Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu

Msataga ni wachawi nimegundua. Hawataki watanzania wote waishi kwa fraha na amani. Ni sawa na watoto wa mama mmoja ila baadhi hawapendi kuona wegine wakipendwa na mama yao. Acheni Roho mbaya. Mwenzenu mmeona kafa na kiroho chake
Usitegemee furaha yako itoke kwa mwengine.

Kusubiri furaha yako itoke kwa mwengine ni utumwa huo.
 
Samia na Magufuli ni tofauti kubwa sana. Kama mbingu na ardhi.
Ni kweli kabisa; sijasema wanafanana au wanatakiwa wafanane. Na kusema ukweli ni hiyo tofauti yao ndio inamfanya yeye kuwa mtu sahihi kuibeba ajenda yao kuliko mtu mwingine yeyote.
 
Mbona ni kama watu wanafikiria nimesema Samia awe kama Magufuli? sijasema hivyo na siwezi kusema hivyo...
 

Aliumiaje? makamu wa rais?

JPM was firm hakutaka kuleana, na hamkumpenda maana aliburuza vitu na we needed him sana
 
Huyu mzee ni mpuuzi sana , Jiwe kaishakufa huelewi? Katuachia hasara ya mabilioni tusiseme ?View attachment 1737230
Watu wengine hamtakiwi kuingia kwenye biashara kabisa; kwamba mtu akipata hasara basi anatakiwa afunge biashara. Ingekuwa hili ni kweli kuna watu wasingeanzisha makampuni kabisa. Hoja ya "hasara" inaangaliwa kisiasa na si kibiashara. Kweli ni mfanyabiashara gani ambaye anaingia kwenye biashara bila kutarajia hasara au hata kupata hasara? Hata mkulima anayetaka kulima bila kutarajia kupoteza mavuno atashindwa kulima mwaka wa pili.
 

Hali ya kiuchumi ya wakati ule wanaanza kununua hizo ndege ilikuwa tofauti sana. Kumbuka, soundness ya financial decision inapimwa katika muktadha wa information iliyokuwepo wakati wa kufanya hiyo decision. Kama tujuavyo, decisions karibu zote (kama sio zote) zinafanyika katika mazingira ya uncertainties nyingi. Chochote chaweza kutokea baada ya decision kufanyika. Haijalishi umekuwa mwangalifu kiasi. Safari hii financial risk management models zote zimeangukia pua!
 
FM, hii hatari wanaitengeneza wenyewe. Sasa hivi walitakiwa waanze kujipanga kudai wanachotakiwa kudai.. wanatakiwa waujaribu uvumilivu wa Rais Samia.
 
bado wasukuma mnawaza usukuma? mmeshkwa pabaya
Yaani, mnaamini kabisa kuwa kila mtu aliyemuunga mkono JPM alikuwa ni Msukuma? Sijui tuuite huo ni ukabila wa namna gani. Kwa kifupi mimi siyo Msukuma...
 
Tatizo la Magufuli haikuwa ajenda. Ni kweli Samia atatakiwa kutekeleza ilani ya CCM, lakini mategemeo ya wengi ni kuwa ataitekeleza kwa hekima, siyo kwa kuteka watu, kuua watu, kuwapoteza watu, kukiuka katiba na sheria, kuzuia uhuru wa maoni na uhuru wa vyombo vya habari, kujichoteafedha bila itaratibu, n.k.
 
tumuombe mwenyezi Mungu ampe hekima na busara mama yetu atuongoza kwa haki..

Mama akichukua mazuri ya JK na mazuri ya JPM akatuongoza basi nchi itapiga hatua haraka.. JK alikuwa na akili na mtazamo wa dunia ya sasa inavyotaka kufikia kwenye maendeleo, JPM alikuwa ni msimamizi na muangalizi mzuri kwenye rasimali na utendaji.. Mama akichukua vyote akavitumia kama silaha tutakwenda mbele...

Tatizo la CCM ni makundi, haya makundi ndio yanaweza kuwa kikwazo kwa mama, makundi yameota mizizi mpaka taasisi nyeti na kila kukicha yanaibuka makundi mapya..Ni wakati sasa wa viongozi wa haya makundi kuweka maslahi ya Taifa mbele na kuachana na minyukano yao...
 
JPM's effect kwa upinzani ni kubwa sana, akiwa kaburini anauzika kabisa unapotea!!!


Chuki zao zimeondoa weredi wa kisiasa kujua wameingia shimoni kutoka hapo kazi sana

Bunge almost lote ni CCM, power ya JPM hata katika kifo chake ni kubwa sana kwa raia wa kawaida

Strategist wa CDM likely wangeanzia how to remedy that

Kama upinzani ungewaza kuchukua nchi 2025, msiba wa JPM umesogeza hilo mpaka 2030!!!! yaani ni hata kama Samia ataongoza 2025 mpaka 2030 kuachana na ties na mlengo wa JPM itakuwa ngumu, bado wananchi watataka standard, speed na aina ile ile

kumsifia mama Samia kwa report ambayo ingesomwa hata JPM angekuwa hai....ni kipimo kikuu cha akili kwa upinzani (wanadhania report imeaandikwa baada ya JPM kufa? au eti imekuwa edited?)


Kifo cha JPM ni kaondoka kabisa na upinzani nchini

JPM hakutaka maneno, story au kudekezana ..why? kwa sababu watu wanaongea sana

Infact, upinzani wa sasa utakavyo mu handle Samia ndio utamtengeneza 2025-2030 aweje...wataongea sana sasa, watamsifia na kumsumbua brain yake, kisha wataanza kumponda muda si mrefu...then Samia atakumbuka how JPM did....no bullshit na hawa watu....vitendo tu

Likely akauzika/kuupoteza kabisa upinzani na wao wakiamka usingizini ni 2040 labda watapata wabunge 5 tu


Kingine wasisahau CCM ndio inaongoza na wana influence kila kitu, infact mpaka rais Samia lazima a bow down kwa CCM......2025 anaweza asiwe yeye pia.Inategemea kipindi hiki atafanyaje

Standard aliyoiacha JPM ni top.....she will be evaluated based on that, apende asipende

kwa hiyo idea ya kudeal na CCM bado inapaswa kuwa top ajenda ya upinzani...CCM ni kubwa, ipo na inatisha kuliko JPM mmoja ambaye kalala
 

Kwenye hayo makundi, ndio upinzani unatakiwa kugusa na kuyajua na kuyavuruga!!!
 
Ni ngumu wapinzani kuchukua nchi kwa sababu hawana ajenda wanazosimamia muda mwingi wamekuwa wakiishi kwa matukio.
Sasa hivi wameanza kumuelekeza mara waziri mkuu ajiuzulu, mara fulani atumbuliwe wanasahau mama Samia ametokana na chama kilichopo madarakani na anapaswa asimamie ilani ya chama chake.
 
Yaani hapo umekula buku saba yako freshi uki present huu ushahidi wa bandiko
Kweli una muda na hauna kazi maalumu mpaka una muda wa kuandika kwa urefu wote huu, pole sana
Tafuta kazi ya ukweli ujikomboe kiakili..........
Mkuuu, unaweza ukani pm huu ujumbe wa huyu TAGA MWANDAMIZI kwa ufupi!? Nimeshindwa kusoma mpaka mwisho!
 
Hii ni imani tu...
Yule msukuma mwenzenu alikuwa mkatili sana, furaha yake kubwa ilikuwa kuumiza wananchi,kuwapa makesi yasio na zamana kwa wale waliompinga au ambao sio wa upande wake, watu walikuwa wanatekwa ,Lakini ulikuwa wala umsikii kulizungumzia wala kufanya Chochote, so tunataka kiongozi ambae muungwana na mwenye kauli nzuri za utu, Madam President ni MTU sahihi Kutufanya watanzania tuwe na amani kwanza ya mioyo yetu, kwa kipindi chote cha Magu tumeishi kwa hofu mno jamani
 
saivi haijurikani kama komba wapya au sogi jipya au punda mpya.
Muhimu mashee wetu watolewe. Mhusika mkuu ni CCM iwe iwavyo dua za kuwaombea zinaendelea na dua za kuwaangamizawale wote waliohusika na kuwakamata kuwaweka jela kuwapeleka Tanganyika iwe mmoja mmoja au kwa jumla nazo zinazidi kushika kasi.
Mnawafunga watu miaka minane na zaidi kesi mliyowafungulia haina mashiko kila mnalowazulia linabuma,mtakwenda tu kabla ya wao na mtaadhirika tu. sasa ni kuwaombea maangamizo kila siku na zaidi siku ya Ijumaa.
 

Hauwajui watanzania wewe!!! hawa jamaa wavivu, wanafiki, waongo? wasio wabunifu?

yaani mtu anakosa kutengebeza daraja, gari zinakwama siku tatu usimfokee??

wamama waja wazito wanakufa na vichanga just kwa sababu ya poor planning usiwafokee??

Nani alionewa kati ya waliofokewa???

aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…