Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 358
Onesha udhaifu waoAcha tujiondoe tu hao wanaojiita human rights wanakuwa financed na Marekani lakini cha ajabu US wala si wanachama wa ICC wanasema hawataki kuingiliwa legal system zao ila wao wanataka waingilie legal system za nchi zingine kupitia hao Amnesty Imternational.