Kwetu Ngoreme
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 489
- 189
1947?????????????
Matasalamat bldng, Samora ave, i think 🙂not sure but looks like TAMBAZA Sec.
Humu ndani tunavyodanganywa wakati mwengine, noma
Tuliwekewa picha hii tukaambiwa ni Bi.Kidude
Kumbe imepigwa 1890 huko, Bi.Kidude hata hajazaliwa seuze kuwa "Mjakazi mzima na watoto juu"
(Photograph of woman from Zanzibar by Coutinho brothers, c. 1890)
Mkuu hapa si sawa. 1947 nakataa, King Kong umetuingiza Chaka hapa.