Tanzania ya Samia bado ni ya Magufuli: Acheni Kujitoa Ufahamu Ndugu zetu


Mbona hajamsamehe Kakoko?
 
We ulikuwa na sababu zako tu za kuishi na hofu.. kha! Mbona wengine tuliishi kwa amani tu...
 
FM anasema ati watajisikia vibaya; anatakiwa awaite pembeni na kuwauliza kwa upole...
 
yeah Ilani na ajenda ni ile ile... mengine uliyosema ni kweli. Unless kuna Ilani nyingine itapitishwa...
Hizo Ilani zingekuwa zinatekelezwa... Mbona Tanzania ingekuwa ilishaendelea miaka mingi iliyopita. Unless unataka kusema kuwa zimeanza kutekelezwa kipindi cha JPM.
 
Kwa mara ya kwanza wewe mzee nimekuelewa, wapinzani wanacheza ngoma ya Rais mpya kuanzia kule twitter kwa kiongozi wao mpaka huku chini, sijui wataamka lini, they really do need to change their political approach ASAP, otherwise it will be too late for them.

Sio kusema tunasubiri siku 100 za kwanza, hizo siku zinaweza kwisha bado pasiwepo na anything concrete ya kwenda kuwaambia wananchi, naamini huyu mama ataacha baadhi ya mambo ya utawala uliopita kama uminyaji haki za binadamu na utawala bora (kama ambavyo tumeona ACT imeshinda uchaguzi mdogo Znz), mpaka hapo atakuwa ame score marks kwa wananchi.

Nilitegemea hao viongozi wa upinzani right from the go wamwambie Rais tunataka Katiba Mpya, alijue hili mapema asubuhi, sio kupoteza muda mwingi kumsifia na kumwambia afanye vitu vidogo vidogo atavifanya vyote, wananchi wata adopt Rais mchapakazi, baadae opposition wakija ku-change kudai Katiba, akili za wengi zitakuwa zimeshazoea sifa alizopewa mwanzo, mwishowe wataishia kupata wabunge kadhaa tu maisha yaendelee.
 
Hawa unaowaita "ndugu zetu" ni wewe mwenyewe. Wewe ni miongoni mean watu ambao wamedurahia sana kifo cha mpendwa wetu ila unajifanya kujiweka kando na kusema "hawa ndugu zetu" kutaka kuaminisha watu unazungumzia wapinzani na kwamba wewe si mmoja wao.
Nadhani ni wakati sasa wa kuacha unafiki. Unavaa ngozi ya kondoo wakati ndani ni mbwa mwitu mkali.
Watu tunakujua vizuri. Unachofanya ni kujaribu kwenda na upepo, jambo ambalo halikusaidii sana kwa sasa.

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kabisa; sijasema wanafanana au wanatakiwa wafanane. Na kusema ukweli ni hiyo tofauti yao ndio inamfanya yeye kuwa mtu sahihi kuibeba ajenda yao kuliko mtu mwingine yeyote.
Nani alieandika wanafanana? Usilete ujuha wako wa kizamani wa kucheza na maneno.

JF wote wa zamani tunakufahamu unafik wako.
 
Wamepotezana! Bado mzimu wa Magu utawaandama sana. Ukweli ni kwamba Magu hayupo na hatakuwepo tena na wasijaribu kupingana na mapenzi ya Mungu.
Mungu anataka tumsifu na kumwabudu yeye na kwake kila goti litapigwa na si kwa mwanadamu awaye yote.

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Bado ana wenge nadhani hata akuona picha ya Magu anaipigia magoti kuisujudia !

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Tell him ! Anatafuta namna ya kupenyeza mapambio ndo maana anataka kutuaminisha Samia na Magufuli ni kitu kimoja. Idiot !

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…