Tena umeruka kwa hospitals[emoji1787][emoji1787][emoji1787], kweli mmebanwa.Hahahaha, this report is 12 years old. Sikiliza, Tanzania ina jumla ya vijiji 12,400. Mipaka mwaka 2015, vijiji vilivyokua vimeunganishwa vilikua 2000 pekee, Magufuli kwa miaka hii 4, ameunganisha vimefikia 8100.
Alikuta District Hospitals 70 nchi nzima toka tupate Uhuru, yeye anejenga District Hospitals 63, Jumla sasa tuna District Hospitals 133. Amejenga Heath centres 365 ndani ya miaka 4. Sio rahisi watu kuamini haya anayofanya.
Facts kwani mimi nakupa ndizi wewe nyani...😂😂😂You will never forget this day in your all life, I want to discipline you properly with facts [emoji23]
Hapo wanaongelea umeme wa grid [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe kweli ni nyani...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1244381
Facts kwani mimi nakupa ndizi wewe nyani...[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1244385
Hata viwanda amejenga 4000 😂😂😂Hahahaha, this report is 12 years old. Sikiliza, Tanzania ina jumla ya vijiji 12,400. Mipaka mwaka 2015, vijiji vilivyokua vimeunganishwa vilikua 2000 pekee, Magufuli kwa miaka hii 4, ameunganisha vimefikia 8100.
Alikuta District Hospitals 70 nchi nzima toka tupate Uhuru, yeye anejenga District Hospitals 63, Jumla sasa tuna District Hospitals 133. Amejenga Heath centres 365 ndani ya miaka 4. Sio rahisi watu kuamini haya anayofanya.
Kwani mimi nakupatia za Kenya...?😂😂😂Should I call World Bank and IMF? [emoji1787][emoji1787]
Tena kwa kishindo...hivi 1500 MW ndio inawatoshanisha na South Africa?Wewe umeludi...😂😂😂👇👇👇View attachment 1244382
Nani kabanwa hadi kukosa pesa ya kununua meter za umeme..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo unataka kubisha...??[emoji23][emoji23][emoji23]If you cant afford to buy electric meters can you be number one...[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni nyani tena uliyekosa matunzo..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
I do support this at 100% Hii nchi niyetu...Hatutaki mtu kuja anajichumia tu...Tena kodi iwekwe juu zaidi...Tuna jua nchiyetu mnaitamani sanaaaa....
Dar kuna sehemu hakuna umeme ??? Hapo tu ndio ulipo haribu, data nzima ikaonekana haina maanaTanzania power connection stands at 32% as at July 2019 with an installed capacity of 1500MW. Dar es salaam is the leading region with 70% electricity connection. Hizo zingine ni zenyu[emoji23][emoji23]View attachment 1244297
Dar kuna sehemu hakuna umeme ??? Hapo tu ndio ulipo haribu, data nzima ikaonekana haina maana
Huyo jamaa nimemweka kwa corner.Hta km ni kukwepa hoja basi sio ki hvo...km uko nursery
Unakarangwa kwa thread yako and I'll be remembered as the Chief Chef. The brain behind your roasting.
Paragraph ya kwanza nimezungumzia vijiji vilivyounganishwa na UMEME, sasa kitu gani kimerukwa?. Paragraph ya pili ndio nimezungumzia Hospitals, kuonyesha jinsi Kazi inavyofanyika. Hahahaha, tunawapiga kila kona, endeleeni kusifia bajeti kubwa wakati hakuna kinachofanyika.Tena umeruka kwa hospitals[emoji1787][emoji1787][emoji1787], kweli mmebanwa.
Hahahaha, mtaendelea kuweweseka sana tu. Sasa hivi ATCL ina jumla ya ndege 11, mpya 8 za zamani 3. KQ bado mpo na ndege tatu pekee.Hata viwanda amejenga 4000 [emoji23][emoji23][emoji23]
ATCL Nini mbaya??
Waziri Kamwelwe aagiza kukamatwa kwa anayeendesha mtandao wa “ATCL Aviation TV”
Waziri wa Mawasiliano, Isack Kamwelwe ameagiza kukamatwa kwa mtu anayeendesha mtandao wa ATCL Aviation TV kwa kutangaza kwamba ndege nyingine mpya aina ya Dreamliner inakuja nchini. ***** Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania, Isack Kamwelwe ameagiza anayeendesha mtandao wa...www.jamiiforums.com
Nimwage mtama zaidi??
Hutamwona akianzisha thread ya aina hii Tena[emoji23][emoji23]Hehehe! Hadi nimecheka, jamaa ameishia kuleta picha za meter, ataukimbia uzi wake.
Umeme installed capacity 1,500MW halafu eti wawe namba mbili Afrika
Paragraph ya kwanza nimezungumzia vijiji vilivyounganishwa na UMEME, sasa kitu gani kimerukwa?. Paragraph ya pili ndio nimezungumzia Hospitals, kuonyesha jinsi Kazi inavyofanyika. Hahahaha, tunawapiga kila kona, endeleeni kusifia bajeti kubwa wakati hakuna kinachofanyika.
Hahahaha, mtaendelea kuweweseka sana tu. Sasa hivi ATCL ina jumla ya ndege 11, mpya 8 za zamani 3. KQ bado mpo na ndege tatu pekee.
Source ya hizi takwimu ni Kalemani?Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.
Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%