Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Nimekuelewa, Shukrani sana, Mkuu Charles Mandela!

Hapo kwenye TIGRIS MNYAMA kufanya yake nilimaanisha labda huenda kamsaini BWANA MDOGO ufalmeni kwake.

Naam, Hapo kwenye mvua, kiangazi, na masika wamepewa mamlaka duniani na mbinguni, ....MATHAYO 16:18-19
 
Mkuu hapo kwenye mvua imekaaje sababu mwaka jana mvua zilikua hadimu sana au ilikua n adhabu?
MAMBO mengine yatabaki kuwa ni SIRI ya WATAWALA na sio vizuri kujadili kila kitu kwenye MITANDAO YA KIJAMII.
Lakin pia hi biblia wao wanasimamia vifungu vip?
Hawa WATU wamesoma darasani BIBLIA TAKATIFU na kuielewa, huwa wanaitwa WANATHEOLOJIA. Na wanatumia vitabu vyote vya AGANO LA KALE na AGANO JIPYA kuongoza NCHI.
Ngoja niishie hapo kwanza sababu maswal hayaishi
Maswali ni mengi sana, tena sana!! Na ukiendelea kuhoji ili kufahamu zaidi, huwa wanasema hivi - DUNIANI SOTE NI WAPITAJI au DUNIANI TUMEKUJA KUTEMBEA lakini SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 itabaki na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kitaendelea kuwepo.

CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA DUME na CHAMA KIKONGWE barani AFRIKA.

Wanavyosema CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA KIKONGWE barani AFRIKA huwa wanamaanisha kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA CHA KISIASA chenye umri mkubwa baada ya CHAMA CHA KISIASA cha LIBERIA 🇱🇷 kinachoitwa TRUE WHIG PARTY - TWP 🐘. Yaani kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA CHA KISIASA cha pili kwa umri baada ya CHAMA CHA TRUE WHIG PARTY - TWP 🐘.

Na wanavyosema kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA DUME huwa wanamaanisha kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni CHAMA CHA KISIASA chenye NGUVU KUBWA ya kuweza kusambaratisha hata FAMILIA, yaani ndugu na jamaa wakafarakana.

Familia ndio huwa hatua ya chini kabisa kwenye JAMII na huwa inahitajika uwezo, utashi na NGUVU YA DHIADA ya kuweza kuisambaratisha. Yaani WAINGEREZA 🇬🇧 huwa wanasema hivi - "FAMILY is the smallest unit within the society. It's just like a nucleus within the atom or molecule".

Kwahiyo kwenye TAIFA lolote lile huwa wanaanzia kwenye ngazi ya FAMILIA, MTAA, KATA, WILAYA, MKOA halafu TAIFA. Kwahiyo CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kina uwezo, utashi na nguvu ya DHIADA ya kusambaratisha hata ngazi ya chini kabisa kwenye TAIFA, ambayo huwa ni FAMILIA.

Kwa kuyatambua hayo, ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU huwa hawataki mchezo kabisa yanapokuja MASUALA yanayohusu FAMILIA zao.
 
Samahani, Na tena tafadhali sana, Mkuu Charles Mandela!

Nakusihi tena sana, Mkuu wangu, CHARLES MANDELA!
Ikiwa MANENO YALE hayakutiwa MHURI mpaka sasa, Basi nakusihi UTUFUNGULIE.

DEC 24, 2021. "Lakini wale WENYEVITI WA VYAMA VYA SIASA wengi wao ni MAMLUKI na WAHAMIAJI wa mkoa wa NYUMBU wakitokea mkoa wa KIBOKO na TEMBO". #931
 
Nimekuelewa, Shukrani sana, Mkuu Charles Mandela!
Ndio 🙏🏽
Hapo kwenye TIGRIS MNYAMA kufanya yake nilimaanisha labda huenda kamsaini BWANA MDOGO ufalmeni kwake.
Hapana! Yaani hao waliokuwa WASANII WA KUNDI LA WASAFI ni WATOTO ambao WAZAZI wao walihama MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani ni kizazi cha MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwa lugha nyepesi tunaweza kusema hivi - hao WASANII WA KUNDI LA WASAFI ni WATOTO ambao WAZAZI wao walikuwa ni miongoni mwa wale MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waliohama kutoka MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kwenda kuishi sehemu mbali mbali za TANZANIA 🇹🇿.

Na WASANII wote wa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanatunzwa na kampuni za kibiashara ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Kwahiyo hawa WASANII wenye ASILI YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wataendelea kuwepo kwenye TASNIA YA MUZIKI kwa kipindi kirefu sana, labda VIWANGO vyao vishuke lakini sio kwa sababu za KIUCHUMI.

Kwa mfano tena, huyu ni MSANII mwingine maarufu sana nchini UGANDA 🇺🇬 anaitwa SHEEBAH KARUNGI. Wazazi wake ni miongoni mwa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 waliohamia nchini UGANDA 🇺🇬 wakitokea MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kwahiyo huyu SHEEBAH KARUNGI ni miongoni mwa WASANII wanaotunzwa na kampuni ambazo zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.
Naam, Hapo kwenye mvua, kiangazi, na masika wamepewa mamlaka duniani na mbinguni, ....MATHAYO 16:18-19
Ndio! Hao WATU ni HATARI sana.
 
Du! Kwa maelezo haya, nimeamini maneno ya Tundu Lissu kwamba Nyerere alikuwa na vinasaba fulani vya udikteta kwenye damu yake
 
Hakuna SHIDA yoyote kwenye MITANDAO YA KIJAMII kama mtumiaji au watumiaji wakitumia LUGHA YA STAHA. Ijapokuwa wakati mwingine inaweza kuleta SHIDA endapo baadhi ya mambo yakiwa hadharani. Kwahiyo kuna vitu vinatakiwa viwe na UKOMO hata kwenye kujadiliana.

Kule MKOA WA KILIMANJARO kuna watu wengi sana walihamia wakitokea MIKOA MINGINE.

Na nikupe SIRI nyingine ambayo huwa haisemwi hadharani ni kuwa - "Wale wenyeji wa asili wa MKOA WA KILIMANJARO huwa hawafiki hata laki tisa [ 900,000,000 ] na idadi iliyoongezeka baada ya hapo ni wageni".

Yaani kule kwenye MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO kwa kiasi kikubwa shughuli zote zimeshikiliwa na SERIKALI. Hii ilifanyika na inaendelea kufanyika kimkakati.

Hata hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na wao walipeleka WATU wao na waka akisi majina na tamaduni za huko. Ndio maana kuna WATU wengine wanaitwa wakina MREMA lakini ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁. Vile vile kuna WATU wengine wanaitwa wakina LEMA lakini ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁. Pia kuna WATU wengine wanaitwa wakina NJAU lakini ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na wana mawasiliano na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Na WATU wengine huwa wanafunga NDOA!. Sasa kwa MTU asiyeelewa kinachoendelea anaweza akadhani ni MSUKUMA na MCHAGGA ndio wanafunga NDOA, kumbe wote ni WASUKUMA 😂😂😂

Kwahiyo, haya mambo ndio huwa yanafanyika hivyo na hiyo ndio SIASA YA TANZANIA 🇹🇿 ambayo huwa inafanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️!!! Wengine huwa wanapoteza muda tu..

Kwa mfano, kuna KIONGOZI WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM [ UDSM ] aliwahi kuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI na alikuwa anaitwa MREMA. Lakini ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ambaye wazazi wake walihamia KILIMANJARO wakitokea MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Yule MREMA sasa hivi ana nafasi kubwa sana kwenye moja ya CHAMA CHA KISIASA lakini ni MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na MOYO wake upo CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️. Kwahiyo wanaofahamu haya ni wachache na mpaka uambiwe ndio utaelewa.

Masuala mengine ni SIRI YA WATAWALA na sio vizuri kujadili kila kitu kwenye MITANDAO YA KIJAMII. Hata hapa tunajadili masuala ya KIJAMII kwa TAHADHARI kubwa sana, maana hata mimi mwenyewe naona kama tumepitiliza.
 
Huyo alikuwa mnafiki ndo maana aliikimbia nchi.
OSCAR SALATHIEL KAMBONA hakuwa MTU MNAFIKI bali alikuwa ni MTU MKWELI, lakini wakati mwingine kama unataka kupata MAFANIKIO inabidi ujifanye MJINGA, ndio utafanikiwa.

Sasa angalia hapa chini MSIMAMO WA MAKUNDI YA MICHUANO YA KLABU BINGWA BARANI AFRIKA KWA NGAZI YA SHIRIKISHO.








Kwenye KUNDI LA GRUPU D kuna timu ya mpira wa miguu inayoitwa ASEC MIMOSAS. Hii timu inatoka IVORY COAST 🇮🇪 na inamilikiwa na HAYATI MWALIMU na ilishawahi kutwaa UBINGWA WA KLABU BINGWA BARANI AFRIKA, mwaka 1998.

Na hii timu ndio iliyowahi kutoa wachezaji mashuhuri sana BARANI AFRIKA na DUNIANI kwa ujumla. Wachezaji hao ni kama YAYA TOURE, KOLO TOURE na SOLOMON KALOU.

Kwahiyo, hii timu ya ASEC MIMOSAS ni timu kubwa sana na msimu huu itakuja TANZANIA 🇹🇿 kucheza mechi na SIMBA SC kwenye hatua za makundi.

Sasa hapa ndio utaona ya kwamba - OSCAR SALATHIEL KAMBONA alikuwa SAHIHI kwa madai yake dhidi ya HAYATI MWALIMU, lakini hakuwa na USHAHIDI wa kutosha, ndio maana alionekana ni MTU MUONGO aliyetoa SHUTUMA ZA UONGO dhidi ya HAYATI MWALIMU kwa sababu ya KIU YA MADARAKA.
 

Hii kampuni ya BEKO ni kampuni kubwa ULAYA 🇪🇺 na inafanya vizuri sana kwenye upande wa MASOKO. Na sasa hivi BIDHAA zao zimeshaanza kupatikana hadi TANZANIA 🇹🇿.

Hii kampuni huwa inatengeneza VIFAA VYA KUTUMIA MAJUMBANI yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni DOMESTIC PRODUCTS kama FRIJI, BLENDA ZA KUTENGENEZEA JUISI, OVENI, PASI ZA KUNYOOSHEA NGUO, SABUNI ZA KUFULIA na mambo mengine mbali mbali.


Yaani hii kampuni ya BEKO ndio inaleta USHINDANI kwa kampuni ya KENWOOD, vile vile hii kampuni ya BEKO ndio wadhamini wakuu wa timu ya mpira wa miguu ya FC BARCELONA inayoshiriki LIGI KUU nchini UHISPANIA 🇪🇸 pamoja na timu ya mpira wa kikapu ya FENERBAHÇE S.K. inayoshiriki LIGI KUU nchini UTURUKI 🇹🇷.


Sasa hii kampuni ya BEKO wamiliki wake wanatoka TANZANIA 🇹🇿 na ni WATANZANIA WEUSI ambao ni [...]. Aah!! Sasa mambo mengine inabidi yawe na UKOMO hata kwenye MITANDAO YA KIJAMII.

Lakini hao wanaomiliki kampuni ya BEKO ni WATANZANIA 🇹🇿 ambao UKWASI wao umetoka hapa hapa TANZANIA 🇹🇿 na chini ya UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Kwahiyo hii inatuonesha ya kwamba - kwenye TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿 ili ufanikiwe kwenye SEKTA yoyote ile, iwe ni KIUCHUMI au hata KISIASA au hata kwenye MAISHA YA KILA SIKU ni lazima ujifanye MJINGA MJINGA au FALA kwa wakati fulani. Ndio utafanikiwa 🙏🏽🇹🇿🙏🏽

Sasa hii ni AKILI YA KAWAIDA ambayo baadhi ya WATU wengi huwa hawana, akiwemo OSCAR SALATHIEL KAMBONA mwenyewe na hao WASUKUMA waliopo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
 
Mkuu, CHARLES MANDELA!

Nimekubali yaishe, Mkuu SURENDRENATH nimemvulia KOFIA na SALUTI MILIONI nimempigia.

Si kwa CVs zile, aisee!
=LONDON SCHOOL OF ECONOMICS.
=HAVARD SCHOOL OF LAW.
=KING'S COLLEGE LONDON [LL.B & LL.M].
=ATTORNEY GENERAL.
=ASSISTANT ATTORNEY GENERAL.
=MINISTER OF JUSTICE.
=MINISTER OF FOREIGN AFFAIRS.
=COMMON WEALTH SECRETARY FOR 15 YEARS.
=KNIGHT GRAND CROSS AT S.T MICHAEL & S.T GEORGE.
=VIP (THE SAME AS MWASHITA THERE AT BUKINGHAM PALACE)

Kwa CV KALI SANA kama hizo, Hata jina SHIDA ni zaidi ya SHIDA yaani.

Mkuu wangu anatisha kama nini, Anatisha sana mithili ya TIGRIS na LEO.
 
Huyu ni mwamba ambaye historia yake inafichwa
 
Hawa WATAWALA huwa wanazungukwa na WATU wasomi sana, hata HAYATI MWALIMU mwenyewe alikuwa na WATU WASOMI waliokuwa wakimsaidia kuongoza NCHI.
 

Mfano mwingine mzuri ni kuhusu ABEID AMAAN KARUME na familia yake yote kwa ujumla. Huyu ABEID AMAAN KARUME ndiye aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA ZANZIBAR na MWENYEKITI WA CHAMA CHA KISIASA kilichokuwa kinaitwa AFRO SHIRAZI.

ABEID AMAAN KARUME ndiye aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR na MAKAMU WA RAIS WA KWANZA WA TANZANIA 🇹🇿, baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.

ABEID AMAAN KARUME alizaliwa Tarehe 4, Mwezi wa nane [ 8 ], Mwaka 1905 maeneo fulani yanaitwa MWERA katika MJI WA ZANZIBAR na aliongoza SERIKALI YA ZANZIBAR kuanzia mwaka 1964 mpaka pale UMAUTI ulivyomkuta Mwaka 1972, Mwezi wa nne [ 4 ] na Tarehe 7.

ABEID AMAAN KARUME aliuawa kwa shambulio la RISASI akiwa anacheza bao pale MAKAO MAKUU YA OFISI YA CHAMA CHA AFRO SHIRAZI.

Kifo chake bado ni FUMBO mpaka leo, kwa sababu kuna taarifa nyingine zinasema kuwa USULTANI ulihusika kama ni sehemu ya kulipiza kisasi baada ya MAPINDUZI YA ZANZIBAR.

Taarifa nyingine zinachagizwa na ASILI yake ya kuzaliwa, kuna taarifa nyingine zinasema ya kwamba - ABEID AMAAN KARUME alizaliwa NYASALAND ambayo ndio NCHI YA MALAWI 🇲🇼 kwa sasa na alifanya kuhamia ZANZIBAR. Kwahiyo kuna MAMBO YA NDANI kabisa yaliyopelekea kifo chake.

ABEID AMAAN KARUME alifariki dunia mwaka 1972 na alizikwa katika MBUGA YA WANYAMA YA SELOUS, maeneo fulani yanaitwa MKANGIRA. Lakini kuna taarifa nyingine zinasema kuwa ABEID AMAAN KARUME alizikwa ZANZIBAR, yaani bado ni FUMBO na hukana taarifa ya UHAKIKA kwenye JAMII inayohusu ABEID AMAAN KARUME.

Familia ya ABEID AMAAN KARUME ilipitia misukosuko mingi sana baada ya kuondokewa na BABA, ambaye ndiye aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA ZANZIBAR. Lakini walisimama IMARA kama familia iliyoongozwa na MKE WA HAYATI, BIBI FATMA KARUME.

Sasa hapa ndio utaona UTASHI WA KISIASA KWA WATU WA PWANI, familia ya HAYATI KARUME ilitulia kama MAJI KWENYE MTUNGI na ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya WAZANZIBARI waliokuwa wengi.

MKE WA HAYATI KARUME, BIBI FATMA KARUME aliweza kulea WATOTO wake wote wawili ambao wanajulikana kwa majina ya AMAAN na ALLY.

Huyo AMAAN ndiye aliyekuja kuwa RAIS WA SITA [ 6 ] WA SERIKALI YA ZANZIBAR ambaye alikuwa anaitwa kwa majina yake yote, AMAAN ABEID KARUME.

AMAAN ABEID KARUME alifanikiwa kuwa RAIS WA SERIKALI YA ZANZIBAR kuanzia mwaka 2000 mpaka 2010 na alifanikiwa kushinda UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR kwa KURA ZA UNYONGE WA KISIASA yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni POLITICAL PATRONAGE VOTES.

Ijapokuwa kuna taarifa nyingine zinasema kuwa - AMAAN ABEID KARUME alishinda kwa KURA ZA UMAARUFU WA KISIASA yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni POPULAR MAJORITY VOTES lakini kwa taarifa za UKWELI NA UHAKIKA ni kwamba - AMAAN ABEID KARUME alishinda KITI CHA URAISI WA ZANZIBAR kama ZAWADI au SHUKRANI ya UVUMILIVU WA KISIASA baada ya kuondokewa na BABA yake [ ABEID AMAAN KARUME ] kwa shambulio la RISASI.

Kwahiyo familia ya HAYATI KARUME iliinuka tena kwenye MEDANI ZA KISIASA baada ya miaka zaidi ya ishirini na tano [ 25 ], yaani tangu mwaka 1972 alipouawa ABEID AMAAN KARUME mpaka mwaka 2000 alipoapishwa MTOTO wake wa kiume, AMAAN ABEID KARUME kuwa RAIS WA SITA [ 6 ] WA SERIKALI YA ZANZIBAR. Huo ndio UVUMILIVU WA KISIASA KWA WATU WA PWANI!! Narudia tena, huo ndio UVUMILIVU WA KISIASA KWA WATU WA PWANI!!

Huu UVUMILIVU WA KISIASA KWA WATU WA PWANI ndio wanao wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.

Hiyo FAMILIA YA HAYATI KARUME wasingelikuwa na UVUMILIVU WA KISIASA, pengine leo wangelikuwa na hali mbaya zaidi ya KIUCHUMI na KISIASA kuliko hata familia ya ADAM SAPI MKWAWA na familia ya OSCAR SALATHIEL KAMBONA na wengine wengine wa kufanana na hao.

Lakini kutokana na UVUMILIVU WA KISIASA walionao hao WATU WA PWANI, hiyo FAMILIA YA HAYATI KARUME ilidondoka mwaka 1972 na baadhi ya WATU walidhani ndio ingelikuwa ni mwisho wao! Lakini baadae kwenye miaka 2000, FAMILIA YA HAYATI KARUME iliinuka tena na kutoa RAIS WA SITA [ 6 ] WA SERIKALI YA ZANZIBAR.

Na sasa hivi FAMILIA YA HAYATI KARUME wamejijenga sana - iwe ni KIUCHUMI na hata KISIASA. Hii FAMILIA YA HAYATI KARUME ina UKWASI wa kutosha, sema haiwezi kulingana na FAMILIA YA HAYATI MWALIMU.

Lakini ukija kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 nzima, miongoni mwa familia kumi [ 10 ] zenye UWEZO WA KIUCHUMI na KISIASA, hauwezi kuacha kuitaja FAMILIA YA HAYATI KARUME 🙏🏽🇹🇿🙏🏽.

Sasa hii ndio SIASA! Narudia tena hii ndio SIASA! Na kwenye SIASA kuna waliofanikiwa na ambao hawajafanikiwa. Lakini msingi mzuri unaanzia kwenye FAMILIA. FAMILIA ndio nyenzo katika mafanikio ya kujenga TAIFA.

Na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU walijijenga, wamejijenga na wanaendelea kujijenga kupitia MTINDO huo wa UVUMILIVU WA KISIASA.


Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU ndio miongoni mwa WATANZANIA WEUSI waliowekeza kwenye NCHI ZOTE ZA AFRIKA YA MASHARIKI.

Haya MAMBO ndio WATU wengine wanapaswa kuiga, kwa sababu sio vibaya na wala sio dhambi kuiga jambo zuri kutoka kwa mwenzio.
 

Hii ni NEWS FEED TELEGRAM ya TBC1 na kwa siku ya leo wanauliza swali kama hili - Leo ni maazimisho ya MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR. Nini kinakuvutia sana visiwani ZANZIBAR?


Sasa kinachovutia sana VISIWANI ZANZIBAR ni aina ya UVUMILIVU WA KISIASA unaopatikana kwenye VISIWA VYA UNGUJA na PEMBA.


Kwenye PICHA hapo juu anaonekana ni RAIS WA SASA WA SERIKALI YA ZANZIBAR, Dkt HUSSEIN ALLY MWINYI ambaye ni MTOTO wa RAIS MSTAAFU WA SERIKALI YA TANZANIA, Ndugu ALLY HASSAN MWINYI.

Huyu Dkt HUSSEIN ALLY MWINYI ambaye ndiye RAIS WA SERIKALI YA ZANZIBAR alishinda UCHAGUZI MKUU kwa njia ya SANDUKU LA KURA ambazo zilikuwa ni KURA ZA UMAARUFU WA KISIASA yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni POPULAR MAJORITY VOTES na sio KURA ZA MARUHANI kama WATU wengi wanavyodhani.

Hali hii ilikuwa ni tofauti kabisa na UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2000 ambapo AMAAN ABEID KARUME alishinda KITI CHA URAISI kwa KURA ZA UNYONGE WA KISIASA yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni POLITICAL PATRONAGE VOTES. Lakini mwisho wa siku, wote wamefanikiwa kuwa MARAIS WA SERIKALI YA ZANZIBAR kwa vipindi tofauti.

Sasa hii inatoa taswira gani kwa upande wa SIASA ZA ZANZIBAR? Hii inatoa taswira ya UVUMILIVU WA KISIASA ambao unatokana na UTASHI WA KISIASA walionao WATU WA PWANI.

Yaani kwa lugha nyingine tunaweza kusema hivi - hawa WATU WA PWANI wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kukwea MNAZI, kitu ambacho kimekuwa ni kigumu sana kufanikiwa kwa JAMII nyingine.

Na hii ndio SIASA! Narudia tena hii ndio SIASA ambayo inafanyika ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na TANZANIA nzima kwa ujumla wake.
 

Hii ni NEWS FEED TELEGRAM ya JAMIIFORUMS, niliipata tangu jana. Lakini leo ndio nimepata muda mzuri wa kuweza kuangalia na kusoma vizuri.

Hiyo PICHA hapo juu inaonesha SHULE KUMI [ 10 ] zilizofanya vizuri katika MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, mwaka 2021 na SHULE iliyoongoza ni KEMEBOS kutoka MKOA WA KAGERA.

Hii SHULE YA KEMEBOS kutoka MKOA WA KAGERA ni SHULE ambayo inamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU hawapo kwenye MICHEZO tu, bali wapo hadi kwenye SEKTA YA ELIMU na SHULE zao zinafanya vizuri KITAIFA.


Jaribu tena kuangalia hiyo PICHA hapo juu! Hiyo PICHA inaonesha ORODHA YA WANAFUNZI BORA waliofanya vizuri katika MTIHANI WA KIDATO CHA NNE na SHULE inayoonekana kutoa WANAFUNZI wengi kwenye ORODHA YA WANAFUNZI BORA ni SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MTAKATIFU FRANSISI yaani ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY.

Sasa ni nini kipo nyuma ya MAFANIKIO ya hii SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MTAKATIFU FRANSISI yaani ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY?

Na nani anamiliki hii SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA YA MTAKATIFU FRANSISI yaani ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY?

Haya MASWALI ndio SIASA yenyewe na MAMBO mengine sio mazuri kuyajadili kwenye MITANDAO YA KIJAMII kwa sababu ya UNYETI wake. Lakini JAMII YA SERENGETI yaani CHUI wanafanya SIASA ZA KIWANGO cha juu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…