MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Nilipotea kwa sababu za kimtandao na poor connection niliyokuwa nayo. Kwa miezi kadhaa sikuwepo humu.Habari Mkubwa, naomba urejee katika Uzi wetu wa Ndoto, twahitaji msaada wako mkubwa
Kwa sisi vijana wa miaka ya juz, ni raha sana kuona picha za enzi, najifunza mengiView attachment 74223 View attachment 74224 View attachment 74225 View attachment 74226 View attachment 74227 View attachment 74228 View attachment 74229 View attachment 74230 View attachment 74231 View attachment 74232 View attachment 74233 View attachment 74234 View attachment 74234 View attachment 74235 View attachment 74236 View attachment 74237 View attachment 74238 View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947
View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front
View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s
View attachment 74226
Salender Bridge 1960s
View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!
View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960
View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966
View attachment 74230
Dodoma City Center 1974
View attachment 74231
Bukoba City Center 1972
View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo
View attachment 74233
Korogwe Hotel
View attachment 74234
Same Hotel
View attachment 74235
Musoma 1960
View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo
View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975
View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966
Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
Ni kweli tungekuwa mbali kimaendelea kwa kasi kama tuko HIV unamaanisha wahenga walipambana na hao hao wakajiachia, now tumefeli kukimbia tunatambaaAiseee Tumetokaaa mbali sana kwa kasi hyo ya 1963 ingeendelea fresh tungekuwa mbali sana sema hapa kati tumechezea katiba,tumechezea azimio la arusha...
Hii picha siyo ya siku nyingi sana proof yake zoom utaona brand za magari ya siku za karibuniKweli tulikuwa mbali sana! hata Internet cafe zilikuweko siku hizo! ni mwaka gani vile? hapa ni Moshi? naona Mlima Kilimanjaro
Hahahah eti wametoroka shule na mama zenu!Wazee wetu wakila bata...inaonekana walikuwa wametoloka shule na mama zenu
Naona kuna kajamaa pale kati kametupia pamba kali na pose moja amazing sana kanamsaundisha dem
Kwenye miaka ya mwishoni ya 80 na mwanzoni mwa 90's nilikuwa naangalia movies hapo juu, Goethe institute.View attachment 74223 View attachment 74224 View attachment 74225 View attachment 74226 View attachment 74227 View attachment 74228 View attachment 74229 View attachment 74230 View attachment 74231 View attachment 74232 View attachment 74233 View attachment 74234 View attachment 74234 View attachment 74235 View attachment 74236 View attachment 74237 View attachment 74238 View attachment 74223
Hapa Ni Tanzania Elimu Supply(TES) Enzi Hizo 1947
View attachment 74224
Mabasi ya Ekarusi Kumbakumba kwa nyuma Azania Front
View attachment 74225
Tanganyika Parkers Enzi Hizo 60s
View attachment 74226
Salender Bridge 1960s
View attachment 74227
Dar-Es-Salaaam 1975 Hiyooooo!!!
View attachment 74228
Seaview-Mawingu House 1960
View attachment 74229
Arusha-Clock Tower 1966
View attachment 74230
Dodoma City Center 1974
View attachment 74231
Bukoba City Center 1972
View attachment 74232
Jengo La CCM Likiwa Linajengwa Enzi Hizo
View attachment 74233
Korogwe Hotel
View attachment 74234
Same Hotel
View attachment 74235
Musoma 1960
View attachment 74236
Handeni Bomani Enzi Hizo
View attachment 74237
Shule Ya secondary Kisutu 1975
View attachment 74238
Iyunga Secondary 1966
Tupia Nyingine na wewe kama Unazo za Enzi Hizo za Popote pale ndani ya Tanzania::::Kumbukumbu ya Miaka 51 ya Uhuru::09 Dec 2012
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Kwenye miaka ya mwishoni ya 80 na mwanzoni mwa 90's nilikuwa naangalia movies hapo juu, Goethe institute.
songea mashujaaView attachment 961781
.haswaHawa watu waliokuwa enzi hizo kweli mashujaa
Ubunifu wao ni wakiwango chakipekee kabisa.
Mashujaa wa kweli
Wanacheka mwenyewe[emoji23][emoji23]school children 1960
dot com hawatii mguu hapo cheki kiatu hicho kwanzamabishoo wa kipindi hiko tukiwa mizunguko yetu townView attachment 1126466
duuuh!dar es salaam 1946
SALAAM 1946<!-- google_ad_section_end -->
Na una angalia zaidi vifuani kwa hao wasichana. Wangeacha wazi tu hata siku hizi ila mengi yamesha lala katika umri huo wanayainua na sidiriaRaha kuiangalia hii picha haikuwa issue. Siku hizi wakiacha wazi hivi sijui itakuwaje?
Uko sahihi kabisa Mkuu. Enzi hizo za UDA, DSM Muda wa basi kupita kituoni tulikuwa tunaufahamu kwa hiyo wanafunzi tunajiandaa muda wetu nakumbuka basi Uwanja Taiakwetu lilikuwa linapta saa kumi na mbili na nusu Juu ya alama. Na hilo basi ilikuwa likichelewa 5 minutes tena kwa nadra. lakini sasa hivi kila mtu na lake. Ukiuliza ooh siku hizi foleni ilimradi shaghalabagala.
kwamba zaman palikuwa na taa barabarani ila hilo eneo kwa kwa halina