Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

Another question, you claim that you are number two with 70%. Number one wako na % ngapi? What of number three?. These are questions that somebody have to answer me. We all know that this minister is lying.
 

Halafu nikae hapa namsikiliza huyu punguani!

Nikae hapa namuamini kabisa!

Yaani nikae hapa niamini narrative inayosemwa na Awamu ya Tano?

Nani anasikiliza na kuamini liers?

No one believes you people!

No one!
 
Na mbona sikuona Tanzania ikiambiwa inapika data kama kenya ilivyoambiwa inapika pesa yake 30% na Rwanda pia inapika uchumi wapi.
CCM: Uchumi unakuwa kwa 7%
IMF: Tanzania economy growth is 4%

So lazima uambiwe hapo mbele yako ati unapika data, the correction is enough. For Kenyan shilings why can't they reverse it backward by 30 as you claim they they did with your growth rate?. Yenyu walipata ati imekuwa coocked wakarudisha from 7% - 4%, mbona basi wasirudishe shilingi ya Kenya from 100 - 130 if at all it's true.
 
Kuna watu naona leo hawato lalaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kama mbashindwa kununua meter mtapataje umemeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 

Tanzania imetajwa na nani au shirika gani credible?

Alietaja ni "Kalemani"......

GTFOH
 
Utalia sanaaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Hivi watu wanajua maana ya kusambaza umeme au maji vijijini? Mnahesabu idadi ya vijiji huduma ilipo pita au idadi ya kaya zinazopata huduma hiyo?

Hawa viongozi waandaji wa takwimu wamezaliwa na kukulia mijini? wanatembelea vijiji?
 
Hujajibu nilichokuuliza hapa.
Jibu nilichokuuliza.
 
Kuna watu naona leo hawato lalaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kama mbashindwa kununua meter mtapataje umemeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Naona unatafta pa kutokea Mkuu! Umebanwa ehh? Tupe credible source!
 
Tokeni slumberland, the real situation is this. 32% electricity connection with 1500MW installed capacity. [emoji23][emoji23][emoji23]
Utalia sanaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
 
You are just too lazy to read what I wrote, the answer is there. Anyway you can go ahead with cooking your data.
Usiamie kwenye kingereza...haikufanyi kuonekana wewe ni mwelevu zaidi...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Sio mimi na hawa. πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…