Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mkuu, Charles Mandela!

Kuna HYMN ndogo hapa ambayo ni chapa la WAMENON (MENNONITE-MUSOMA, TZ) la mwaka 1968 ila haikidhi kwa maana "PREFACE" yake kama ina hang hang vile.

Nikiingia MJINI kule nitaitafuta ilokubwa, Ila kwa leo Nainukuu hii ndogo:-

TENZI ZA ROHONI

"MKIFUNDISHANA" na "KUONYANA" kwa "ZABURI" na kwa "NYIMBO", na TENZI ZA ROHONI: huku mkimwimbia MUNGU kwa neema mioyoni mwenu.
WAKOLOSAI 3:16

Pasina jumuisho la "NYIMBO" kumbe SYSTEM yangu haikamilishi mambo!?!!

"Mkifundishana" na "Kuonyana" kwa Zaburi.
It means that it takes a plenty of time before the displacement of JOHN F KENNEDY.


Kwenye "SYSTEM" yangu "ZABURI" lazima iwemo kwa maana ni Mjumuisho wa "NYIMBO", "IBADA", "KUSIFU" sanjari na "KUABUDU" huu ni mkamilisho muhimu wa kiutendaji ktk utafutaji wa MKATE wangu wa kila siku.
 
FALCON ni icon muhimu kwa MWASHITA kuliko brands zao zingine kivipi?
FALCON ni jina ambalo lilikuwa linatumika kama ni aina ya ndege ya RAIS WA RWANDA 🇷🇼 kwa kipindi hicho. Yaani ndege ya RAIS WA RWANDA 🇷🇼 [ JUVENAL HABYARIMANA ] kwa kipindi hicho alikuwa anatumia FALCON 50 JET.



Kabla hata ya kudunguliwa, SERIKALI YA RWANDA 🇷🇼 ilipewa taarifa kuhusu uwepo wa mipango ya MAPINDUZI YA KIJESHI, lakini walipuuza.

Na SERIKALI YA RWANDA 🇷🇼 walipewa taarifa na hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 kuhusu uwepo wa MAPINDUZI YA KIJESHI, lakini walipuuza tena kama kawaida yao.

Baada ya kipindi kifupi kupita, RAIS WA RWANDA 🇷🇼 na RAIS WA BURUNDI 🇧🇮 walikuja TANZANIA 🇹🇿 kwa ajili ya upatanisho na kusuluhisha migogoro iliyokuwa inawasibu kwa kipindi hicho.

Na baada ya kikao cha majadiliano kilichofanyika DAR ES SALAAM, hawa MARAIS wa RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 waliomba kupumzika ili waondoke kesho yake, kwa sababu kikao cha majadiliano kilimalizika usiku.

Lakini RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kwa kipindi hicho, Ndugu ALLY HASSAN MWINYI aliwakatalia na kusema kwamba - hakuwa na bajeti yao kwa usiku ule. Kwahiyo iliwapasa hawa MARAIS WAWILI WA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 kuondoka usiku ule ule kuelekea KIGALI - RWANDA 🇷🇼.

Na alfajiri ya tarehe 6, Mwezi wa nne [ APRILI ], mwaka 1994 ile ndege aina ya FALCON 50 JET ilidunguliwa na kusababisha vifo vya RAIS WA RWANDA 🇷🇼 - JUVENAL HABYARIMANA na RAIS WA BURUNDI 🇧🇮 - CYPRIEN NTARYAMIRA.

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 kwa kuwaenzi wale MARAIS WAWILI WA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 waliamua kuanzisha kampuni ya usafirishaji wa abiria inayoitwa FALCON.


Na ndio hiyo kampuni ya usafirishaji wa abiria inayoitwa FALCON. Hiyo kampuni ya FALCON ipo tangu mwaka 1996 na mpaka leo ipo na itaendelea kuwepo.
Na mbona njia zake amebadili ni DAR-LUSAKA-HARARE-KONGO badala ya DAR-NAIROBI-MWANZA kama zamani!?
FALCON ipo na inafanya shughuli za usafirishaji wa abiria kama kawaida. Sema kwa siku za hivi karibuni imekuwa ikiadimika sana kwenye hii barabara ya DAR ES SALAAM mpaka TARIME, lakini ipo na inafanya shughuli zake kwa upande wa nchi za jirani.


Hiyo ndio FALCON na hiyo ndio historia ya jina FALCON. Sasa angalia vizuri hiyo picha ya basi hapo juu! Hiyo ni lugha ya picha.

Kwahiyo wale waliohusika na MAUAJI YA MARAIS WAWILI WA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 ni SERENGETI yaani CHUI. Hao ndio wanaitwa SAULI kulingana na MAANDIKO YA BIBLIA TAKATIFU.
 
Shukrani, Mkuu!
Nilizoea sana kuziona sana "AKAMBA" na "FALCON" zikikimbizana enzi hizo.

Njia ya TARIME iliwaka moto enzi hizo. Kukanyaga EAST AFRICA pasina usafiri wa AKAMBA au FALCON usingeonekana mjanja wakati huo.

Picha hiyo inatafakarisha na pia inafikirisha sana. Picha na lugha ya picha imekuwa msaada sana na mhimili mkubwa kwa nyakati hizi kwa maana kule AFRICA wanachokisoma darasani kama HISTORIA kiko tofauti sana na UHALISIA, ni mwendo wa KUMEZESHWA MATANGO MWITU.

AFIRIKA! AFIRIKA! AFIRIKA! INATISHA SANA HATA KULIKO IBILISI MWENYEWE.
 


I occasionally used to drink PEPSI! Because there is a big difference between PEPSI and COCA - COLA 🥃.
 
Si mchezo, mambo mengi yamefichika!
Ndiyo, Mkuu Wit
Lakini JamiiForums ni uwanja sahihi wa kufungua yasiyofunguka.

Wewe una KILE, Na mimi nina HIKI, Tukichanganya kwa pamoja tunapata UFUNGUO maalum wa kufungua pale palipotiwa MHURI.

Hapa tunakutana na wachezaji MAALUM wenye UWEZO, HEKIMA, UJUZI na MAARIFA ya KUNG'AMUA kile kinacho tutatiza hapa uwanjani.

Ni wewe tu kuuliza swali liwalo lolote kulingana na jukwaa husika kwa ajili ya KUULISHA UBONGO chakula kilicho bora zaidi.
 
Si mchezo, mambo mengi yamefichika!
TANZANIA 🇹🇿 kuna SIASA ZA HATARI SANA na hakuna UPINZANI THABITI wa kuweza kuikosoa na kuisimamia SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kikamilifu.

Hawa WANASIASA WA UPINZANI kwa namna moja ama nyingine wanatumika na CHAMA TAWALA ambacho ni CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Yaani hauwezi kuamini kuwa - kwa jinsi SERENGETI yaani CHUI ilivyojijenga kwenye TAASISI ZA KISERIKALI, hata mfanyakazi wa kawaida akiachia USHUZI 💨 kwenye OFISI YA SERIKALI lazima SERENGETI yaani CHUI watafahamu.

Sasa hawa SERENGETI yaani CHUI watafahamu kwa namna gani? Wamepenyeza watu wengi sana kwenye TAASISI ZA KISERIKALI, kiasi ambacho kila idara na kila ofisi wapo.

Na huu ni uzembe kwa WANASIASA WA UPINZANI. Haya mambo yote yanaanzia BARAZA LA MITIHANI [ NECTA ]. Kuna idadi kubwa sana ya wanafunzi wasiokuwa na vigezo wanapitishwa pale BARAZA LA MITIHANI [ NECTA ], huku kwingine kinachokuja kufanyika ni majumuisho tu.

Hiyo ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na kwale waliotambua haya mapema waliamua kujikita kwenye SEKTA BINAFSI.
 
If not to accomplish it "OUR TASKS" there around Great Lake Zone's Francop i know not anymore.
WAINGEREZA 🇬🇧 huwa wanasema hivi - FIRST OF ALL YOU HAVE TO KNOW YOUR ENEMIES. Yaani hatua ya kwanza unatakiwa kufahamu maadui zako ni nani.

Sasa adui yako wewe sio MWASHITA yaani SIMBA 🦁, kwa sababu hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wao wanafanya mambo yao pasipo kuhusika na SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.

Na hauwezi kupambana na mwenye UCHUMI, tofauti na hapo hata kile kidogo ulichonacho utapoteza. Jaribu kutumia muda mwingi kujiendeleza KIUCHUMI na sio kupambana na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Na unapokuja kupambana na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 unatakiwa upambane nao KIUCHUMI na sio tofauti hapo.

Kwahiyo ADUI yako natumaini umeshamuelewa na siku nyingine unatakiwa usitafute MCHAWI ni nani kwa sababu kila kitu sasa hivi unakifahamu.
 

Hali ni TOFAUTI kabisa na UHALISIA na baada ya MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮, kuna MATAIFA TISA [ 9 ] YA AFRIKA pekee yake yaliamua kupeleka MAJESHI ili kulinda amani ya RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮.

Mataifa hayo ni TANZANIA 🇹🇿, KENYA 🇰🇪, UGANDA 🇺🇬, KONGO 🇨🇩, ZAMBIA 🇿🇲, ZIMBABWE 🇿🇼, AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, ANGOLA 🇦🇴 na KONGO - BRAZZAVILLE 🇨🇬.

Vile vile hata baada ya hali ya kisiasa kutulia bado kuna TAASISI ZA KIMATAIFA na MATAIFA MAKUBWA yanaendelea kufanya upelelezi kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 kuhusu MAUAJI YA KIMBARI mpaka leo hii.

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaowalea na kuwatunza wenyeji wa haya MATAIFA MAWILI [ 2 ] YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮.

Na hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio waliohusika na kuwasambaza wenyeji wa haya MATAIFA MAWILI [ 2 ] YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 sehemu zote za TANZANIA 🇹🇿 kipindi cha MAUAJI YA KIMBARI.

Yaani hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio waliokuwa msaada kwa wenyeji wa haya MATAIFA MAWILI [ 2 ] YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 kipindi cha MAUAJI YA KIMBARI.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio wanaohusika na kuwasafirisha wenyeji wa haya MATAIFA MAWILI [ 2 ] YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 kwenda kufanya kazi nchi mbali mbali za DUNIANI.

Lakini kwa siku za hivi karibuni imeonekana kuwa huko nchi za ULAYA, AUSTRALIA na AMERIKA hakuna vipato vya ajira vizuri kama AFRIKA. Kwahiyo hawa wenyeji wa haya MATAIFA YA MAWILI [ 2 ] YA RWANDA 🇷🇼 NA BURUNDI 🇧🇮 watarudi AFRIKA hasa NCHI ZA MAZIWA MAKUU hususani TANZANIA 🇹🇿 kuja kufanya kazi kwenye kampuni zinazomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwa sababu hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ukiondoa JAMII ZENYE DOLA ZA AFRIKA YA MASHARIKI yaani SERENGETI kutoka TANZANIA 🇹🇿, MLIMA KENYA kutoka KENYA 🇰🇪 na WAHIMA kutoka UGANDA 🇺🇬, hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio wameshikilia UCHUMI WA MAZIWA MAKUU yaani GREAT LAKES REGIONAL ECONOMY.
 
Humu kuna watu waongo na hawajui mambo,wanaleta Habari za vijiweni!!..Nimesikitika kama Kampuni ya Mzee Sawaya (Kilimanjaro Express) kuwekeza kwenye huu upuuzi Eti ni kampuni ya CUF
 
Nimeacha kusoma uliposema umezaliwa miaka ya 90🤒
 
Haya ngoja tuendelee na huu uzi pale tulipoishia na ukizingatia kuna baadhi ya mambo yaliyojadiliwa kwenye huu uzi wa Kampuni ya Africarriers iliyoingia Mkataba wa Mabasi na Simba Sports Club ni mali ya nani? yanaingiliana na maudhui ya kwenye huu uzi.

Kwa wale wadau kama HUNIJUI SIKUJUI, Reginald L. Ishala, Wit na Muuza viatu huu uzi unawahusu moja kwa moja. Tuanze na UMILIKI WA KIWANDA CHA MAGARI YA EICHER MOTORS [ Hili ni jina la KIHINDI linalotamkwa AISHA ].


Hiki ni kiwanda ambacho kinatengeneza magari aina ya EICHER na kuna baadhi ya WATANZANIA 🇹🇿 wanamiliki HISA kwenye hiki kiwanda cha magari kinachopatikana nchini INDIA 🇮🇳.

WATANZANIA 🇹🇿 wanaomiliki HISA kwenye hiki kiwanda cha magari kinachopatikana nchini INDIA 🇮🇳 ni WANASIASA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ akiwemo HAYATI MWALIMU mwenyewe na MWASHITA [ wale waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ].

Hali hii ndio ilipekea aina ya gari hizi za EICHER kuenea sana TANZANIA 🇹🇿 hasa katika MKOA WA DAR ES SALAAM na baadhi ya mikoa mingine ya TANZANIA 🇹🇿.

Na kampuni ambayo inatumika kama WAKALA WA USAMBAZAJI WA MAGARI YA EICHER ni kampuni ambayo inajulikana kwa jina la AFRICARRIERS LIMITED.


Hii kampuni ya AFRICARRIERS ni kampuni ambayo inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 kwa asilimia mia moja [ 100% ] na ni wakala wa magari ya EICHER na GOLDEN DRAGON kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿.

Na baadhi ya magari ya GOLDEN DRAGON ndio yanayotumika kama mabasi kwenye kampuni ya usafirishaji wa abiria ya FALCON, ambayo pia ni kampuni inayomilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…