mombasa Road, na Nakuru Road, Kenya. Barabara za Kisasa , Round about za Maana uta linganisha na vi miradi vyetu vya barabara 1 za mijini za kipuuzi za Enzi za Mwl!
Pamoja na Tanzania kukopa kote huko lakini bado hatuwafikii Kenya hata nusu, na bado tuna sifa za kukopesheka hata maradufu ya deni tulilonalo sababu tunajimudu. View attachment 1218470
 
Kwahiyo Fly Over za Jogoo Road, Thika Road, Mombasa Road, na Nakuru Road, Kenya. Barabara za Kisasa , Round about za Maana uta linganisha na vi miradi vyetu vya barabara 1 za mijini za kipuuzi za Enzi za Mwl!
Na akili yako ni finyu kama wanasiasa wa Kenya, wao 99% ya pesa yote inayokopwa inajenga Nairobi tu, wakitoka nje ya Nairobi ni Mombasa, Tanzania barabara zinajengwa nchi nzima sababu Tanzania sio Dar tu. Miradi yote mikubwa inayoendelea Tanzania imetawanywa Tanzania nzima na ndivyo uchumi unavyotakiwa kuwa scattered across the country.
 
Kwahyo we unahisi Tz ni Dar peke ake? Tz ni kubwa na maendeleo yanahitajita tz nzima, ndio maana mzee wetu anajaribu kukuza infrastructures nchi nzima na kuweka connection ya lami, na trains mkoa kwa mkoa hadi hapa dar kwa ajili ya masoko. Dar inawekwa miundombinu kama BRT na light electric trains ndani ya dar ambazo zitaanza kujengwa 2020 na hii ni tofaut na sgr.
Kwahiyo Fly Over za Jogoo Road, Thika Road, Mombasa Road, na Nakuru Road, Kenya. Barabara za Kisasa , Round about za Maana uta linganisha na vi miradi vyetu vya barabara 1 za mijini za kipuuzi za Enzi za Mwl!
 
Kenya hautupati hapa kila siku tukidanganya kwamba tunajenga/tunanunua kwa pesa zetu. 😂 😂 😂
Kwani umeambiwa kila kitu ni mkopo? Lot ll ya SGR ni mkopo ipo wazi lakini lot l ni pesa yetu na ununuzi wa ndege ni pesa yetu na ujenzi wa miundombinu mingine mingi.
 
Huna jipya some time uwe una give up mzee

Wala sio mimi, unanionea bure, nyie mumekua mkitutambia kwamba mnajenga kwa hela yenu ya ndani, mahesabu yanaonyesha mumekopa kuliko awamu zote, na ikumbukwe nchi yenu bado ni maskini wa kutupwa, sasa ukiwa maskini halafu unachukua mkopo wote huu, hauoni unairubuni nchi, na bado aibu za ndege zenu kukamatwa kamatwa, kitu ambacho sijakiskia wala kukishuhudia kwenye nchi nyingine yoyote.
 
Watz humu kila siku wanatutambia kuwa wanajenga kila kitu kwa pesa yao ya ndani, mbunge wa Kigoma bwana Zitto Kabwe ametabainisha taarifa za deni la Tanzania, kwa miaka miine ya awamu ya tano wamekopa zaidi ya miaka kumi ya awamu ya nne ya Kikwete.



Binafsi sijaona tatizo la kukopa.
Kama unakopa na unatimiza malengo ya kukopa, hayo ni mafanikio.
 
Tukumbuke kuwa deni la Taifa la nje linajumuisha private sector pia, sio deni lote ni la serikali.

Deni1.jpg


Deni la serikali kwa sasa ni 75.5% ya deni lote la nje ambalo ni USD 16.88B.

Hadi Novemba 2015 deni la nje la serikali lilikuwa ni USD 12.404B kama inavyoonyesha hapa chini.

Deni2.jpg


Kwa hiyo deni la nje la serikali limeongezeka kwa USD 4.476B tu.
 
tbh sijawai ona ubaya wa inchi kukopa. The only bad thing ni politicians steal a huge chunk of the borrowed money and the tax payers have to pay it. Wanakopa 100 billion for something, 40 billion goes to the pockets za akina ruto

Ukweli ni kwamba, si Tanzania wala Kenya na nchi zote za Afrika zenye uwezo wa kulipa madeni hayo. Mikopo mingi inatumika kwenye vitu ambavyo havizalishi kipato kwa namna yoyote.

Shughuli za kiuchumi Afrika zipo chini sana na tuseme ukweli tu kuwa sisi Waafrika ni wavivu wa kiakili. Hatubuni miradi yoyote ya kukuza uchumi zaidi ya kila mtu kuililia serikali.

Haya madeni ni mtego mkubwa kwa Afrika yote, tuacheni kujipa moyo.
 
Kuongoza nchi imejaa wajinga ni rahisi sana, wape masifa naa utakuwa salamai
Hakuna ata mtu mmoja atajaribu kubishana nawe,,dead brains.a s
 
Hayakuhusu...sisi hku tunakopa halafu tunatumia hzo hela kufanyia miradi...hyo ndio maana ya pesa za ndani...
Kwa sababu hela zipo kwenye account ya jiwe..kwhyo ni za ndani
Watz humu kila siku wanatutambia kuwa wanajenga kila kitu kwa pesa yao ya ndani, mbunge wa Kigoma bwana Zitto Kabwe ametabainisha taarifa za deni la Tanzania, kwa miaka miine ya awamu ya tano wamekopa zaidi ya miaka kumi ya awamu ya nne ya Kikwete.

 
Turkana wind power nayo naiona iko nairobi
Na akili yako ni finyu kama wanasiasa wa Kenya, wao 99% ya pesa yote inayokopwa inajenga Nairobi tu, wakitoka nje ya Nairobi ni Mombasa, Tanzania barabara zinajengwa nchi nzima sababu Tanzania sio Dar tu. Miradi yote mikubwa inayoendelea Tanzania imetawanywa Tanzania nzima na ndivyo uchumi unavyotakiwa kuwa scattered across the country.
 
Ukweli ni kwamba, si Tanzania wala Kenya na nchi zote za Afrika zenye uwezo wa kulipa madeni hayo. Mikopo mingi inatumika kwenye vitu ambavyo havizalishi kipato kwa namna yoyote.

Shughuli za kiuchumi Afrika zipo chini sana na tuseme ukweli tu kuwa sisi Waafrika ni wavivu wa kiakili. Hatubuni miradi yoyote ya kukuza uchumi zaidi ya kila mtu kuililia serikali.

Haya madeni ni mtego mkubwa kwa Afrika yote, tuacheni kujipa moyo.
Mradi kama Nyerere hydroelectric project unaanzaje kuutenga na uchumi? Smh
 
Back
Top Bottom