Tanzania wanajenga kwa pesa ya ndani!!! Kwa ya miaka miine wamekopa kuzidi miaka kumi ya Kikwete - Zitto Kabwe

Tanzania wanajenga kwa pesa ya ndani!!! Kwa ya miaka miine wamekopa kuzidi miaka kumi ya Kikwete - Zitto Kabwe

Mwaka jana World Bank ilitoa growth rate ya Tz, Kenya, Rwanda na Uganda. Tz pekee ndio iliyo pinga!!! Nchi Ya pili kutoka mkiani kwa Maendeleo.

Nakumbuka Tz imepitisha sheria ya kudhibiti Data. Licha ya marekebisho (though forced by WB) hakuna Mwanahabari anaethubutu ku challenge. Angalia Kabendera yupo Cello kisa ukweli wa habari.

Pia mtetezi wa Wanahabari Duniani, mwaka jana alikamatwa Tz alipo kuja kufuatilia mienendo na Uhuru wa Vyombo vya habar Tz.
Kwa Mazingira hayo hakuna atakae toa ripoti za kupingaza NBS data!

Cha mhimu: Tuungane kuipongeza serikali yetu pale inapo fanya vizuri. Vilevile kwa pamoja tuikosoe inapo kosea.
Side mirrors zipo ili kumuongoza dereva. Usidhani ni maskio.

Haya maendeleo Tz tulio nayo hayaendani kabisaaa na rasilimali lukuki tulizo nazo.
Uliwahi kushiriki upikwaji?
Unakumbuka miezi michache PK alishutumiwa kupika data za nchi yake?
Embu niambie kwanini Tz haikushutumiwa na PK akashutumiwa.
 
Mwaka jana World Bank ilitoa growth rate ya Tz, Kenya, Rwanda na Uganda. Tz pekee ndio iliyo pinga!!! Nchi Ya pili kutoka mkiani kwa Maendeleo.

Nakumbuka Tz imepitisha sheria ya kudhibiti Data. Licha ya marekebisho (though forced by WB) hakuna Mwanahabari anaethubutu ku challenge. Angalia Kabendera yupo Cello kisa ukweli wa habari.

Pia mtetezi wa Wanahabari Duniani, mwaka jana alikamatwa Tz alipo kuja kufuatilia mienendo na Uhuru wa Vyombo vya habar Tz.
Kwa Mazingira hayo hakuna atakae toa ripoti za kupingaza NBS data!

Cha mhimu: Tuungane kuipongeza serikali yetu pale inapo fanya vizuri. Vilevile kwa pamoja tuikosoe inapo kosea.
Side mirrors zipo ili kumuongoza dereva. Usidhani ni maskio.

Haya maendeleo Tz tulio nayo hayaendani kabisaaa na rasilimali lukuki tulizo nazo.
Buda! Ni kiswahili huelewi nibadilishe lugha au ni nini 😂😂😂
Maana nakuuliza hichi unajibu kile.
 
Acha uongo we boya
Unemployment rate ya Tz siyo chini ya 10 % hivyo kwa Kenya. Serikali ya Tz haitaki data kinzani. Data zetu ni za Kupikwa! Kama tulipinga hata Growth rate za World Bank kati ya nchi 5 zote ni maajabu!

Behewa 21 za Mahindi unaweza nununa zote kwa Tshs Mil 100! Ni sawa na mtu aiuzie Tz, Sam Sang Galaxy 100 tu nchini sawa na Box 1 tu. Ha ha ha.

Kenya wana Import Tz Valuable Goods. Mf. Medecine, Agricultural equipments, consumable goods kibao,. Import yao ya Mwezi 1 ni swwa na Mahindi tulio lima Tz mwaka mzima. Watanzania tuamke. Tuachane na SIFA za kijinga. Kusifu sifu upumbavu!!!

Je Kenya na Tz ni nchi ipi ina Wasomi wengi when Compared to its Population? (ratio)
Unemployment rate ya Tz since 2004 hii apo
Screenshot_2019-09-30-11-47-24.jpeg
 
Danganya Wajinga wenzio.

From the start. Nili declare kuwa Data za NBS siyo Credible! Simple Example ni National Growth data 2018 vs WB findings.
Basi we endelea kujidanganya mwenyew, ila rate yetu inapungua kila mwaka i repeat kila mwaka unemployment inapungua Tz
Hyo apo ni kenya unemployment rate, na WB imesema unemploment rate itaongezeka zaid ya hapo mwaka 2020, zile kelele zenu za kenya sjui private sector zinaongeza ajiraa mara sjui hvi mara vle, hyo hapo ndo ajira zenu, kubalini kwenye swala la ajira Tz tuko juu mzee baba, only 1%, na nyie mna 10% nakuendelea. Skuingine msitupgie kelele kaa na upumbavu wako
Screenshot_2019-09-30-18-28-14.jpeg
 
Buda! Ni kiswahili huelewi nibadilishe lugha au ni nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Maana nakuuliza hichi unajibu kile.
This is sad.. Simple things you can't comprehend.
Especially looking at Tanzanian economy and revenue collection, there is no way the government is funding all those projects internally, but in Tanzania where the government can borrow without disclosure and questioning, it will not be a wonder to find mountain of debt accumulated by Magufuli for short-term praise. Your Parliament is toothless to check the government, the media is gagged, opposition members jailed. You laugh when you hear screaming headlines in Kenya of borrowing and graft you forget much of that is due the level of transparency and media freedom..
 
Pamoja na Tanzania kukopa kote huko lakini bado hatuwafikii Kenya hata nusu, na bado tuna sifa za kukopesheka hata maradufu ya deni tulilonalo sababu tunajimudu. View attachment 1218470
....but Kenya huwezi kumsikia rais wao akiwadanganya wananchi wake wanyonge eti "tunatumia pesa za ndani".

Watanzania ni mazuzu na misukule ndiyo maana tunadanganywa kirahisi rahisi!
 
Unadhani watz hawajui kama lazm kutakua na mkopo? Wanaelewa vizur lakn mikopo yetu hatutoi china wala kwa wazungu bali tunatoa World Bank ambyo haiwez miliki sgr kama ya kenya kwa miaka mia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
....but Kenya huwezi kumsikia rais wao akiwadanganya wananchi wake wanyonge eti "tunatumia pesa za ndani".

Watanzania ni mazuzu na misukule ndiyo maana tunadanganywa kirahisi rahisi!
 
Shida yako ni uelewa! Unadhani kila msema ukweli ni Mkenya. Mimi nime uliza taja eneo tunalo wazidi Kenya.

Unemployment rate ipungue kivipi Tz? Tokea 2014 Graduate karibia wote wapo mtaani!

Migogoro ya madini karibia watu 15,000 direct employment walifukuzwa!

Walio punguzwa kazi, vyeti feki hawajawahi fanyiwa replacement!

Viwanda na kampuni nyingi zimeondoka au kufunga biashara Tz toka 2015!

Serikali ili sitisha ajira!

Hizo ajira zimetoka wapi na lini? Huwezi Ongelea unemployment rate kwa midomo bila viwanda!!
Basi we endelea kujidanganya mwenyew, ila rate yetu inapungua kila mwaka i repeat kila mwaka unemployment inapungua Tz
Hyo apo ni kenya unemployment rate, na WB imesema unemploment rate itaongezeka zaid ya hapo mwaka 2020, zile kelele zenu za kenya sjui private sector zinaongeza ajiraa mara sjui hvi mara vle, hyo hapo ndo ajira zenu, kubalini kwenye swala la ajira Tz tuko juu mzee baba, only 1%, na nyie mna 10% nakuendelea. Skuingine msitupgie kelele kaa na upumbavu wakoView attachment 1219919
 
Hawa ndio utakuta wapo NBS. Kazi zao pambio tu.

Hata idadi ya Graduate tu kwa mwaka nchi nzima ali ulizwa Waziri hajui?

Hata takwimu Tz uki tafuta za Wafanyakazi nchi nzima hakuna!! Ni projo porojo!! Kila mtu ni mbeba Gitaa za kusifia hata ujinga!!

Out of 52m - Tanzanians , tax payer Tz ni 2m? Pumbavu!! Mko serious? Tunajisifia ujinga?

Ina maana hiyo 1% ya un employment rate mmeipateje ilihali hata Waajiriwa nchi nzima hamuwajui? 80%ya wa Tz wapo vijijini, na 80% wana tegemea kilimo na 80% hiyo ni Wakulima na wakulima hao ni bado substance Agriculture!! Kipato cha hawa ndio tuna jilinganisha na Graduates wa Kenya!!

Tafuta 80% ya 52m. Uone watanzania Wajinga na Wasio na degree ni wangapi. Then compare to Kenya. Then Compare Per Capita Income ya Residents wa hizi nchi 2 ndio utajua Wajinga na wabeba mikoba wametufikisha kubaya!!

Profesa, UDSM una sema ume toka jalalani? Je Mkulima ya Manyovu Kigoma ana hali gani?



Basi we endelea kujidanganya mwenyew, ila rate yetu inapungua kila mwaka i repeat kila mwaka unemployment inapungua Tz
Hyo apo ni kenya unemployment rate, na WB imesema unemploment rate itaongezeka zaid ya hapo mwaka 2020, zile kelele zenu za kenya sjui private sector zinaongeza ajiraa mara sjui hvi mara vle, hyo hapo ndo ajira zenu, kubalini kwenye swala la ajira Tz tuko juu mzee baba, only 1%, na nyie mna 10% nakuendelea. Skuingine msitupgie kelele kaa na upumbavu wakoView attachment 1219919
 
Hawa ndio utakuta wapo NBS. Kazi zao pambio tu.

Hata idadi ya Graduate tu kwa mwaka nchi nzima ali ulizwa Waziri hajui?

Hata takwimu Tz uki tafuta za Wafanyakazi nchi nzima hakuna!! Ni projo porojo!! Kila mtu ni mbeba Gitaa za kusifia hata ujinga!!

Out of 52m - Tanzanians , tax payer Tz ni 2m? Pumbavu!! Mko serious? Tunajisifia ujinga?

Ina maana hiyo 1% ya un employment rate mmeipateje ilihali hata Waajiriwa nchi nzima hamuwajui? 80%ya wa Tz wapo vijijini, na 80% wana tegemea kilimo na 80% hiyo ni Wakulima na wakulima hao ni bado substance Agriculture!! Kipato cha hawa ndio tuna jilinganisha na Graduates wa Kenya!!

Tafuta 80% ya 52m. Uone watanzania Wajinga na Wasio na degree ni wangapi. Then compare to Kenya. Then Compare Per Capita Income ya Residents wa hizi nchi 2 ndio utajua Wajinga na wabeba mikoba wametufikisha kubaya!!

Profesa, UDSM una sema ume toka jalalani? Je Mkulima ya Manyovu Kigoma ana hali gani?
We kijana unemployment hawaangalii kwa wanaomalza chuo pekeake mana hawafik hata robo ya popln ya tz, ata hvyo wanaomalza chuo ustegemee wote kuajiriwa kuna vigezo ikiwemo ufaulu na muhitimu kuwa ready kufanya kazi, kama ingekua wanaangalia wahitim wa chuo peke ake na sio popln nzima basi ata hyo 1% isingefika ingekua 0.001%, ila wamejumlishwa wote, kuanzia wanafunzi, vibarua, wahitimu, wakapata hyo 1%, usibishane na data mzee. Hyo migogoro sjui ni vya muda tu, ila kuna project nyingi zinaendelea hapa tz na ajira pamoja na vibarua vinatolewa.
 
We kijana unemployment hawaangalii kwa wanaomalza chuo pekeake mana hawafik hata robo ya popln ya tz, ata hvyo wanaomalza chuo ustegemee wote kuajiriwa kuna vigezo ikiwemo ufaulu na muhitimu kuwa ready kufanya kazi, kama ingekua wanaangalia wahitim wa chuo peke ake na sio popln nzima basi ata hyo 1% isingefika ingekua 0.001%, ila wamejumlishwa wote, kuanzia wanafunzi, vibarua, wahitimu, wakapata hyo 1%, usibishane na data mzee. Hyo migogoro sjui ni vya muda tu, ila kuna project nyingi zinaendelea hapa tz na ajira pamoja na vibarua vinatolewa.
Achana nae huyo anakuaribia energy yako bure 😁😁😁
 
....but Kenya huwezi kumsikia rais wao akiwadanganya wananchi wake wanyonge eti "tunatumia pesa za ndani".

Watanzania ni mazuzu na misukule ndiyo maana tunadanganywa kirahisi rahisi!
Actually the national treasure has to table before parliament every six months(not sure if it's not quarterly) a report on the current debt status and the loans obtained in that period. Wengine wadanganywa na ccm kama mazuzu na kuamini lolote wasemalo. Kenyans question and sometimes oppose every decision made without disclosure and public participation until the truth is sort. Relatively Free media and free people including opposition parties(not fully there but we are fast approaching).
 
Back
Top Bottom