Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

yeah Ilani na ajenda ni ile ile... mengine uliyosema ni kweli. Unless kuna Ilani nyingine itapitishwa...

Ni hivi, Mungu ameamua kufanya mabadiliko bila damu kumwagika kwa kumuondoa mtu dhalimu, yale maelezo yako ya post namba moja ni kujiweka vizuri kisaikolojia baada ya muovu uliyekuwa unamsujudia kuelekea motoni. Huyo unayetaka ajenda zake zifuatwe alikuwa anatamba kuwa kila zama na kitabu chake, kwa acha huyu mama naye afungue kitabu chake. Hizo ajenda zake subirini siku akikaaa msukuma mwingine.

Na kwa taarifa yako hakushinda kihalali kwenye uchaguzi, hivyo huyo mama hana ulazima wowote wa kufuata ajenda ambazo hata yeye anajua hazikupigiwa kura na watanzania wengi.
 
Ni kama watu wanajitahidi kuukataa ukweli. Wanaombea usiwe ukweli...Mama Samia hana ajenda yake Wala ahadi zake... Ameingia kumalizia ngwe ya pili Rais Magufuli. Sasa ataimalizaje bila kuangalia ahadi zao jwa wananchi?
Watu wanachoamini ni kwamba hatakuwa na agenda za kuua watu, kunyanyasa wapinzani kama vile hawako kisheria nchini, kuminya uhuru ambao uko kisheria, double standards.
Jamani jamani mzee wetu mbona huelewi jambo liko wazi kabisa.
Watu walichukia aproach za mzee yule ambazo ziliumiza wengi saana.
Unataka waanze kumpinga mama ili nini au kwa sababu iipi?
Nashangaa kukuona mzee wangu Pamoja na kuishi huko dunia ya kwanza baado huoni watu wanachosimamia hapa.
Unajitoa ufahamu kabisa kwa sababu ambazo hazituleti Pamoja kama taifa.
Akikosea atakosolewa lakin si sasa ambapo bado hakuna sababu.
Wewe una agenda yako ambayo bado mda kidogo itakua bayana.
 
Wote tupo na
Nimetamani sana kulisoma na kulimaliza hili andiko lako, lakini haya maneno uloanza nayo yameonyesha kuna walakini.

"Wale ndugu zetu waliombea, waliongojea, na hata waliosubiria Magufuli afariki akiwa madarakani"
Huyu mwandishi akasome katiba,kama imeandikwa kwa lugha ya kiingereza akamtafute yule mkalimani wa dodoma,amtafsirie.Mama Samia ni Rais Wa Tanzania na halazimiki kufuata mienendo au sera za watangulizi wake wote.Pia hivi karibuni atakuwa mwenyekiti mpya wa chama chake CCM.Anaweza hata kubadilisha kwa kupitia ngazi husiks baadhi ya sera za Chama chake.
 
Wao wanafikiri ukiwa mpinzani hata vitu vya msingi ni kupinga huo ndio ugonjwa wa Watanzania walio wengi Mama Mungu amempa hicho kiti inabidi tumpe moyo na tujipongeze kwa kumpata rais mwanamke wa kwanza Tanzania.
 
Ni kama watu wanajitahidi kuukataa ukweli. Wanaombea usiwe ukweli...Mama Samia hana ajenda yake Wala ahadi zake... Ameingia kumalizia ngwe ya pili Rais Magufuli. Sasa ataimalizaje bila kuangalia ahadi zao jwa wananchi?
Mzee mimi nje ya mada kidogo. Kuna watu wameanza kampeni ya kumchafua Magufuli baba yetu ili waifute legacy yake wanadanganya watu mitaani eti nae alikuwa fisadi. Nisaidie awa watu tupambane nao vipi maana wanakera sana, najua wewe una thinking capacity kubwa unaweza shauri kitu. thanks
 
Kwa hiyo hao watanzania wanaodanganywa hawakuishi enzi za Magu wakaona aliyoyafanya?
Ni kama juzi kwenye msiba wake tunaimbiwa uzalendo wa Magu kama vile tumezaliwa siku aliyokufa.
Yaani kana kwamba watu hawana akili ya kujudge mpk waambiwe na fulani.
Ukweli utasimama daima kwamba alikuwa na makando mengi mno ndio maana wakatumia msiba wake kumshafisha na bado ndani ya siku moja kaburini mambo yake yanawekwa bayana ya kutochukua hatua kwa baadhi ya watu hata pale iliostahili.
 

Pambana na hali yako mwenyewe
 
Interesting[emoji848]
 
Unakumbuka wakati JK anamkabidhi JPM nchi namna JK alivyokuwa anasemwa na hao chadema wakasema bandari imejaa makontena ya JK? twiga anapanda ndege, sheli za oilcom ziliitwa za rizwan nk

Leo Chadema shujaa wao ni JK.

Ipo siku sio mbali wataimba mazuri ya JPM awa awa Chadema. Subiri Samia aanze minyoosho acha wamjaribu.

Usiwe na mashaka kabisa na matusi ya Chadema ni ya muda tu wala yasikuumize. JPM ameacha legacy kubwa sana itaenda vizazi vingi.
 
Ni kama watu wanajitahidi kuukataa ukweli. Wanaombea usiwe ukweli...Mama Samia hana ajenda yake Wala ahadi zake... Ameingia kumalizia ngwe ya pili Rais Magufuli. Sasa ataimalizaje bila kuangalia ahadi zao jwa wananchi?

Wala issue sio ajenda, bali watu wanajua baradhuli hayupo tena. Hizo ajenda za kujenga nchi zipo toka enzi ya mkoloni, hakuna lolote special sasa hadi ujifanye kuanzisha uzi.

Huu uzi wako ni kama unataka kumtishia huyo mama alazimike kufuata mambo ya Magu. Kwa jinsi alivyokuwa na kiburi cha madaraka, iwapo ni yeye angekuwa kachukua hiyo nafasi, angeendeleza ajenda za mtangulizi wake? Ww sema unajitutumua kulazimisha watu waone kama alikuwa na ajenda sana, kumbe dhalimu tu.
 

Kwenye msiba ndio tumeona reality ni kiasi gani Magufuli alikuwa anakubalika na wananchi wengi, pamoja na upotoshaji mkubwa uliofanywa na chadema mitandaoni.

watu tunampenda Magufuli for life ata mmchafue vipi..tunajua alivyotupenda na kutupigania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…